DOKEZO Tuhuma za mauaji kwa mmiliki wa kampuni ya KOPAGAS, Andron Mendez

DOKEZO Tuhuma za mauaji kwa mmiliki wa kampuni ya KOPAGAS, Andron Mendez

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Shida ni kuwa anakosea some details za story zake! Na hii si Mara ya kwanza kwa yeye kupotosha kwenye story zake!
Nitakupa hostoria fupi ya Aron/ Andron for example!
Andron/Aron amezaliwa Babati, kwao ni opposite na mahakamani aka kwa-meet Centre (community centre) na alisoma Maisaka primary (near hospital ya mrara) then Umbwe secondary then Minaki secondary (EGM) then UDSM (Bcom).
Hakusoma kabisa DIT na wala Hana historia ya kuua watu may be on this occasion. Wazaz wake (mzee Mendez alishafariki muda kidogo) na malezi yake tunayajua na hulka zake tunazijua

Hii dunia unapata wapi ujasiri wa kusema unamjua mtu?
 
Ni kweli huyu mwandishi anapotosha sana, bwana Andron nimefanya nae kazi kampuni flani ya Insurance akiwa mhasibu pale Mikocheni kabla hajawa Billionaire, alikuwa humble person wala sio mlevi au mtu wa hasira kama anavyosema huyu mwandishi uchwara labda kama pesa imembadilisha sasa.!
Kaka mtu kubadilika ni jambo dogo sanaaa. Binadamu tunaficha mengi sana. Usimuwekee mtu dhamana ya kutobadilika tabia, tena mtu ambae hujakutana nae years.
 
Andron Nichodemus ( cox) jamaa tumelala wote dom 2 pale umbwe nilikua nalala deck ya juu jamaa alikua muhuni flani hivi ( mambo ya kinyamwezi sana) ila kichwa sana ( hasa mathematics) tulikuja kukutana UDSM akichukua B.com nimekuja kusikia jamaa ni billionaire ila tena juzi naambiwa kaua mtu .maisha haya duuh.
Vijana wa lobilo utawajua tu
 
Sema nini mwamba awape mzigo mrefu familia na wao wakubali kama fidia mambo yaishe tu.
Ukishampeleka jela ndio marehemu atarudi? By the way kwa li-nchi hili la u-ovyoovyo wakikaza fuvu hawatapata haki yoyote. Hata ningekua mimi ningepambana yaishe nisiende jela nani anataka kwenda jela.
Watabaki kushindana kwenye ndumba tu wakikaza fuvu mambo ya mahakamani.
Hahahahahaha!! Umenichekesha
 
Shida ni kuwa anakosea some details za story zake! Na hii si Mara ya kwanza kwa yeye kupotosha kwenye story zake!
Nitakupa hostoria fupi ya Aron/ Andron for example!
Andron/Aron amezaliwa Babati, kwao ni opposite na mahakamani aka kwa-meet Centre (community centre) na alisoma Maisaka primary (near hospital ya mrara) then Umbwe secondary then Minaki secondary (EGM) then UDSM (Bcom).
Hakusoma kabisa DIT na wala Hana historia ya kuua watu may be on this occasion. Wazaz wake (mzee Mendez alishafariki muda kidogo) na malezi yake tunayajua na hulka zake tunazijua
Sawa kakosea history yake vipi na Hilo tukio kakosea ?
 
Sema nini mwamba awape mzigo mrefu familia na wao wakubali kama fidia mambo yaishe tu.
Ukishampeleka jela ndio marehemu atarudi? By the way kwa li-nchi hili la u-ovyoovyo wakikaza fuvu hawatapata haki yoyote. Hata ningekua mimi ningepambana yaishe nisiende jela nani anataka kwenda jela.
Watabaki kushindana kwenye ndumba tu wakikaza fuvu mambo ya mahakamani.
Huwajui wabondei wewe
 
Back
Top Bottom