Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Ushamba tuu, pombe mbona zinadhibitika.Mshamba tu wapombe na silaha vilevile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushamba tuu, pombe mbona zinadhibitika.Mshamba tu wapombe na silaha vilevile
Ni vema kuainisha chanzo, haikugharimu kitu pongezi zikienda kwa muhusika. Tunashukuru pia!Okaay.
Kwani kuiba story na kuisimulia kama ya kwako kunaondoa ukweli wa hiyo story mkuu?
Huyu mtu ndio kajiajiri huko waandishi wa habari wanalipwa yeye ni solo.Ametoa mtiririko mzuri sana nampongeza kwahilo lakini kuiuza kwangu naona kuna kasoro kidogo! Vingine ni huduma haviuzwi hasa habari kama hizi ninazoziita "kwa manufaa ya jamii"[emoji1545]
Shida ni kuwa anakosea some details za story zake! Na hii si Mara ya kwanza kwa yeye kupotosha kwenye story zake!
Nitakupa hostoria fupi ya Aron/ Andron for example!
Andron/Aron amezaliwa Babati, kwao ni opposite na mahakamani aka kwa-meet Centre (community centre) na alisoma Maisaka primary (near hospital ya mrara) then Umbwe secondary then Minaki secondary (EGM) then UDSM (Bcom).
Hakusoma kabisa DIT na wala Hana historia ya kuua watu may be on this occasion. Wazaz wake (mzee Mendez alishafariki muda kidogo) na malezi yake tunayajua na hulka zake tunazijua
Mkuu kwani ukisema wamjua mtu, kilicho-special hapo ni nini?Hii dunia unapata wapi ujasiri wa kusema unamjua mtu?
Ukipewa the guardian unaweza kusoma?Da story ndefu mpaka inachanganya
Mi huwa nawaona mafala tu ambao wakipinga masanga wanaanza kubehave kifalafala. Ukiona hivyo achana nazo tu maana yake mtu huziwezi unaforce tu.Ushamba tuu, pombe mbona zinadhibitika.
Kaka mtu kubadilika ni jambo dogo sanaaa. Binadamu tunaficha mengi sana. Usimuwekee mtu dhamana ya kutobadilika tabia, tena mtu ambae hujakutana nae years.Ni kweli huyu mwandishi anapotosha sana, bwana Andron nimefanya nae kazi kampuni flani ya Insurance akiwa mhasibu pale Mikocheni kabla hajawa Billionaire, alikuwa humble person wala sio mlevi au mtu wa hasira kama anavyosema huyu mwandishi uchwara labda kama pesa imembadilisha sasa.!
Vijana wa lobilo utawajua tuAndron Nichodemus ( cox) jamaa tumelala wote dom 2 pale umbwe nilikua nalala deck ya juu jamaa alikua muhuni flani hivi ( mambo ya kinyamwezi sana) ila kichwa sana ( hasa mathematics) tulikuja kukutana UDSM akichukua B.com nimekuja kusikia jamaa ni billionaire ila tena juzi naambiwa kaua mtu .maisha haya duuh.
Alimaliza 2000 form four. Alikuwa almaarufu kwajina la coxMlikuwa naye O-level au A- level? Class ya mwaka gani?
Najaribu kuvuta picha kama naweza mkumbuka!
Hahahahahaha!! UmenichekeshaSema nini mwamba awape mzigo mrefu familia na wao wakubali kama fidia mambo yaishe tu.
Ukishampeleka jela ndio marehemu atarudi? By the way kwa li-nchi hili la u-ovyoovyo wakikaza fuvu hawatapata haki yoyote. Hata ningekua mimi ningepambana yaishe nisiende jela nani anataka kwenda jela.
Watabaki kushindana kwenye ndumba tu wakikaza fuvu mambo ya mahakamani.
Kweli ni mafala na ufala wa hali ya SGR.Mi huwa nawaona mafala tu ambao wakipinga masanga wanaanza kubehave kifalafala. Ukiona hivyo achana nazo tu maana yake mtu huziwezi unaforce tu.
Safi kabisaHuku Kuna watu tunajuana aisee,sema nyuma ya k bod ndo....miss salama
Sawa kakosea history yake vipi na Hilo tukio kakosea ?Shida ni kuwa anakosea some details za story zake! Na hii si Mara ya kwanza kwa yeye kupotosha kwenye story zake!
Nitakupa hostoria fupi ya Aron/ Andron for example!
Andron/Aron amezaliwa Babati, kwao ni opposite na mahakamani aka kwa-meet Centre (community centre) na alisoma Maisaka primary (near hospital ya mrara) then Umbwe secondary then Minaki secondary (EGM) then UDSM (Bcom).
Hakusoma kabisa DIT na wala Hana historia ya kuua watu may be on this occasion. Wazaz wake (mzee Mendez alishafariki muda kidogo) na malezi yake tunayajua na hulka zake tunazijua
Tunaambiwa ana miaka 35 itakuwa pia si kweliAlimaliza 2000 form four. Alikuwa almaarufu kwajina la cox
Labda awe Afghanistan Ila kama Yuko nchi za Ulaya na Asia ya mbali lazima Interpol wamrudishe na Pingu mkononi.una uhakika
jamaa yuko nje ya nchi huyo
Huwajui wabondei weweSema nini mwamba awape mzigo mrefu familia na wao wakubali kama fidia mambo yaishe tu.
Ukishampeleka jela ndio marehemu atarudi? By the way kwa li-nchi hili la u-ovyoovyo wakikaza fuvu hawatapata haki yoyote. Hata ningekua mimi ningepambana yaishe nisiende jela nani anataka kwenda jela.
Watabaki kushindana kwenye ndumba tu wakikaza fuvu mambo ya mahakamani.