MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Kwa mtu maarufu kama yeye kukimbilia nje ya nchi bila kupatikana ni ngumu. Wanaoweza kufanya hivyo ni wale mashahidi tu wa kuisaidia polisi ila MAIN CHARACTER lazima atafutwe.Labda awe Afghanistan Ila kama Yuko nchi za Ulaya na Asia ya mbali lazima Interpol wamrudishe na Pingu mkononi.
Halafu huwez kumwaga damu ya MTU ukabaki Salama