DOKEZO Tuhuma za mauaji kwa mmiliki wa kampuni ya KOPAGAS, Andron Mendez

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tatizo alienda kutupa mwili huko msituni
 
Haki haipotei, unaweza kuhonga Polisi unavyotaka lakini taarifa zote zitakuwa salama sehemu ili siku haki itendeke. Huwezi kukimbia jinai haifi hata uhonge vipi.

kosa la mwamba sio zito kusababishia laana ama malipo baadae maana aliua kwa bahati mbaya.

kosa lake liko kisheria zaidi kwamba aliitupa maiti,so uwezekano wa kuliweka mezani hili swala ni mkubwa,hasa kama itahusika zaidi kuwapoza wategemezi wa marehem.
 
Sawa kakosea history yake vipi na Hilo tukio kakosea ?
Kakosea sehemu kuu tatu:
1. Aliposoma
2. Kwamba hiyo Sio Mara yake ya kwanza!
Kama yawezekana angetuletea na matukio yake mengine na aliowaua ili nasi tufahamu majina yao! (Huwezi andika kwa uma kitu usichokithibitisha)
3. Kwamba ukoo wake wote huko Babati una historia ya hasira kali.
 
Naomba jina la Twitter lenye hyo story mkuu .... na km Andron sie aliyefyatua risasi why afiche .... na Adinani alipata wapi hyo silaha ya kumuua mlinzi....Naona ndugu Adnani anataka kuangushiwa jumba bovu apo....pesa inataka kufunika mambo
Weee ujaelewa uzi. Adinan ni mwendesha pikipiki ialiyekuwa antibacterial gas na kuwauzia vibopa. Tajiri aliweka mtego amuse lakini bahati mbaya akamuua mlinzi
 
Wabondei lazima walale nae mbele
 
Kwahiyo mganga alifanya yake? Lakini hizo raha zitakuwa za muda tu nakwambia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kabadilika tabia kunachukua siku ngapi? Ulifanya naye kazi vipi alivyopata ubilionea ulikuwa naye tena? Kabla ya tuhuma tuliza mungari wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo hao akipelekewa tuhuma za mtu wake wakaribu anakataa mpaka siku akute kachomwa moto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba jina la Twitter lenye hyo story mkuu .... na km Andron sie aliyefyatua risasi why afiche .... na Adinani alipata wapi hyo silaha ya kumuua mlinzi....Naona ndugu Adnani anataka kuangushiwa jumba bovu apo....pesa inataka kufunika mambo
Pesa Mzee ni kila kitu
 
Sasa nimeelewa kwanini mtungi wangu wa kupikia zamani ulikua unakaa miezi mitatu ndio unaisha, na sasa hivi mtungi huo huo u akaa mwezi mmoja unaisha.

Sasa nimeelewa kwanini maduka mengi ya kuuza Gas hayakai na mizani ya kupimia uzito wa mitungi.

Ina maana mitungi ya gas tunayouziwa inakuwa imepigwa pipe na watu dizaini ya Adinani.

Ina maana tunauziwa mitungi yenye ujazo nusu kwa bei ya mitungi iliyojaa.

Nitashangaa kama huyo mpiga deal Adinani ataachiwa huru.[emoji848]
 
Kamshitaki Adnan
 
Kama Andron angekwenda bila bunduki pengine angemzaba kibao huyo mlinzi, kisha kugundua kuwa aliyempiga kibao siyo mlengwà, angemuomba samahani na kumpa hata Tsh
Unajuaje mlinzi hakuwa mlengwa ?

Dereva "uchebe" msambaza mitungi, na walinzi wa ndani na wa getini wanaweza kuwa genge la uhalifu lenye nia moja, joint enterprise. Ndo maana akafukuza walinzi wote, pamoja na wa nyumbani ambao wanamuona akitoka wanatuma inteligensia, Mzee anakuja ofisini.

Mitungi mingi ya gesi imenyonywa, mteja huna jinsi ya kupima kabla hujanunua, uneanda kuona nyumbani kimtungi kimeisha ghafla kama kifurushi cha VODACOM.

Defendant Andron is entitled to a presumption of innocense and competent defense.
 
Mwaka gani?
 
Fact.

Eti tusiongelee kesi iliyoko mahakamani.

sikujua kuna Mtanzania mwenzangu hata mmoja anaepinga huo utopolo, miaka 15 niliyokaa hapa JF.

Majaji, maprofessa wa sheria, maspika, wabunge, wanahabari, Watanzania kwa mamilioni...tumelishwa uongo, tumepikwa tukaiva.

Jaji gani au Hakimu aliwahi kuandika hukumu akasema sehemu ya ushahidi aliotumia aliusikia kwenye kijiwe cha kashata na drafti Tandika sokoni alipoenda kununua matembele na maharage ???
 
No body is doubting the presumption of innocence because it is an inalienable constitutional right. However ursuping the power of prosecuting and and convicting was crossing the lines of rule of law.

Kama hao walinzi wa geti walikuwa ni sehemu ya wapiga deal ya wizi wa gesi, basi kama kweli Andron ni genius kama tunavyoaminishwa basi angetafuta namna nyingine ya kuwakamata na siyo kwenda mwenyewe physically under influence of hard substances
 
Adhabu ya mtu anayeimuibia muajiri wake ni kupigwa risasi na kufa? Huyo jamaa ni mjinga, kwa pesa alizonazo angeweza kupeleka kesi mahakamani na kuwafunga hao na kuwa fundisho kwa wengine.

Ujinga mwingine ambao amefanya ni kuubeba mwili na kwenda kuutupa kibaha. Hapo tayari inaonyesha alikusudia kufanya mauaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…