DOKEZO Tuhuma za Siasa chafu "Law School of Tanzania" wahusika wajitokeze kuzijibu

DOKEZO Tuhuma za Siasa chafu "Law School of Tanzania" wahusika wajitokeze kuzijibu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Huo ndo uhalisia usipanic pale hapataki mchezo achana na vyuo vingine ,pale ni pagumu unafeli nje nje ukileta usanii...Kuna nondo za maana uwe na uwe wa kuchambua sana scenario ujue uhalisia na kuhandle masomo kibao ndani ya mda mfupi..

Usiwe kama kama uncivilized elelewa pascal kakupa uhalisia ivyo vyuo vinatia first class kibao za kiboya na wakifika pale wanakutana na nondo za maana lazima waangukie pua.
Hakuna lolote, sheria za watoto wa kike hizo anybody can study it.

Shida ni nyie mawakili wasomi uchwara mnaowalaghai watu kwamba sheria ni kwa ajili ya wateule wa kimungu.

Mna usomi gani HKL hizo ujinga mtupu!

Ati wakili msomi! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Acheni vijana wapate fursa na sio kujitia tia usomi feki na kukumbatia taaluma kwa ajili ya mafisadi wachache!
 
Hakuna lolote, sheria za watoto wa kike hizo anybody can study it.

Shida ni nyie mawakili wasomi uchwara mnaowalaghai watu kwamba sheria ni kwa ajili ya wateule wa kimungu.

Mna usomi gani HKL hizo ujinga mtupu!

Ati wakili msomi! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Acheni vijana wapate fursa na sio kujitia tia usomi feki na kukumbatia taaluma kwa ajili ya mafisadi wachache!
Mkuu pale Kuna nondo kwa usomi wa kibongo kudisco kawaida maana hata izo degree za first class zinapatikana kwa kuibia ibia assignments wala kuhonga kupewa mpaka course work sasa ukifika pale lazima uone cha moto.
 
Mkuu pale Kuna nondo kwa usomi wa kibongo kudisco kawaida maana hata izo degree za first class zinapatikana kwa kuibia ibia assignments wala kuhonga kupewa mpaka course work sasa ukifika pale lazima uone cha moto.
Kuna nini pale cha kutisha? CIVIL PROCEDURE? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuchora affidavit na plaint!!?? You don't need to be smart to do that!

Ni ujinga ujinga tu wa mafisadi wachache waliokumbatia taaluma kama mali binafsi ya kampuni!
 
Kuna nini pale cha kutisha? CIVIL PROCEDURE? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuchora affidavit na plaint!!?? You don't need to be smart to do that!

Ni ujinga ujinga tu wa mafisadi wachache waliokumbatia taaluma kama mali binafsi ya kampuni!

Una wivu kijana na taalamu za watu.

Ni ujinga wako kusoma course za kidwanzi.

NB: sheria ndio taalamu pekee duniani, unapigiwa saluti & kuitwa mheshimiwa. Umeelewa ngumbaru? [emoji16]
 
Una wivu kijana na taalamu za watu.

Ni ujinga wako kusoma course za kidwanzi.

NB: sheria ndio taalamu pekee duniani, unapigiwa saluti & kuitwa mheshimiwa. Umeelewa ngumbaru? [emoji16]
Na wewe unaamini uliteuliwa na Mungu kusoma civil procedure? [emoji1787][emoji1787]
 
Hii ingewekwa kama certification ya ziada yani ukifanikiwa kuipata inakua na added advantage kama ilivyo kada za computer.

Iko CCNA, CEH, CISA na nyingine nyingi lakini mtu asipokua nazo haimyimi haki ya kutafuta na kupata ajira.

Kuieka ni lazima kua nayo ili upate ajira ndio shida ilianzia hapo kwa waswahili hii ni lazima igeuke kuwa urasimu na ukiritimba.

Umesoma una degree ya sheria lakini sasa inakuaje usiweze kuajiriwa hadi law school? Sio ni ushenzi huu.
Aliyeanzisha huu utopolo kwamba mtu asiajiriwe hadi apitie LST sijui aliwaza nini.
Maana tukisema law ni kazi sensitive kuliko udaktari na uinjinia inakuwa ni uongo.
 
Kwa aliesoma UDSM hawezi shangazwa na huu ukiritimba wao. ..it's normal na mwalimu anafurahia kuona anachofundisha watu hawaelewi na anajiita prof or Dr.my understanding ni kua unapofundisha na watu wakafeli means your teaching methodology is lacking ilahawa ndio kwanza wanatukuzwa.
 
Hakuna lolote, sheria za watoto wa kike hizo anybody can study it.

Shida ni nyie mawakili wasomi uchwara mnaowalaghai watu kwamba sheria ni kwa ajili ya wateule wa kimungu.

Mna usomi gani HKL hizo ujinga mtupu!

Ati wakili msomi! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Acheni vijana wapate fursa na sio kujitia tia usomi feki na kukumbatia taaluma kwa ajili ya mafisadi wachache!
-punguza hasira mkuu, Law School ukidisco unaruhusiwa kurudia
-kuwa Wakili sio mchezo, ndiyo maana Wanaitana Wasomi,
 
Binafsi naomba nisema yafuatayo kuhusu shule ya sheria Tanzania:

Mosi,
kutokana na uhitaji wa elimu ya kusoma kwa vitendo (Post-Graduate Diploma in Legal Practice) haikutakiwa kuwe na shule moja nchi nzima tena ambayo iko kwenye mji kama Dar es salaam. Walau hizi shule zingekuwepo kikanda ili kuwaepusha na kadhia wale wanafunzi wanaotoka mikoa ya mbali kuja kurudia mitihani Dar es Salaam. Mtoto anasafiri kutoka Tarime, hana hata mkopo halafu anakuja Dar es salaam kufanya mtihani akiwa na 50/50 kwamba hilo somo analorirudia atafuaulu au lah.

Pili, mbinu ya kumpima mwanafunzi (Mode of Assessment) siyo rafiki kabisa na haizingatia utaalamu wa kisaikolojia kwamba wanafunzi wana uelewa tofauti. Mtoto anasoma mwaka mzima halafu anapewa mitihani 24 ndani ya mwaka ambayo kama akifeli hata mmoja basi anaweza kupoteza zaidi hata ya miaka 2 anarudia tu kozi hiyo hiyo. Kikawaida tulitegemea kwenye elimu ya vitendo wanafunzi wapimwe kupitia kazi nyingine muhimu ambazo lazima ziwe na alama, kama PRESENTATIONS, GROUP ASSIGNMENTS, CLINICS + WORKSHOPS and INTERNSHIP WITH MARKS.

Sasa wanaitwa DIPLOMA IN LEGAL PRACTICE huku wakichukua ada ya zaidi ya milioni moja, ilhali vipimo vyote vinatolewa kupitia mitihani. Hii siyo sahihi, kwasababu hata mahakamani kwenyewe wanasheria huwa hatuviziani ila tunapewa muda wa kujiandaa. Sasa mtoto anakaa INTERNSHIP miezi zaidi ya sita huku akija kukaguliwa kihunihuni tu mara moja, bila kupewa alama yoyote ile ya muhimu. Kwanini hawa wanafunzi wasipangiwe hata miezi miwili-miwili kufanya kazi la lazima zenye alamu mahakama za mwanza, mabaraza ya ardhi, mabalaza ya usuluhishi, dawati la jinsia ???

Jingine, ambalo nimeliona ni jambo la kipumbavu kufanywa na watu wanaojiita wasomi ni kitendo cha kutoa matokeo ya mitihani yote ya mwaka mzima ndani ya siku moja, baada ya mwaka mzima na miezi mitatu kupita. Kwanini matokeo ya ICA (Individual Continous Assessment), WPE (WRITTEN PRACTICAL EXAMINATION) na FINALS NON-CORE hayatolewi mapema, ili mwanafunzi ajue mbivu na mbichi na aweze kujipanga vizuri kwenye mitihani ya mwisho ??? Pia wawekewe utaratibu maalamu kabisa wa kuyarudia haya masomo wakati hata wako shule, hasa wiki moja baada ya kumaliza WPE ???

Lingine muhimu ni kwamba LST, kuna mitihani ya WPE (Written Practical Examination) ambayo kwingineko duniani mwanafunzi huifanya kwa kufanya tafiti pamoja na majadiliano na wanafunzi wenzake, kisha baadae huenda kufanya huo mtihani. Ilhali sasa pale LST, wanafunzi wanafungiwa masaa manne (4) wakisoma mavitabu, bila kuruhusiwa kuzungumza halafu wanapewa saa moja kupumzika, ili warudi kufanya mtihani huohuo kwa masaa matatu. (It's just emotional debilitating)

Tatu, hili la kulazimisha kila anayesoma sheria awe wakili nadhani ni jambo la kishenzi ambalo lilifanywa kwa mihemko bila kufikiriwa. Miaka yote huko nyuma watu tuliajiriwa kama STATE ATTORNEYS bila hata kuwa wanasheria. Tulitakiwa tu tufanye INTERNSHIP miezi tisa kwa ATTORNEY GENERAL halafu tunaenda kufanya BAR-EXAMINATION kule Arusha. Kinachoshangaza ni kwamba wengi ambao hawakupita Law School wako vizuri kuliko hata hawa watoto wenu wa Mawasiliano nyuma kule.

Kubwa zaidi, wanasheria tuko kwenye nyanja kuu mbili ambazo ni LEGAL PRACTITIONER (ADVOCATES) na JURIST (LEGAL SCHOLARS/LEGAL RESEARCHERS). Hawa ni watu wawili tofauti na wanafanya kazi tofauti kabisa, sasa ukitaka kuwalazimisha wawe kitu kimoja utakuwa unapuyanga mno. Leo hii ushauri wa sheria wa JURIST unaweza kuwa una uzito kuliko hata ORDINARY LEGAL PRACTITIONER, kutokana na tafiti na ufahamu. Sasa kwenye nchi fulani ya kusadikika, wenyewe kwasababu hawana SPECIALIZATION basi wanalazimisha kila mtu awe wakili, kwamba hata JURIST haweza kutoa ushauri kama hana muhuri. Just Lackadaissical and Nonsensical....

Nne, mtaala wa shule ya sheria ni wa kizamani sana na hauwezi kumfanya mwanafunzi awe vizuri kwenye soko la kimataifa. Kuna baadhi ya masomo tulitegemea yafundishwe pale LST, lakini hayapo kwenye mtaala. Mfano, INTERNATIONAL COMMERCIAL ARBITRATION, INVESTMENT LAW, BASICS OF INTERNATIONAL ECONOMICS LAW/ INTERNATIONAL TRADE AND FINANCE LAW. Nchi haina wataalamu wa haya masomo, sisi tunakomaa kufundisha PROPABATE & ADMINISTRATION OF ESTATES, COMMERCIAL LAW, LEGAL ETHICS, HUMAN RIGHTS and ACCOUNTS FOR LAWYERS masomo ambayo vyuo vingi vinayafundisha na vinaweza kuyafundisha vizuri.

Kesi kubwa kama zila za makinikia, DOWANS, ESCROW n.k zinahitaji mwanasheria walau awe anajua masomo ya INTERNATIONAL COMMERCIAL ARBITRATION, ambapo anatakiwa aifahamu mikataba mikubwa BIT (Bilateral Investment Treaties), pamoja na taasisi muhumu kama ICSID, PIC, ICC. Lakini sisi tunakomaa kuwafelisha watoto masomo kama ACCOUNTS. Sijui hii nchi haina watu wenye akili kabisa. Mambo ya ajabu yanafanyika na hakuna hata anayestuka.

Tano, mradi wa LST tangu mwaka 2006 marehemu Prof. Mukoyogo aliupinga kweli kwasababu aliona hauna maana zaidi ya kuwatengenezea ulaji baadhi ya wataalamu wa pale University of Dar es Salaam. Hivi kweli, tuna uhakika kwamba haya masomo ya LST hayawezi kufundishwa vizuri kwenye vyuo ambavyo wanafunzi wanasoma wakiwa wanatafuta Shahada ya kwanza kweli ???

Jambo jingine ni kwamba wataalamu wengi wa pale LST wameamua kufanya biashara ya vitabu. Wanatunga mitihani ambayo majibu yake utayapata kama tu umenunua vitabu vyao. Hili nilishawahi kuambiwa nikathibitisha mwenyewe kwenye baadhi ya vitabu. Hii ni tabia ya kishezi ambayo inaumiza na kukwamisha wengine huku wengine wakipata ukwasi mkubwa. Mwanafunzi anataoa pesa nyingi za Ada lakini hivyo vitabu havipo maktaba, utavipata mpaka umfuate mwandishi mwenyewe na umlipe 50,000. Kwanini msiweke vitabu vingi kule maktaba wanafunzi wakavisoma ???

Sita, hivi inawezekanaje mwanafunzi ambaye amefauli vizuri shahada yake afeli vibaya kwa kiwango cha DISCONTINUE pale LST ??? Ina maana huyu mwanafunzi hafahamu kitu chochote kabisa ??? Lakini, kubwa zaidi ni hili la wanafunzi 600 kuanza pamoja, lakini wanaofaulu ni watu 30, huku nusu ingine ikiwa inafanya SUPPLEMENTARY au DISCONTINUED. Sijui kwanini hili haliwastui Majaji na Wizara. Watu hufeli, lakini siyo kwa kiwango hicho ambacho kinafanyika pale Law School.

Pia, pale pana rushwa sana ya ngono, kukomoana na kubadilishiana matokeo. Kuna jamaa niliwahi kuwa naye mahakamani aliwahi niambia kwamba kuna rafiki zake wanafundisha pale walimuahidi kwamba watamfaulisha, na kweli alifauri vizuri hadi tukashangaa. Alikuwa na maswali hata kabla mitihani haijaanza. Nikasema HIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII...


TANZANIA HAKUNA KITU KINACHOFANYA KAZI VIZURI KUSEMA TUNAWEZA JIVUNIA...
Mkuu kitaaluma Mimi sio mwanasheria lakini umeshusha nondo hatari umeshuka vizuri sana yaani wahusika wakiipata hii itawasaidia sana. Umetoa vikwazo na usuluhishi ni wachache sana wanafanye hivyo big up bro.
 
Kuna nini pale cha kutisha? CIVIL PROCEDURE? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuchora affidavit na plaint!!?? You don't need to be smart to do that!

Ni ujinga ujinga tu wa mafisadi wachache waliokumbatia taaluma kama mali binafsi ya kampuni!
-ndiyo unahitaji kuwa smart sana kwenye kuandaa Plaint, bila kuwa smart kuandaa plaint Utapigwa PO hadi utamani uache uwakili.
 
Mimi sio genious, ila pia sio kilaza!. Nimesoma Special School, Ilboru, uliza namna ya ku join special school.
LL.B yangu ni hons!, mtafute yoyote aliyesoma sheria UDSM umuulize hons ya UD sheria ina maana gani?.

Its true mimi sina u special wowote na sheria haina u special wowote ila mimi ni wakili na kuwa wakili one needs to be very very special!.

Yes kila mtu
Umewahi kushinda kesi zipi mkuu?
 
-punguza hasira mkuu, Law School ukidisco unaruhusiwa kurudia
-kuwa Wakili sio mchezo, ndiyo maana Wanaitana Wasomi,
Sheria ni za wasichana Kama TULIA ACKSON.

Haina usomi wowote na hasa ukizingatia ni wahitimu wa HKL.

Choka mbaya, intellectually and economically.

Mimi usinifananishe na hizo takataka!

Mimi ni mtu tofauti kabisa, don't mistake me with some unwarranted rubbish!
 
-huyo kasoma UINGEREZA hao huwa wanafeli sana kwa sababu wengi wao hawazijui Sheria za tanzania vizuri, but only legal principles za common law.
Naomba nitue ushuhuda Nina Dada yangu alisomea uhasibu Uingereza akarudi. CPA wakamzingua kilichofata akapiga ACCA na hivi Sasa kafungua kampuni ya auditing na mwenzake.
 
Naomba nitue ushuhuda Nina Dada yangu alisomea uhasibu Uingereza akarudi. CPA wakamzingua kilichofata akapiga ACCA na hivi Sasa kafungua kampuni ya auditing na mwenzake.
Bongo kila jambo linawekewa magumashi.

Kuna mafisadi yameatamia taaluma kama mali ya kampuni.

Huko kwenye CPA ndio uchafu mtupu. Selfish individuals with some ulterior malicious motives.
 
Back
Top Bottom