Tuhuma za ufisadi zinazodaiwa kumpelekea Dkt. Ryoba kubwaga manyanga

JF imeanza kurudi katika ubora wake
 
Aisee hizi data ni Detailed sana, Naiona JF katika ubora wake
 
Mkurugenzi wa satellite alafu hata kwenye dish ya futi 6. C band tbc haipatikani upuuzi mwingi sana. Wanashindwa hata na Itv
 
Ayoub Ryoba Acha avune alichopanda,maana alizidisha uchawa.
 
Kwamba accounting officer hajui hizo bei za kifisadi wakati ndio anaidhinisha malipo?
 
Vitu nilivyogundua ni kwanza matatizo ya TBC tunayoona kwenye TV chanzo chake ni utawala wa shirika,pili huu waraka una agenda ya kumsafisha Ayubu Ryoba
Hasafishiki. Nimesema mahala humu kwamba huenda waraka huu umeandikwa na Ryoba mwenyewe ili kujisafisha lakini ni mambo ya kitoto sana
 
Amejiuzulu lini wakati naona post ya tbc wameweka tangazo jana anasimamia kipindi?
 
JF imerudi kwenye ubora wake
Kama Ni kweli basi tbc hali Ni mbaya
 
Wavune walichopanda...
Inasikitisha sana...
 
Kwani TBC (Tazama Blaablaa za Ccm) bado ipo? Inaoneshaga nini kwasasa?
Wengine tulihamiaga Azam (burudani kwawote) na kina mzee Tido,Chalz Hilary etc. sikumingi...
huku Azam tunajifunza na kuenjoy vitu vya kiuweledi...sio vyaki coward
 
Duh! Kweli nchi yetu inaliwa sana na watu tulio wapa dhamana ya kusimamia mambo
Yaani utasikia
Tanesco upigaji..
TBC Upigaji
Elimu upigaji
Afya upigaji
Vyuo upigaji
Enyi viongozi waoneeni huruma wananchi ,inchi inachelewa mmuno kuendelea.
 
Da jamaa hata woga hawana,hizi bei karibu ni mara 2 au 3 ya bei halisi yaani wame hike kinoma na sijui walikuwa wananunua wapi hivi vifaa ,kama ni hapa nchini receipts za EFD zimetolewa kwa hizo bei?
 
Mkuu naona hujui kusoma kuna kampuni imekuwa ikila shavu hapo kuanzia 1999 na je miaka hiyo mwendazake ndie alikuwa mwenye kigoda?chuki za nini? mbona wengine huwasemi,ubazazi wa tender haujaanza tu kipindi cha juzi wanange na wengine basi kama umekuwa mkweli, huwajui wala rushwa wa TZ ambao hata mtoto wa juzi anawajua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…