Tuhuma za ufisadi zinazodaiwa kumpelekea Dkt. Ryoba kubwaga manyanga

Tuhuma za ufisadi zinazodaiwa kumpelekea Dkt. Ryoba kubwaga manyanga

This is a political hit job. Angekuwa fisadi mngesubiri hadi atangaze kuacha kazi ndo muanze kumchafua?

TBC is a vital installation. Kuna watu wa TISS wamejazana pale. Giving you benefit of doubt, huo "ufisadi" uliwezekanaje under their watch?
Mkuu acha hizo, chini ya yule mwamba kwani TISS nao walikuwa ni wasafi?
Huko kwao tu kuna madudu ya mitambo ya wa Israeli.

Simfagilii sana Ryoba lakini kujiuzulu ameonyesha ukomavu.
Nani anaachia paja la kuku kwa hiari.
More over hata uchunguzi utafanyike kwa uhuru.

Na hizi data jamaa amezimwaga ziko detailed mno kuwa za kuchafua mtu.
 
Huyo punda Rioba anatakiwa afungwe kama Sabaya, maana yeye ndo alikuwa anashadadia Magufuli atangazwe kila sekunde na kuimbiwa mapambio Kama Mungu hapo TBC..
 
Mkuu acha hizo, chini ya yule mwamba kwani TISS nao walikuwa ni wasafi?
Huko kwao tu kuna madudu ya mitambo ya wa Israeli.

Simfagilii sana Ryoba lakini kujiuzulu ameonyesha ukomavu.
Nani anaachia paja la kuku kwa hiari.
More over hata uchunguzi utafanyike kwa uhuru.

Na hizi data jamaa amezimwaga ziko detailed mno kuwa za kuchafua mtu.
Kuna mtu alitaka kuwakata makofi kwa uchawa wao
 
jibu sahihi ni kuwa alikuwa anawaamini watendaji wake kupita kiasi. kuna taarifa kuwa huyo Mkurugenzi wa Manunuzi yeye ndie alimleta alipoteuliwa.

You do make sense pia, maana kila siku wanafanya manunuzi lakini hakuna ubora katika production yao na vipindi havina mvuto.

Wote wanahusika na wote wapigaji; asikwambie mtu tu tu tu - wote wapigaji
 
Wale wanaodai wakati wa Magufuli alikomesha ufisadi na kumsifu kiasi cha kutamani kumuabudu waje hapa kumtetea yule mungu wao iliwezekana vipi kufanyika ufisadi kama huo?

Kila mara tunasema yule mtu alikuwa anatumia nguvu nyingi kuficha matendo maovu yaliyokuwa yakifanyika ili apate sifa nzuri lakini wapambe mlikuwa mnabisha.
 
BAADHI YA TUHUMA ZINAZODAIWA KUMPELEKEA DR. AYUBU RYOBA KUJIUZULU
  • Yeye binafsi hana tuhuma za moja kwa moja, anawajibika kwa matumizi mabaya ya ofisi yaliyofanywa na wasaidizi wake.
  • Wasaidizi hao kwa uchache ni Mkurugenzi wa Manunuzi na Mkuu wa Sattelite.
  • Tayari baadhi yao wamekuwa wakihojiwa na TAKUKURU.
  • Makampuni Zaidi ya matatu yamekuwa yakihusika katika kupata zabuni bila kufuata
Wizi wa mali za walipa kodi unakera sana. Wote wawajibishwe
 
BAADHI YA TUHUMA ZINAZODAIWA KUMPELEKEA DR. AYUBU RYOBA KUJIUZULU
  • Yeye binafsi hana tuhuma za moja kwa moja, anawajibika kwa matumizi mabaya ya ofisi yaliyofanywa na wasaidizi wake.
Nimekuelewa sana kuhusu "usafi" wa Dr. Ryoba kwenye sakata hili; ila ningependa kusisitiza kuwa hawa WASOMI wanaochukuliwa na kuibuliwa kutoka huko mavyuoni, hawajahi kuwa good administrators BALI ni good academicians na hivyo kuwachanganya wanaowapa hizo nafasi kwa kudhani kuwa MSOMI mzuri anaweza kuwa mtawala (administrator) au msimamizi (manager/supervisor) mzuri au kiongozi (leader) mzuri! Hapana! Utawala, Usimamizi na Uongozi ni SAYANSI na wahusika lazima wasomee mambo hayo jamani! Na wengine ni VIPAJI tu kutoka kwa Mungu.
 
Nimekuelewa sana kuhusu "usafi" wa Dr. Ryoba kwenye sakata hili; ila ningependa kusisitiza kuwa hawa WASOMI wanaochukuliwa na kuibuliwa kutoka huko mavyuoni, hawajahi kuwa good administrators BALI ni good academicians na hivyo kuwachanganya wanaowapa hizo nafasi kwa kudhani kuwa MSOMI mzuri anaweza kuwa mtawala (administrator) au msimamizi (manager/supervisor) mzuri au kiongozi (leader) mzuri! Hapana! Utawala, Usimamizi na Uongozi ni SAYANSI na wahusika lazima wasomee mambo hayo jamani! Na wengine ni VIPAJI tu kutoka kwa Mungu.
Umenena ya kweli kabisa. Wanakuwa hawajui mbinu za watu wa chini yao maana hawajawahi kaa katika utendaji wa kawaida. Na wanakuwa hawana muda kusocialize na watu wa chini ambao wanaweza kuwapa baadhi ya taarifa muhimu na wao wakazifanyia kazi.
 
Back
Top Bottom