Tuhuma za wizi wa Hayati Magufuli haziniumizi, kinachoniumiza kwanini alizaliwa kwenye nchi hii?

Tuhuma za wizi wa Hayati Magufuli haziniumizi, kinachoniumiza kwanini alizaliwa kwenye nchi hii?

Ndiyo,

Kinaniuma kwa sababu hasa ya waliostahili kuzaliwa hapa! Waliozaliwa kihalali katika nchi hii ndio hao walionipa kutaka nijue ni kivipi JPM azaliwe katikati yao?
Jpm alikuwa na uwezo Gani we kima. Katuhalibia nchi yetu five years karundika graduates mitaani bila ajira yoyote kitu ambacho kinampa wakati mgumu mama kuabsorb hili group kubwa lilotelekekezwa na jpm. Kila sehemu ilikuwa hovyo. Private sector ilikuwa inapumulia machine na ndo ilikuwa inaajiri graduates kibao ambao walikuwa hawataki kwenda serikalini. Seriki nako ilikuwa ni issue mpaka umjue mtu ndo angalau upate ajira ndogo zilizokuwepo. Pumbavu kabisa mtoa mada.
 
Hili britanicca atakujibu

Mtoto haamui azaliwe wapi!.

Mtoto haamui azaliwe wapi!.

Japo huyu Mwamba yuko peponi, Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani lakini kiukweli sijalipenda bandiko hili kwasababu lina ukweli fulani mchungu sana kumeza!, muulize Mkuu britanicca akuelezee kuhusu mtoto mmoja mdogo kwa jina la Katto, alizaliwa wapi?, baba yake halisi huyo Katto ni nani?, aliingia nchini lini?, akiwa na umri gani?, akitokea wapi?, alikuja na nani, na walifikia wapi?.

Kitu ambacho sitaki umuulize britanicca ni usimuulize kuhusu what then happened kwa huyo Katto kwasababu Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
P
Katto Omugakorongo omulalo aachwe apumzike mtoto huyu wa kufikia ambaye alitaka nchi amuachie Mdogo wake kikabila Ndailos ambaye Jina lake likafutwa aitwe Kakurwa mtoto wa Mama Anord wanapouza nanasi Kama unaelekea ikimba ilipo BURIGI 🙏

Britanicca
 
Lissu ndio angetakiwa azaliwe Ulaya au Marekani, hapa anakosa watu wa aina yake kabisa.
Mtu mwenyewe ameshawakimbia..amesepa zake kwenda ughaibuni nyie bado mnamsema tu mpaka leo...hahahha.. amewakuta watanzania wa leo Wana akili kuliko wale aliowaacha..
 
Mkuu, umeandika machache sana kati ya mengi aliyo fanya.

Angalia Barabara kuanzia kimara mpaka mail Moja pia utajua Jembe alitaka Tanzania ya namnagani.

Tatizo kila Barbara mnasema ya JPM, wanafiki beans.
 
Ndiyo,

Kinaniuma kwa sababu hasa ya waliostahili kuzaliwa hapa! Waliozaliwa kihalali katika nchi hii ndio hao walionipa kutaka nijue ni kivipi JPM azaliwe katikati yao?
TZ ni nchi ya ajabu na watu wake hawaeleweki sababu ya kulalamika sana, ndo maana lugha yetu ni kiswahili. Kuna mtu mmoja hapa JF aliwahi kusema kiswahili ni lugha ya kimbea sana.
 
Ndiyo,

Kinaniuma kwa sababu hasa ya waliostahili kuzaliwa hapa! Waliozaliwa kihalali katika nchi hii ndio hao walionipa kutaka nijue ni kivipi JPM azaliwe katikati yao?
Sawa alipenda mabadiliko ila alikuwa anafanya kwa kutulaghai uwongo mwingi ili apate popularity.

Acha waseme ili nyongo iwaishe hawakuwa na pakusemea kipindi cha bwana mzee yule..

Mwendazake alikuwa hataki kuambiwa chochote wala ushauri wwte hii nao haikuwa sawa hasa kwa nchi km Tanzania bado mno..
 
Katto Omugakorongo omulalo aachwe apumzike mtoto huyu wa kufikia ambaye alitaka nchi amuachie Mdogo wake kikabila Ndailos ambaye Jina lake likafutwa aitwe Kakurwa mtoto wa Mama Anord wanapouza nanasi Kama unaelekea ikimba ilipo BURIGI [emoji120]

Britanicca
Ilikuwaje tukashindwa ng'amua hatari kama hii.
Si kwa ubaya, lakini kama ni kweli basi Kuna mageuzi makubwa yanahitajika. Japo ni Mtanzania mwenzetu. Ishu ya kuzaliwa akiwa si raia, tena katika umri wa kujielewa ni suala zito kidogo. Hasa katika nafasi iliyo nyeti kabisa kwa katiba hii yetu. Tathmini inahitajika katika idara zetu.
 
Nimeshindwa kumchukia JPM
Yaani kuna mkono wake kila mahali. Rest in peace JPM
 
Ndiyo,

Kinaniuma kwa sababu hasa ya waliostahili kuzaliwa hapa! Waliozaliwa kihalali katika nchi hii ndio hao walionipa kutaka nijue ni kivipi JPM azaliwe katikati yao?

Na iliwezekanaje yeye JPM akubali kuzaliwa katika nchi hii ngumu ukilinganisha na aliyoifanyia hii nchi, badala yake, kwa upekee wake, eti anaogeshwa matusi ya ajabu na wenye nchi yao ngumu!

Ninajaribu kujiuliza na kuhoji uwezo wake mkubwa ambao haujawahi kuoneshwa na kiongozi yeyote hapa!

Alikuwa na uwezo wa kipekee, aliiona Tanzania ikiwa ni nchi wezeshi kwa nchi zingine na nchi yenye uwezo mkubwa kimaendeleo,

Kwa kauli zake hizo, wenyeji ziliwachanganya na wasielewe kwa sababu ndio uwezo wao pekee na huwezi kuwalaumu!

Jambo la kwanza ili kuendana na kauli zake, aliitangaza kuwa, nchi hii ni lazima iwe na viwanda vingi na ili tu wazaliwa wa nchi hii wapate ajira, serikali ikusanye kodi na nchi kuuza bidhaa nyingi nje! Kwa wenyeji, jambo hili kwao ni tusi kwa sababu ndio akili zao zinaishia

Haikutosha, kwa sababu aliiona Tanzania ikiwa ni nchi ya viwanda vingi vikubwa kwa vidogo; akaona mizigo mingi sana ikitoka kila kona ya nchi, akazihurumia barabara na kuona hasara kwa serikali kukaa inakarabati barabara zake zitakazosababishiwa na malori na katika kuhakikisha viwanda vidogovidogo vinafika hadi kijijini, alibuni namna nzuri kuhakikisha umeme umemfikia mwananchi kokote kule kwa bei ya Karibu na bule ya Tsh 27000 tu

Akaamua ajenge Reli mpya ya mizigo SGR ili kukabiliana na jambo hilo, wenyeji wa nchi Hii, jambo hili ni upumbavu!

Akakumbuka tena kwamba, viwanda anavyotamani kuviona katika nchi isiyo yake, shida itakuwa umeme, na ili nchi iwe na ushindani wa kibiashara, lazima kuwepo na umeme wa uhakika na wa bei ndogo, akaona JKNHP ni suluhisho la jambo hilo, angalia vita iliyoibuka juu yake na wenyeji wa nchi Hii ngumu, kila mtu ni shahidi kwa alivyoshambuliwa kila kona! Unajiuliza, ilikuwaje azaliwe kwenye nchi ya watu aina hii tulivyo?

Hakuishia hapo tu, akatazama akaiona Tanzania kuwa ndio kituo kikuu cha biashara ya Madini ndani na nje ya nchi, wageni waje kununua na kuuza dhahabu, serikali ipate kodi na wananchi wafanye biashara, akafungua masoko ya Dhahabu kila kona ya nchi, kwa wenyeji eti hiyo ni kero?

Kwa nini JPM ulikubali uzaliwe katika nchi Hii! Mama mzazi wa JPM utusamehe sana,

Hakuishia hapo, alipoitazama Tanzanite yetu, akagundua kuwa, ni Madini yetu lakini hayatupi faida yoyote zaidi ya mataifa Jirani! Alichokifanya kila raia ni shuhuda, na hii yote ni kwa ajili ya wenyeji wazaliwa! Lakini wapi!

Akaiona Daresalaam kuwa ni jiji linaloshughurika na biashara za kimataifa na kitaifa, akaona kuwa hiyo itakuwa kero kwa viongozi mbalimbali wa kitaifa na kimataifa kujichanganya katika jiji lenye kuvuta watu wa kila aina, akahamisha makao mkuu kwa kasi na nguvu zote kuupisha mji huo mkubwa nchini ili uwe wa kibiashara tupu, lakini wenyeji mpaka leo hawana uelewa juu ya jambo hilo!

Asante JPM kwa maisha yako katika nchi usiyoistahili uzaliwe! Asante kwa uliyotuachia!

Huko uliko Hayati Magufuli utusamehe sana wenyeji wa nchi hii
Sukuma gang mna-force mambo, zikianzishwa za kuelezea maovu aliyoyafanya mnaanza kulalamika mkidai 'marehu muacheni apumzike'.
Kunyoosha maelezo ni kwamba yule Muhutu Jiwe aliopaswa kuongoza kwao Burundi, ameichafua sana TZ na udhalimu wake hautasahauluka. Ringleader la watu wasiojulikana.
 
Joseph Pombe alizaliwa Burundi kwa Baba asiyefahamika. Alivuka mpaka wa Burundi ña mama yake na mama akaja kuolewa na mtu aliyeitwa Magufuli.

Tuwalaumu TISS na CCM ya Kikwette kumpitisha mkimbizi kugombea Urais wa Tanzania na kuwa Rais wetu.

Alichokuwa anafanya Joseph Pombe ni kui vuruga nchi yetu ya amani iwe kama nchi zao za Burundi, Rwanda au Somali.

Wote kwa dakika moja hapo tulipo tuseme ASANTE MUNGU kwa kutuondolea yule Shetani
Yeah[emoji106]
 
Jpm alikuwa na uwezo Gani we kima. Katuhalibia nchi yetu five years karundika graduates mitaani bila ajira yoyote kitu ambacho kinampa wakati mgumu mama kuabsorb hili group kubwa lilotelekekezwa na jpm. Kila sehemu ilikuwa hovyo. Private sector ilikuwa inapumulia machine na ndo ilikuwa inaajiri graduates kibao ambao walikuwa hawataki kwenda serikalini. Seriki nako ilikuwa ni issue mpaka umjue mtu ndo angalau upate ajira ndogo zilizokuwepo. Pumbavu kabisa mtoa mada.
Inaonekana kichwa chako kimejaa matusi, hasira na ghadhabu na hufuatili mambo kwa kutumia akili yako zaidi ya kusikiliza porojo. Hivi ile miradi yote aliyoanzisha ya SGR, Bwawa la Nyerere, ujenzi wa madaraja, ununuzi wa ndege huko waliajiriwa Nyani?

Tatizo la ajira halikuanza awamu ya tano na wala haliwezi kwisha kamwe. JPM ndio kiongozi pekee aliyeanzisha miradi mingi ambayo ilitoa ajira kwa makundi yote ya wasomi na walio na elimu ya kawaida.
 
Back
Top Bottom