Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Yeye mwenyewe kafa na mimba ya kupigwa mande na wahunialikuacha vibaya tena na mimba! waliozaliwa tanzania wanakuletea ugali mezani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye mwenyewe kafa na mimba ya kupigwa mande na wahunialikuacha vibaya tena na mimba! waliozaliwa tanzania wanakuletea ugali mezani.
Naona unakimbilia matusi badala ya kujibu hoja kistaarabu. Kuanzia leo ukae ukijua kuna aina mbili za ajira, ajira za kudumu na ajira temporary. Hiyo miradi ilileta ajira za temporary lakini pia ilitoa ajira za kudumu, na ikikamilika inabaki na ajira nyingi ambazo ni zakudumu.Unafikiri miradi inatatia tatizo la ajira. We ndo akili kisoda kabisa. Miradi ni sector ndogo sana ya kuajiri si chini ya elfu 10 na pia temporary ikiisha tu na ajira zinayeyuka. Unataka kusema mwalimu au dactari ataenda kufanya kazi kwenye bwawa la nyerere au sgr?
Adui mkuu wa nchi hii ni KIKWETE NA GENGE LAKE ...wananchi wote kwa pamoja tunatakiwa kukataa mtu yoyote mwenye rangi ya huyu chegovaraNdiyo,
Kinaniuma kwa sababu hasa ya waliostahili kuzaliwa hapa! Waliozaliwa kihalali katika nchi hii ndio hao walionipa kutaka nijue ni kivipi JPM azaliwe katikati yao?
Na iliwezekanaje yeye JPM akubali kuzaliwa katika nchi hii ngumu ukilinganisha na aliyoifanyia hii nchi, badala yake, kwa upekee wake, eti anaogeshwa matusi ya ajabu na wenye nchi yao ngumu!
Ninajaribu kujiuliza na kuhoji uwezo wake mkubwa ambao haujawahi kuoneshwa na kiongozi yeyote hapa!
Alikuwa na uwezo wa kipekee, aliiona Tanzania ikiwa ni nchi wezeshi kwa nchi zingine na nchi yenye uwezo mkubwa kimaendeleo,
Kwa kauli zake hizo, wenyeji ziliwachanganya na wasielewe kwa sababu ndio uwezo wao pekee na huwezi kuwalaumu!
Jambo la kwanza ili kuendana na kauli zake, aliitangaza kuwa, nchi hii ni lazima iwe na viwanda vingi na ili tu wazaliwa wa nchi hii wapate ajira, serikali ikusanye kodi na nchi kuuza bidhaa nyingi nje! Kwa wenyeji, jambo hili kwao ni tusi kwa sababu ndio akili zao zinaishia
Haikutosha, kwa sababu aliiona Tanzania ikiwa ni nchi ya viwanda vingi vikubwa kwa vidogo; akaona mizigo mingi sana ikitoka kila kona ya nchi, akazihurumia barabara na kuona hasara kwa serikali kukaa inakarabati barabara zake zitakazosababishiwa na malori na katika kuhakikisha viwanda vidogovidogo vinafika hadi kijijini, alibuni namna nzuri kuhakikisha umeme umemfikia mwananchi kokote kule kwa bei ya Karibu na bule ya Tsh 27000 tu
Akaamua ajenge Reli mpya ya mizigo SGR ili kukabiliana na jambo hilo, wenyeji wa nchi Hii, jambo hili ni upumbavu!
Akakumbuka tena kwamba, viwanda anavyotamani kuviona katika nchi isiyo yake, shida itakuwa umeme, na ili nchi iwe na ushindani wa kibiashara, lazima kuwepo na umeme wa uhakika na wa bei ndogo, akaona JKNHP ni suluhisho la jambo hilo, angalia vita iliyoibuka juu yake na wenyeji wa nchi Hii ngumu, kila mtu ni shahidi kwa alivyoshambuliwa kila kona! Unajiuliza, ilikuwaje azaliwe kwenye nchi ya watu aina hii tulivyo?
Hakuishia hapo tu, akatazama akaiona Tanzania kuwa ndio kituo kikuu cha biashara ya Madini ndani na nje ya nchi, wageni waje kununua na kuuza dhahabu, serikali ipate kodi na wananchi wafanye biashara, akafungua masoko ya Dhahabu kila kona ya nchi, kwa wenyeji eti hiyo ni kero?
Kwa nini JPM ulikubali uzaliwe katika nchi Hii! Mama mzazi wa JPM utusamehe sana,
Hakuishia hapo, alipoitazama Tanzanite yetu, akagundua kuwa, ni Madini yetu lakini hayatupi faida yoyote zaidi ya mataifa Jirani! Alichokifanya kila raia ni shuhuda, na hii yote ni kwa ajili ya wenyeji wazaliwa! Lakini wapi!
Akaiona Daresalaam kuwa ni jiji linaloshughurika na biashara za kimataifa na kitaifa, akaona kuwa hiyo itakuwa kero kwa viongozi mbalimbali wa kitaifa na kimataifa kujichanganya katika jiji lenye kuvuta watu wa kila aina, akahamisha makao mkuu kwa kasi na nguvu zote kuupisha mji huo mkubwa nchini ili uwe wa kibiashara tupu, lakini wenyeji mpaka leo hawana uelewa juu ya jambo hilo!
Asante JPM kwa maisha yako katika nchi usiyoistahili uzaliwe! Asante kwa uliyotuachia!
Huko uliko Hayati Magufuli utusamehe sana wenyeji wa nchi hii
Adui mkubwa wa hii nchi ni jiwe aliharibu sana kulea magenge ya kiharaifu kama kina Msiba na SabayaAdui mkuu wa nchi hii ni KIKWETE NA GENGE LAKE ...wananchi wote kwa pamoja tunatakiwa kukataa mtu yoyote mwenye rangi ya huyu chegovara
Very few. Jpm ndo aliajira mamiliono bila kunakiza mtu na alikuwa hajigambiNaona unakimbilia matusi badala ya kujibu hoja kistaarabu. Kuanzia leo ukae ukijua kuna aina mbili za ajira, ajira za kudumu na ajira temporary. Hiyo miradi ilileta ajira za temporary lakini pia ilitoa ajira za kudumu, na ikikamilika inabaki na ajira nyingi ambazo ni zakudumu.
Sasa unasema madactari hawakupata ajira hiyo takwimu unayo au unaleta hisia tu hapa, kwa hiyo sisi tulioajiriwa 2019 na 2020 tusemaje.
Ili awafikie kiwepesi mafisadiAdui mkubwa wa hii nchi ni jiwe aliharibu sana kulea magenge ya kiharaifu kama kina Msiba na Sabaya
Ndiyo,
Kinaniuma kwa sababu hasa ya waliostahili kuzaliwa hapa! Waliozaliwa kihalali katika nchi hii ndio hao walionipa kutaka nijue ni kivipi JPM azaliwe katikati yao?
Na iliwezekanaje yeye JPM akubali kuzaliwa katika nchi hii ngumu ukilinganisha na aliyoifanyia hii nchi, badala yake, kwa upekee wake, eti anaogeshwa matusi ya ajabu na wenye nchi yao ngumu!
Ninajaribu kujiuliza na kuhoji uwezo wake mkubwa ambao haujawahi kuoneshwa na kiongozi yeyote hapa!
Alikuwa na uwezo wa kipekee, aliiona Tanzania ikiwa ni nchi wezeshi kwa nchi zingine na nchi yenye uwezo mkubwa kimaendeleo,
Kwa kauli zake hizo, wenyeji ziliwachanganya na wasielewe kwa sababu ndio uwezo wao pekee na huwezi kuwalaumu!
Jambo la kwanza ili kuendana na kauli zake, aliitangaza kuwa, nchi hii ni lazima iwe na viwanda vingi na ili tu wazaliwa wa nchi hii wapate ajira, serikali ikusanye kodi na nchi kuuza bidhaa nyingi nje! Kwa wenyeji, jambo hili kwao ni tusi kwa sababu ndio akili zao zinaishia
Haikutosha, kwa sababu aliiona Tanzania ikiwa ni nchi ya viwanda vingi vikubwa kwa vidogo; akaona mizigo mingi sana ikitoka kila kona ya nchi, akazihurumia barabara na kuona hasara kwa serikali kukaa inakarabati barabara zake zitakazosababishiwa na malori na katika kuhakikisha viwanda vidogovidogo vinafika hadi kijijini, alibuni namna nzuri kuhakikisha umeme umemfikia mwananchi kokote kule kwa bei ya Karibu na bule ya Tsh 27000 tu
Akaamua ajenge Reli mpya ya mizigo SGR ili kukabiliana na jambo hilo, wenyeji wa nchi Hii, jambo hili ni upumbavu!
Akakumbuka tena kwamba, viwanda anavyotamani kuviona katika nchi isiyo yake, shida itakuwa umeme, na ili nchi iwe na ushindani wa kibiashara, lazima kuwepo na umeme wa uhakika na wa bei ndogo, akaona JKNHP ni suluhisho la jambo hilo, angalia vita iliyoibuka juu yake na wenyeji wa nchi Hii ngumu, kila mtu ni shahidi kwa alivyoshambuliwa kila kona! Unajiuliza, ilikuwaje azaliwe kwenye nchi ya watu aina hii tulivyo?
Hakuishia hapo tu, akatazama akaiona Tanzania kuwa ndio kituo kikuu cha biashara ya Madini ndani na nje ya nchi, wageni waje kununua na kuuza dhahabu, serikali ipate kodi na wananchi wafanye biashara, akafungua masoko ya Dhahabu kila kona ya nchi, kwa wenyeji eti hiyo ni kero?
Kwa nini JPM ulikubali uzaliwe katika nchi Hii! Mama mzazi wa JPM utusamehe sana,
Hakuishia hapo, alipoitazama Tanzanite yetu, akagundua kuwa, ni Madini yetu lakini hayatupi faida yoyote zaidi ya mataifa Jirani! Alichokifanya kila raia ni shuhuda, na hii yote ni kwa ajili ya wenyeji wazaliwa! Lakini wapi!
Akaiona Daresalaam kuwa ni jiji linaloshughurika na biashara za kimataifa na kitaifa, akaona kuwa hiyo itakuwa kero kwa viongozi mbalimbali wa kitaifa na kimataifa kujichanganya katika jiji lenye kuvuta watu wa kila aina, akahamisha makao mkuu kwa kasi na nguvu zote kuupisha mji huo mkubwa nchini ili uwe wa kibiashara tupu, lakini wenyeji mpaka leo hawana uelewa juu ya jambo hilo!
Asante JPM kwa maisha yako katika nchi usiyoistahili uzaliwe! Asante kwa uliyotuachia!
Huko uliko Hayati Magufuli utusamehe sana wenyeji wa nchi hii
Unenalo ni kweli kakaKaka nabii hakubaliki kwao
Aliyafanya yote haya akiwa ni rais wa tano wa CCM akitekeleza sera zile zile zilizotekelezwa na watangulizi wake wanne.Ndiyo,
Kinaniuma kwa sababu hasa ya waliostahili kuzaliwa hapa! Waliozaliwa kihalali katika nchi hii ndio hao walionipa kutaka nijue ni kivipi JPM azaliwe katikati yao?
Na iliwezekanaje yeye JPM akubali kuzaliwa katika nchi hii ngumu ukilinganisha na aliyoifanyia hii nchi, badala yake, kwa upekee wake, eti anaogeshwa matusi ya ajabu na wenye nchi yao ngumu!
Ninajaribu kujiuliza na kuhoji uwezo wake mkubwa ambao haujawahi kuoneshwa na kiongozi yeyote hapa!
Alikuwa na uwezo wa kipekee, aliiona Tanzania ikiwa ni nchi wezeshi kwa nchi zingine na nchi yenye uwezo mkubwa kimaendeleo,
Kwa kauli zake hizo, wenyeji ziliwachanganya na wasielewe kwa sababu ndio uwezo wao pekee na huwezi kuwalaumu!
Jambo la kwanza ili kuendana na kauli zake, aliitangaza kuwa, nchi hii ni lazima iwe na viwanda vingi na ili tu wazaliwa wa nchi hii wapate ajira, serikali ikusanye kodi na nchi kuuza bidhaa nyingi nje! Kwa wenyeji, jambo hili kwao ni tusi kwa sababu ndio akili zao zinaishia
Haikutosha, kwa sababu aliiona Tanzania ikiwa ni nchi ya viwanda vingi vikubwa kwa vidogo; akaona mizigo mingi sana ikitoka kila kona ya nchi, akazihurumia barabara na kuona hasara kwa serikali kukaa inakarabati barabara zake zitakazosababishiwa na malori na katika kuhakikisha viwanda vidogovidogo vinafika hadi kijijini, alibuni namna nzuri kuhakikisha umeme umemfikia mwananchi kokote kule kwa bei ya Karibu na bule ya Tsh 27000 tu
Akaamua ajenge Reli mpya ya mizigo SGR ili kukabiliana na jambo hilo, wenyeji wa nchi Hii, jambo hili ni upumbavu!
Akakumbuka tena kwamba, viwanda anavyotamani kuviona katika nchi isiyo yake, shida itakuwa umeme, na ili nchi iwe na ushindani wa kibiashara, lazima kuwepo na umeme wa uhakika na wa bei ndogo, akaona JKNHP ni suluhisho la jambo hilo, angalia vita iliyoibuka juu yake na wenyeji wa nchi Hii ngumu, kila mtu ni shahidi kwa alivyoshambuliwa kila kona! Unajiuliza, ilikuwaje azaliwe kwenye nchi ya watu aina hii tulivyo?
Hakuishia hapo tu, akatazama akaiona Tanzania kuwa ndio kituo kikuu cha biashara ya Madini ndani na nje ya nchi, wageni waje kununua na kuuza dhahabu, serikali ipate kodi na wananchi wafanye biashara, akafungua masoko ya Dhahabu kila kona ya nchi, kwa wenyeji eti hiyo ni kero?
Kwa nini JPM ulikubali uzaliwe katika nchi Hii! Mama mzazi wa JPM utusamehe sana,
Hakuishia hapo, alipoitazama Tanzanite yetu, akagundua kuwa, ni Madini yetu lakini hayatupi faida yoyote zaidi ya mataifa Jirani! Alichokifanya kila raia ni shuhuda, na hii yote ni kwa ajili ya wenyeji wazaliwa! Lakini wapi!
Akaiona Daresalaam kuwa ni jiji linaloshughurika na biashara za kimataifa na kitaifa, akaona kuwa hiyo itakuwa kero kwa viongozi mbalimbali wa kitaifa na kimataifa kujichanganya katika jiji lenye kuvuta watu wa kila aina, akahamisha makao mkuu kwa kasi na nguvu zote kuupisha mji huo mkubwa nchini ili uwe wa kibiashara tupu, lakini wenyeji mpaka leo hawana uelewa juu ya jambo hilo!
Asante JPM kwa maisha yako katika nchi usiyoistahili uzaliwe! Asante kwa uliyotuachia!
Huko uliko Hayati Magufuli utusamehe sana wenyeji wa nchi hii
KWA hiyo maraisi wengine hawakujenga lami?mbona mapambio mengi mno?Mkuu, umeandika machache sana kati ya mengi aliyo fanya.
Angalia Barabara kuanzia kimara mpaka mail Moja pia utajua Jembe alitaka Tanzania ya namnagani.
Wenyeji wa Nchi wanaomsulubu Mwamba kwa matusi ni wachache sana ! Tena wapo humu mitandaoni wa kuhesabu ! Lakini Ukienda kwa Ground mambo ni tofauti kabisa !!Ndiyo,
Kinaniuma kwa sababu hasa ya waliostahili kuzaliwa hapa! Waliozaliwa kihalali katika nchi hii ndio hao walionipa kutaka nijue ni kivipi JPM azaliwe katikati yao?
Na iliwezekanaje yeye JPM akubali kuzaliwa katika nchi hii ngumu ukilinganisha na aliyoifanyia hii nchi, badala yake, kwa upekee wake, eti anaogeshwa matusi ya ajabu na wenye nchi yao ngumu!
Ninajaribu kujiuliza na kuhoji uwezo wake mkubwa ambao haujawahi kuoneshwa na kiongozi yeyote hapa!
Alikuwa na uwezo wa kipekee, aliiona Tanzania ikiwa ni nchi wezeshi kwa nchi zingine na nchi yenye uwezo mkubwa kimaendeleo,
Kwa kauli zake hizo, wenyeji ziliwachanganya na wasielewe kwa sababu ndio uwezo wao pekee na huwezi kuwalaumu!
Jambo la kwanza ili kuendana na kauli zake, aliitangaza kuwa, nchi hii ni lazima iwe na viwanda vingi na ili tu wazaliwa wa nchi hii wapate ajira, serikali ikusanye kodi na nchi kuuza bidhaa nyingi nje! Kwa wenyeji, jambo hili kwao ni tusi kwa sababu ndio akili zao zinaishia
Haikutosha, kwa sababu aliiona Tanzania ikiwa ni nchi ya viwanda vingi vikubwa kwa vidogo; akaona mizigo mingi sana ikitoka kila kona ya nchi, akazihurumia barabara na kuona hasara kwa serikali kukaa inakarabati barabara zake zitakazosababishiwa na malori na katika kuhakikisha viwanda vidogovidogo vinafika hadi kijijini, alibuni namna nzuri kuhakikisha umeme umemfikia mwananchi kokote kule kwa bei ya Karibu na bule ya Tsh 27000 tu
Akaamua ajenge Reli mpya ya mizigo SGR ili kukabiliana na jambo hilo, wenyeji wa nchi Hii, jambo hili ni upumbavu!
Akakumbuka tena kwamba, viwanda anavyotamani kuviona katika nchi isiyo yake, shida itakuwa umeme, na ili nchi iwe na ushindani wa kibiashara, lazima kuwepo na umeme wa uhakika na wa bei ndogo, akaona JKNHP ni suluhisho la jambo hilo, angalia vita iliyoibuka juu yake na wenyeji wa nchi Hii ngumu, kila mtu ni shahidi kwa alivyoshambuliwa kila kona! Unajiuliza, ilikuwaje azaliwe kwenye nchi ya watu aina hii tulivyo?
Hakuishia hapo tu, akatazama akaiona Tanzania kuwa ndio kituo kikuu cha biashara ya Madini ndani na nje ya nchi, wageni waje kununua na kuuza dhahabu, serikali ipate kodi na wananchi wafanye biashara, akafungua masoko ya Dhahabu kila kona ya nchi, kwa wenyeji eti hiyo ni kero?
Kwa nini JPM ulikubali uzaliwe katika nchi Hii! Mama mzazi wa JPM utusamehe sana,
Hakuishia hapo, alipoitazama Tanzanite yetu, akagundua kuwa, ni Madini yetu lakini hayatupi faida yoyote zaidi ya mataifa Jirani! Alichokifanya kila raia ni shuhuda, na hii yote ni kwa ajili ya wenyeji wazaliwa! Lakini wapi!
Akaiona Daresalaam kuwa ni jiji linaloshughurika na biashara za kimataifa na kitaifa, akaona kuwa hiyo itakuwa kero kwa viongozi mbalimbali wa kitaifa na kimataifa kujichanganya katika jiji lenye kuvuta watu wa kila aina, akahamisha makao mkuu kwa kasi na nguvu zote kuupisha mji huo mkubwa nchini ili uwe wa kibiashara tupu, lakini wenyeji mpaka leo hawana uelewa juu ya jambo hilo!
Asante JPM kwa maisha yako katika nchi usiyoistahili uzaliwe! Asante kwa uliyotuachia!
Huko uliko Hayati Magufuli utusamehe sana wenyeji wa nchi hii