Mbona unahasira sana ndugu.....ni hayahaya mambo ya Wagner/Urusi/Ukraine au kuna jingine nyuma ya pazia??Dogo unarusha mate sana Ushoga upo tangu enzi ya sodoma na gomora so hakuna kipya hapo ni Mungu mwenyewe atamaliza hii kadhia sio hao wabaguzi na majangiri
Utakua mtoto wewe....fuatilia mambo..unawajua blackwater wa Marekani na operations zao kwa niaba ya Jeshi la Marekani??Subiri kidogo mkuu utajua, Vikosi vipo US vinapata mafunzo ya Patriot halaf utakuja kutuambia tena hapa kuhusu Wagner Group, ukiona Urusi inakodi mamluki kiasi hiki ndani ya mwaka mmoja kwenye vita ujue hana tena jeshi, jeshi lake limeenda na maji sasa anaamua kukodi
Ndondo wanauwezo wa kuwafukuwa wa NATO kwenye maandaki??Hahahaaa!! Eti mwanaume wakati anakodi NDONDO
Kwa bahati mbaya hawatoi msaada kwa mashogaVipi Ukraine naye akiamua kutoa oda ya askari Wagner Group, itakuwaje? Maana umesema hawana mafungamano na serikali ya Russia wao ni mshiko tu then wanatoa ulinzi na military actions.
Hao ni Majambazi wa kukodi wa Mzee Putin.Salam wakuu,
Naomba nijaziwe nyama kuhusu undani wa hiki kikundi. Nimeichukulia poa kwa muda mrefu lakini sasa naanza kuwaona serious.
Who are they? Background, Majukummu yao, Historia yao , Alies wao n.k
Nina mpango wa kumshauri Mwenyekiti wa EAC tuwaapeleke DRC kwa asilimia 100.
TUTACHANGA TUWALIPE
Umefafanua vyema. AsanteNATO wapumbavu sana wanataka sehemu kubwa ya dunia iingie kwenye mchakamchaka wa machafuko alafu wao waendelee kuchota rasilimali na kujiimarisha ili kukija kutulia wawe na nguvu ya kulazimisha sera zao za ushoga na ufeminist kwa nguvu.
Sijasema hawatumii majeshi Bali hawatumii majeshi makubwa ya kiserikali kufanya uvamizi. Mfano Rwanda inavyofanya Congo sio Jeshi la Serikali ila ni kikundi kidogo M23 inatumika kufanya shughuli zote za Kigali ndani ya DRC.Wapi umeona kuna vita na hawatumii majeshi??
Wewe liongo la kutupwa na huwapendi wamarekani kwa sababu zako za kidini, Mimi nimeshakugundua.Kinachonishangaza Wagner Group wakienda mahali penye wanajeshi wa NATO, nato wanaanza Kulalamika alafu wanaondoka.
Nato wanawaita Wagner group kwa jina la (mamluki wa Putin) [emoji1787][emoji1787]
Mfano pale Syria, Venezuela, Afrika ya Kati, Burkina Faso, Mali, Mozambique, Na Sasa Congo na Ukraine.
NATO walipanga mpaka mwishoni mwa mwaka huu ulioisha eneo kubwa la Afrika liwe halitawaliki ili waje kwa kisingizio cha kulinda amani kumbe wanachota rasilimali za chini ya ardhi pamoja na viungo vya wanadamu.
Kitovu cha uhalifu kwa Afrika Mashariki kilipangwa kiwe eneo la Mocimboa da Praia nchini Mozambique alafu uhalifu huo ungesambazwa kwa kasi maeneo ya Mtwara kuja hadi Lindi, pwani yote ya Afrika Mashariki huku zana nzito zikishushwa Rwanda kwa kipenzi chao Kagame.
Huko Mali, Afrika ya Kati, na Burkina Faso hawa NATO walikuwa wanamtumia Mfaransa na Uingereza kutumia nguvu kubwa kusambaza makundi ya kigaidi na silaha sema bahati nzuri kuna baadhi ya mapinduzi yakawaleta vijana wanaojua michezo ya NATO ndio maana wakaomba kimyakimya usaidizi kutoka Urusi, Urusi wakapeleka wanajeshi wachache wa Wagner group.
Hata Congo Wagner group wameshaingia ndio maana unaona ufalme wa Magharibi/NATO ukilegalega juu ya yale malengo yao.
Kila wakati wanamuuliza rais wa Congo kuhusu ushirika wake na Wagner group lakini rais wa Congo anakataa.
Nakumbuka mwaka 2020 Uingereza alipanga kupeleka kikosi pale Zambia mpakani na Tanzania akishirikiana na baadhi ya mataifa mengine ya NATO, ila ilipofika muda ambao wanataka kuleta kikosi wakakuta tayari Wagner group wapo kwenye misitu ya Zambia tayari.
Na tangu Wagner group wameingia Zambia, ule uhalifu wa kukata watu vichwa kwa makundi kijiji hadi kijiji umeishia. Pia media za magharibi zimebaki kulalamika sehemu zote za dunia tofauti na kipindi cha nyuma walikuwa kazi yao ni kuripoti kuhusu ugaidi na kutabiri kuhusu ugaidi.
NATO wapumbavu sana wanataka sehemu kubwa ya dunia iingie kwenye mchakamchaka wa machafuko alafu wao waendelee kuchota rasilimali na kujiimarisha ili kukija kutulia wawe na nguvu ya kulazimisha sera zao za ushoga na ufeminist kwa nguvu.
Na huyu naye ni GREAT THINKER..... Aseeee.... Na Hapo ndio kafikiria mpaka mwisho.Subiri kidogo mkuu utajua, Vikosi vipo US vinapata mafunzo ya Patriot halaf utakuja kutuambia tena hapa kuhusu Wagner Group, ukiona Urusi inakodi mamluki kiasi hiki ndani ya mwaka mmoja kwenye vita ujue hana tena jeshi, jeshi lake limeenda na maji sasa anaamua kukodi
Halafu ndondo wanawapelekea moto mataifa 30Hahahaaa!! Eti mwanaume wakati anakodi NDONDO
Ubu tuone huku msumbiji walienda lini mkuuWalijichanganya wakaingia msumbiji wakaondoka kimya kimya baada ya kipigo cha mbwa koko
Tuonyeshe Wagner wakiwa MozambiqueUmeongea kishabiki, Msumbiji walikodiwa lkn kila siku walikuwa wakiuawa mpaka wanajeshi wa Rwanda walipoenda.
PointKinachonishangaza Wagner Group wakienda mahali penye wanajeshi wa NATO, nato wanaanza Kulalamika alafu wanaondoka.
Nato wanawaita Wagner group kwa jina la (mamluki wa Putin) [emoji1787][emoji1787]
Mfano pale Syria, Venezuela, Afrika ya Kati, Burkina Faso, Mali, Mozambique, Na Sasa Congo na Ukraine.
NATO walipanga mpaka mwishoni mwa mwaka huu ulioisha eneo kubwa la Afrika liwe halitawaliki ili waje kwa kisingizio cha kulinda amani kumbe wanachota rasilimali za chini ya ardhi pamoja na viungo vya wanadamu.
Kitovu cha uhalifu kwa Afrika Mashariki kilipangwa kiwe eneo la Mocimboa da Praia nchini Mozambique alafu uhalifu huo ungesambazwa kwa kasi maeneo ya Mtwara kuja hadi Lindi, pwani yote ya Afrika Mashariki huku zana nzito zikishushwa Rwanda kwa kipenzi chao Kagame.
Huko Mali, Afrika ya Kati, na Burkina Faso hawa NATO walikuwa wanamtumia Mfaransa na Uingereza kutumia nguvu kubwa kusambaza makundi ya kigaidi na silaha sema bahati nzuri kuna baadhi ya mapinduzi yakawaleta vijana wanaojua michezo ya NATO ndio maana wakaomba kimyakimya usaidizi kutoka Urusi, Urusi wakapeleka wanajeshi wachache wa Wagner group.
Hata Congo Wagner group wameshaingia ndio maana unaona ufalme wa Magharibi/NATO ukilegalega juu ya yale malengo yao.
Kila wakati wanamuuliza rais wa Congo kuhusu ushirika wake na Wagner group lakini rais wa Congo anakataa.
Nakumbuka mwaka 2020 Uingereza alipanga kupeleka kikosi pale Zambia mpakani na Tanzania akishirikiana na baadhi ya mataifa mengine ya NATO, ila ilipofika muda ambao wanataka kuleta kikosi wakakuta tayari Wagner group wapo kwenye misitu ya Zambia tayari.
Na tangu Wagner group wameingia Zambia, ule uhalifu wa kukata watu vichwa kwa makundi kijiji hadi kijiji umeishia. Pia media za magharibi zimebaki kulalamika sehemu zote za dunia tofauti na kipindi cha nyuma walikuwa kazi yao ni kuripoti kuhusu ugaidi na kutabiri kuhusu ugaidi.
NATO wapumbavu sana wanataka sehemu kubwa ya dunia iingie kwenye mchakamchaka wa machafuko alafu wao waendelee kuchota rasilimali na kujiimarisha ili kukija kutulia wawe na nguvu ya kulazimisha sera zao za ushoga na ufeminist kwa nguvu.
WAnajeshi wa rwanda wapo wengi sana zaidi ya 6000.Wanajeshi wa Rwanda walienda kupiga picha tu kuficha aibu ya mabeberu ila kiuhalisia ingekuwa sio Wagner wale wanajeshi wa Rwanda walikuwa washirikiane na mabeberu kuendelea kuharibu usalama wa Zambia kama wafanyavyo Congo.
Sehemu yoyote yenye rasilimali nyingi tumeona NATO wakitrain makundi ya kigaidi yenye kutekeleza maslahi yao ili waendelee kuchuma rasilimali za eneo husika
Na ndo maana jeshi la msumbiji walikuwa wanashidwa kuwadhibiti lile kundi.Ndani ya jeshi la Msumbiji kulikuwa na usaliti, vile vile Rwanda kuna Uzi mwembamba Sana unaowatenganisha na mabeberu.
Wagner hawajaenda msumbiji , zilikuwa propaganda za west.Labda sio pmc wagner group ya mwamba putin yaani waweze kupgana na isis ndani ya syria inayosaidiwa na usa na all nato members wawashindwe hao wa msumbiji wavaa ndala hata chakula hawana
Wagner hawajaenda msumbiji , zilikuwa propaganda za west.
Kwa sababu like eneo kuna rasilimalinnyingi na WANASEMA putin anapeleka wagner sehemu yenye faida,
Wakaanza kuzua mdai kuwa kupeleka msumbiji
Hili kundi linafanya kazi popote penye maslahi ya Urusi tu, lilianzishwa mwaka 2014/15 likiwa na wapiganaji 250, sasa hivi linawapiganaji zaidi ya 50,000.
Jamaa nchi nyingi za Africa wapo, Africa ya Kati,Libya Mali na Burkina Faso.
Popote yalipo majeshi ya nchi za NATO, wakiingia hao jamaa NATO lazima wasepe.
WAGNER hawakuenda msumbiji mkuuNi propaganda za Proputin
Tuifahamu Wagner Group kwa undani
Salam wakuu, Naomba nijaziwe nyama kuhusu undani wa hiki kikundi. Nimeichukulia poa kwa muda mrefu lakini sasa naanza kuwaona serious. Who are they? Background, Majukummu yao, Historia yao , Alies wao n.k Nina mpango wa kumshauri Mwenyekiti wa EAC tuwaapeleke DRC kwa asilimia 100. TUTACHANGA...www.jamiiforums.com