Tuifahamu Wagner Group kwa undani

Tuifahamu Wagner Group kwa undani

Subiri kidogo mkuu utajua, Vikosi vipo US vinapata mafunzo ya Patriot halaf utakuja kutuambia tena hapa kuhusu Wagner Group, ukiona Urusi inakodi mamluki kiasi hiki ndani ya mwaka mmoja kwenye vita ujue hana tena jeshi, jeshi lake limeenda na maji sasa anaamua kukodi
Utakua mtoto wewe....fuatilia mambo..unawajua blackwater wa Marekani na operations zao kwa niaba ya Jeshi la Marekani??

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Salam wakuu,

Naomba nijaziwe nyama kuhusu undani wa hiki kikundi. Nimeichukulia poa kwa muda mrefu lakini sasa naanza kuwaona serious.

Who are they? Background, Majukummu yao, Historia yao , Alies wao n.k

Nina mpango wa kumshauri Mwenyekiti wa EAC tuwaapeleke DRC kwa asilimia 100.

TUTACHANGA TUWALIPE
Hao ni Majambazi wa kukodi wa Mzee Putin.
 
U
NATO wapumbavu sana wanataka sehemu kubwa ya dunia iingie kwenye mchakamchaka wa machafuko alafu wao waendelee kuchota rasilimali na kujiimarisha ili kukija kutulia wawe na nguvu ya kulazimisha sera zao za ushoga na ufeminist kwa nguvu.
Umefafanua vyema. Asante
 
Wapi umeona kuna vita na hawatumii majeshi??
Sijasema hawatumii majeshi Bali hawatumii majeshi makubwa ya kiserikali kufanya uvamizi. Mfano Rwanda inavyofanya Congo sio Jeshi la Serikali ila ni kikundi kidogo M23 inatumika kufanya shughuli zote za Kigali ndani ya DRC.
 
Kinachonishangaza Wagner Group wakienda mahali penye wanajeshi wa NATO, nato wanaanza Kulalamika alafu wanaondoka.

Nato wanawaita Wagner group kwa jina la (mamluki wa Putin) [emoji1787][emoji1787]

Mfano pale Syria, Venezuela, Afrika ya Kati, Burkina Faso, Mali, Mozambique, Na Sasa Congo na Ukraine.
NATO walipanga mpaka mwishoni mwa mwaka huu ulioisha eneo kubwa la Afrika liwe halitawaliki ili waje kwa kisingizio cha kulinda amani kumbe wanachota rasilimali za chini ya ardhi pamoja na viungo vya wanadamu.

Kitovu cha uhalifu kwa Afrika Mashariki kilipangwa kiwe eneo la Mocimboa da Praia nchini Mozambique alafu uhalifu huo ungesambazwa kwa kasi maeneo ya Mtwara kuja hadi Lindi, pwani yote ya Afrika Mashariki huku zana nzito zikishushwa Rwanda kwa kipenzi chao Kagame.

Huko Mali, Afrika ya Kati, na Burkina Faso hawa NATO walikuwa wanamtumia Mfaransa na Uingereza kutumia nguvu kubwa kusambaza makundi ya kigaidi na silaha sema bahati nzuri kuna baadhi ya mapinduzi yakawaleta vijana wanaojua michezo ya NATO ndio maana wakaomba kimyakimya usaidizi kutoka Urusi, Urusi wakapeleka wanajeshi wachache wa Wagner group.

Hata Congo Wagner group wameshaingia ndio maana unaona ufalme wa Magharibi/NATO ukilegalega juu ya yale malengo yao.

Kila wakati wanamuuliza rais wa Congo kuhusu ushirika wake na Wagner group lakini rais wa Congo anakataa.
Nakumbuka mwaka 2020 Uingereza alipanga kupeleka kikosi pale Zambia mpakani na Tanzania akishirikiana na baadhi ya mataifa mengine ya NATO, ila ilipofika muda ambao wanataka kuleta kikosi wakakuta tayari Wagner group wapo kwenye misitu ya Zambia tayari.

Na tangu Wagner group wameingia Zambia, ule uhalifu wa kukata watu vichwa kwa makundi kijiji hadi kijiji umeishia. Pia media za magharibi zimebaki kulalamika sehemu zote za dunia tofauti na kipindi cha nyuma walikuwa kazi yao ni kuripoti kuhusu ugaidi na kutabiri kuhusu ugaidi.

NATO wapumbavu sana wanataka sehemu kubwa ya dunia iingie kwenye mchakamchaka wa machafuko alafu wao waendelee kuchota rasilimali na kujiimarisha ili kukija kutulia wawe na nguvu ya kulazimisha sera zao za ushoga na ufeminist kwa nguvu.
Wewe liongo la kutupwa na huwapendi wamarekani kwa sababu zako za kidini, Mimi nimeshakugundua.
Pia kumbuka Kagame ndiye aliyewatimua hao magaidi na sio Wagner

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Subiri kidogo mkuu utajua, Vikosi vipo US vinapata mafunzo ya Patriot halaf utakuja kutuambia tena hapa kuhusu Wagner Group, ukiona Urusi inakodi mamluki kiasi hiki ndani ya mwaka mmoja kwenye vita ujue hana tena jeshi, jeshi lake limeenda na maji sasa anaamua kukodi
Na huyu naye ni GREAT THINKER..... Aseeee.... Na Hapo ndio kafikiria mpaka mwisho.
 
Kinachonishangaza Wagner Group wakienda mahali penye wanajeshi wa NATO, nato wanaanza Kulalamika alafu wanaondoka.

Nato wanawaita Wagner group kwa jina la (mamluki wa Putin) [emoji1787][emoji1787]

Mfano pale Syria, Venezuela, Afrika ya Kati, Burkina Faso, Mali, Mozambique, Na Sasa Congo na Ukraine.
NATO walipanga mpaka mwishoni mwa mwaka huu ulioisha eneo kubwa la Afrika liwe halitawaliki ili waje kwa kisingizio cha kulinda amani kumbe wanachota rasilimali za chini ya ardhi pamoja na viungo vya wanadamu.

Kitovu cha uhalifu kwa Afrika Mashariki kilipangwa kiwe eneo la Mocimboa da Praia nchini Mozambique alafu uhalifu huo ungesambazwa kwa kasi maeneo ya Mtwara kuja hadi Lindi, pwani yote ya Afrika Mashariki huku zana nzito zikishushwa Rwanda kwa kipenzi chao Kagame.

Huko Mali, Afrika ya Kati, na Burkina Faso hawa NATO walikuwa wanamtumia Mfaransa na Uingereza kutumia nguvu kubwa kusambaza makundi ya kigaidi na silaha sema bahati nzuri kuna baadhi ya mapinduzi yakawaleta vijana wanaojua michezo ya NATO ndio maana wakaomba kimyakimya usaidizi kutoka Urusi, Urusi wakapeleka wanajeshi wachache wa Wagner group.

Hata Congo Wagner group wameshaingia ndio maana unaona ufalme wa Magharibi/NATO ukilegalega juu ya yale malengo yao.

Kila wakati wanamuuliza rais wa Congo kuhusu ushirika wake na Wagner group lakini rais wa Congo anakataa.
Nakumbuka mwaka 2020 Uingereza alipanga kupeleka kikosi pale Zambia mpakani na Tanzania akishirikiana na baadhi ya mataifa mengine ya NATO, ila ilipofika muda ambao wanataka kuleta kikosi wakakuta tayari Wagner group wapo kwenye misitu ya Zambia tayari.

Na tangu Wagner group wameingia Zambia, ule uhalifu wa kukata watu vichwa kwa makundi kijiji hadi kijiji umeishia. Pia media za magharibi zimebaki kulalamika sehemu zote za dunia tofauti na kipindi cha nyuma walikuwa kazi yao ni kuripoti kuhusu ugaidi na kutabiri kuhusu ugaidi.

NATO wapumbavu sana wanataka sehemu kubwa ya dunia iingie kwenye mchakamchaka wa machafuko alafu wao waendelee kuchota rasilimali na kujiimarisha ili kukija kutulia wawe na nguvu ya kulazimisha sera zao za ushoga na ufeminist kwa nguvu.
Point
 
Wanajeshi wa Rwanda walienda kupiga picha tu kuficha aibu ya mabeberu ila kiuhalisia ingekuwa sio Wagner wale wanajeshi wa Rwanda walikuwa washirikiane na mabeberu kuendelea kuharibu usalama wa Zambia kama wafanyavyo Congo.

Sehemu yoyote yenye rasilimali nyingi tumeona NATO wakitrain makundi ya kigaidi yenye kutekeleza maslahi yao ili waendelee kuchuma rasilimali za eneo husika
WAnajeshi wa rwanda wapo wengi sana zaidi ya 6000.
Wanalinda ges na rasilimali na migodi.
Wagner SIDHANI kama walienda Mozambique ni propaganda za West.
Maana wanamshutumu kuwa Wagner WANAENDA sehemu za rasilimali tuu.
Rasilimali za Mozambique wanaochimba ni nchi za magharibi na ndo maana ufaransa waliobaki EU wawape rwanda 22USD na waliwapa kusaidia kulinda investment zao
 
Ndani ya jeshi la Msumbiji kulikuwa na usaliti, vile vile Rwanda kuna Uzi mwembamba Sana unaowatenganisha na mabeberu.
Na ndo maana jeshi la msumbiji walikuwa wanashidwa kuwadhibiti lile kundi.
Nina mjomba WANGU mmoja ni mjenda. Juzi kaongea na mama alikuwepo mpaka kule mtwara,
Alisema msumbiji hali bado sio mzuri na ni tete bado.
 
Labda sio pmc wagner group ya mwamba putin yaani waweze kupgana na isis ndani ya syria inayosaidiwa na usa na all nato members wawashindwe hao wa msumbiji wavaa ndala hata chakula hawana
Wagner hawajaenda msumbiji , zilikuwa propaganda za west.
Kwa sababu like eneo kuna rasilimalinnyingi na WANASEMA putin anapeleka wagner sehemu yenye faida,
Wakaanza kuzua mdai kuwa kupeleka msumbiji
 
Ni propaganda za Proputin
Wagner hawajaenda msumbiji , zilikuwa propaganda za west.
Kwa sababu like eneo kuna rasilimalinnyingi na WANASEMA putin anapeleka wagner sehemu yenye faida,
Wakaanza kuzua mdai kuwa kupeleka msumbiji
 
Wapi walipoingia ambako kulikuwa na majeshi ya NATO yakasepa??
Hili kundi linafanya kazi popote penye maslahi ya Urusi tu, lilianzishwa mwaka 2014/15 likiwa na wapiganaji 250, sasa hivi linawapiganaji zaidi ya 50,000.

Jamaa nchi nyingi za Africa wapo, Africa ya Kati,Libya Mali na Burkina Faso.

Popote yalipo majeshi ya nchi za NATO, wakiingia hao jamaa NATO lazima wasepe.
 
Ni propaganda za Proputin
WAGNER hawakuenda msumbiji mkuu
 
Back
Top Bottom