Tuigawanye Tanzania Pro Magufuli na Anti Magufuli, tuwe na nchi mbili tofauti!


Roho ya utengano haifii kamwe. Mlianza kuwatenga CHADEMA, Leo mnataka kuwatenga wananchi. Tanzania haipo hivyo.
 

Una hasira Sana, inahitaji upate usidizi. Cool down. Mpaka Sasa hivi system ya CCM imefeli, tatizo wananchi tumekubali kugawanywa na kubaki kuishangilia CCM .
 
Umekosea, sisi Pro JPM nje ya JF ni asilimia 99.9. Hapa JF Pro Magufuli ni 0.000000001

Magufuli angekuwa na watu wote hao, asingeiba uchaguzi wa 2020. Kumbuka alilamba asilimia 58 uchaguzi wa 2015 Tena za wizi. Rais wa 99 angeonekana sio wa kuhangaika kuzuia Lissu asifanye kampeni na kuzima mtandao wa internet kwa wiki mbili wakati kupiga kura.
 
Aise !! you're a garbage period!! nanani yupo tayari kunywa untreated water ?? natural immunity tunayo kwa sasa sio yile ya ma watu walio ishi zamani...ndiyo mana tuna vaa nguwo sio kutembea uchi kama zamani.

Turudi kwenye mada
Nijibu maswali haya:

1. Miradi yote kipindi cha Simba wa yuda nikweri zilikuwa mpesa zandani???
2. Baada ya kuvamia Clouds kwa mitutu ya bunduki kisa Shilawandu; nani alipaswa kufutwa kazi kati ya Bashite au Nape kama kweri jiwe alikuwa mpenda haki??
3.Kwanini Jiwe alitaka kumuwua Mh Lissu?
4. ........Bado maswali yanakuja
 
Watajitokeza tu muda ukifika kama wazo likikubaliwa!

Mlianza kuwatenga CHADEMA, Leo mnataka mjitenge muwe na nchi yenu, huko nako hamtakaa muelewane roho ya kutengana itawamaliza.
 
Usiwe mtu wa kizamani. Wakati akiwa hai, wengi hawakujua umuhimu wake. Alipokufa na Samia kutawala, watu ndipo wamejua umuhimu wake.
 
Usiwe mtu wa kizamani. Wakati akiwa hai, wengi hawakujua umuhimu wake. Alipokufa na Samia kutawala, watu ndipo wamejua umuhimu wake.

Wengi gani hawakujua umuhimu wake? Msitumie udhaifu wa utawala wa Rais Samiah kwa kumpromote Magufuli maana naye alikuwa na madahifu makubwa tu.
 
Wengi gani hawakujua umuhimu wake? Msitumie udhaifu wa utawala wa Rais Samiah kwa kumpromote Magufuli maana naye alikuwa na madahifu makubwa tu.
Pole sana, ukweli ndivyo hivyo. Najua unaumia
 
Humu jamii forum hauwezi ukapata watu wa magufuli,ila ukitoka nje wa magufuli ni karibia 80% au na zaidi.
Mkuu humu watu wana-id ishirin ishirini ndio maana Heche juzi analalamika hawana wafuasi on the ground
 
Lifufueni li kipara lenu liuaji
 
Katoe hao funza kichwani mwako kwanza halafu urudi kuja kusoma ulichoandika. Nilitamani kujua umri wako maana siyo kwa uvundo huu. Hata mamako na babako wangejua aliyeandika haya ni mtoto wao wa kuzaa wangejuta kufanya mapenzi yaliyosababisha mimba yako kutungwa na kulaani siku hiyo. Kwa ujumla umekuja duniani kwa bahati mbaya huna faida. Halafu huoni hata aibu kupost huu utumbo wa nguruwe
 
Twaweza walishafanya utafiti wakapata matokeo, kwamba wanaoshabikia/kuunga mkono ccm ni watu wajinga,masikini wakutupwa, wasio na elimu, wanawake, wazee etc. Wengine wanaounga mkono ccm ni wale wanafiki (Hawa kula yao ni kupitia ccm).

wakati huo inaaminika waajiriwa wa ccm ni mafisadi.

ambia twaweza waache upumbavu.
 
Ni kama kuna kaukweli hiv.
 
Usipendelee kuvuta bangi kabla hujala ukashiba vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…