Tuigawanye Tanzania Pro Magufuli na Anti Magufuli, tuwe na nchi mbili tofauti!

Kwa taarifa yako, Pro Magufuli wapo wengi wengi wengi sana. Inaweza kuwa zaidi ya 85% ya Watanzania wote Nchini.
JPM alikopa kidogo lakini miradi aliyoianzisha ni kama vile:-
  • Bwawa la Mwl. Nyerere.
  • SGR.
  • Flyovers.
  • Vivuko.
  • Barabara.
  • Kujenga masoko makubwa kabisa.
  • Kujenga ofisisi za Halmashauri.
  • Kujenga madarasa.
  • Kujenga vituo vya Afya.
  • Kujenga Viwanda vya madawa.
  • Zaidi sana kujenga Ikulu ya Dodoma.

Mengine ni kama vile:-
  • Kudhibiti ufisadi, rushwa na wizi Serikalini.
  • Kudhibiti uzembe makazini nk.

Lakini la pekee zaidi ni KUJITOA SADAKA kwa ajili ya Watanzania wanyonge.
Alikuwa akisema karibu kila mkutano kwamba, alivyokuwa akitetea rasilimali za Nchi hii, ilikuwa ni sawa kabisa na kuvaa kitanzi shingoni.
 
Naanza mimi kuhamia Pro Magufuli!
 


Your Saviour attitude? ..No longer Flies Your Racist remarks...Just proved What I said Earlier.

Umejitukana mnyewe!

Go back to Essex Hall. For further Instructions. Lazima wakufukuze kazi!! tehe te ru...ish
Ngoja nikuache...Siwezi kukujibu kitu ambacho hakieleweki.
 
Ota ndoto zote ila ukijisikia unaenda chooni, nakushauri uamke !! La sivyo utaachia mzigo kitandani.

Magufuli alizikwa pamoja na itikadi zake za UHAYAWANI Chato Machi 2021 na forget totally Tanzania kufanya makosa kama hayo tena
 
Ota ndoto zote ila ukijisikia unaenda chooni, nakushauri uamke !! La sivyo utaachia mzigo kitandani.

Magufuli alizikwa pamoja na itikadi zake za UHAYAWANI Chato Machi 2021 na forget totally Tanzania kufanya makosa kama hayo tena
Hata Bibi yako Queen Elizabeth Amezikwa na nepi zake. Pamoja na Ukimbari wake. Essex Hall wamechanganyikiwa.....Waambie kinachofuata ni sisi Kujiondoa Jumuiya Ya Madola....tupate Katiba yetu.

Chooni kaenda Bibi yenu Malikia Elizabeth kaachia mule mule Kwenye kaburi.... wakamzika kaburi lingine.
.
 
Narrow & shallow minded person like you ,nivigumu kuelewa substantial stuffs..As a country we're moving forward ...kaazishe nchi yenu kaburini Chato....Mama SSH atake asitake mitano tena.....watu wazuri hawafi!!!
 
Narrow & shallow minded person like you ,nivigumu kuelewa substantial stuffs..As a country we're moving forward ...kaazishe nchi yenu kaburini Chato....Mama SSH atake asitake mitano tena.....watu wazuri hawafi!!!
Amekufa Queen Elizabeth. alikuwa Mzuri kweli kweli. Anang'aaa kaburini...na

Mme wachimbia Kaburi CCM

Wewe huna Nchi, huna Taifa. Kawadanganye Neanderthral wenzako Essex Hall
 
Mshenzi unafanya kazi za kuosha vizee kwenye nursing house, unachojuwa ni kuandika mavi na pampers tu maana ndiyo vitendea kazi vyako. Rudi nyumbani acha kuishi kitumwa huko Diaspora
 
Mshenzi unafanya kazi za kuosha vizee kwenye nursing house, unachojuwa ni kuandika mavi na pampers tu maana ndiyo vitendea kazi vyako. Rudi nyumbani acha kuishi kitumwa huko Diaspora
Ha ha bahati mbaya wale waliomuosha Queen wenu Elizabeth walisahau kumbadilisha...Akazikwa Kaburi lingine. tena shimoni chini ya shimo.
 
Kama wapo wengi si waanzishe chama? Nimeshakuambia 2025 ni Samia Vs Lissu Sasa pro Magufuli wawepo wasiwepo wagombea wote hao wawili ni anti-JPM so kazi kwenu.

Kama mnajiamini anzisheni chama wekeni wagombea ubunge na Rais alafu ndio mtajua unafiki wa waTanzania watakapowapa kura Kama za Membe.

Hii nchi vyama ni viwili tu nje ya hapo unapoteza muda.
 
Jf futeni huu utumbo humu utaleta mainzi... hili jukwaa skuizi watu wanajambajamba hovyo na hawakemewi why?? Kama huyu kanya kabisa sio kujambuli
 
Sadaka hakujitowa. Alijijuwa kuwa yu mgonjwa sana. Pacemaker kawekewa kabla hata hajaingia kwenye siasa.
 
Kalitazameni hilo kwenye chama chenu.
 
Kwamba lisu alipata Kura nyingi kuliko magufuli?hivi chadema mnaakili kweli?
 
Pro Magufuli vs Anti Magufuli ni ideologies, siyo physical mtu/watu.
So viongozi wΓ kuu wa hiyo pro Magufuli ideologies ni akina nani?

Anti Magufuli wanaongozwa na Samia, Nape, Mbowe, Zitto, Makamba

Nitajie kiongozi mmoja ambaye ana ujasiri wa kujitokeza na kuongoza hao pro Magufuli
 
Moderators THREAD za namna hii zenye kupanda chuki na Uasi na mgawanyiko ktk Nchi mnawezaje kuziacha muda mrefu namna hii?

πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ƒπŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ πŸ˜ 
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…