Tuisila Kisinda is yellow and green

Kisinda amerudi na [emoji966] ya CAF confederation usichanganye mambo hapo
Kwanini hakubakia huko huko au aende mbele zaidi kuliko Kurejea Yanga SC ambayo haina Historia nzuri Kimataifa na inademadema tu Kutwa?

Hana Akili.....!!!!
 
Si hata chama alipata medal maana alikuwa jina lake lishasajiliwa kule na yeye alihesabika mchezaji wa berkene hivi huwa mnatoaga wapi habari zenu hzo nyie utopolo mbona mnadanganya watu sana.
[emoji23][emoji23][emoji23]iko wapi hio [emoji966]?
 
Kuna ka ugonjwa pale Yanga. Hata Morrison tuliaminishwa ni hujuma mpaka leo hatushutuki. Systems zina utaratibu wake. Tujiulize kwa nini akataliwe Kisinda aliyekuja mwishoni na si Aziz Ki au Joyce? Utambulisho wenyewe umefanyika mwishoni kwa kupigiana simu hata mchezaji mwenyewe hajafika nchini. Mna uhakika alishasaini na mikataba? Je, jina lake liliingizwa kwa muda stahiki au ndo mambo yetu ya kulazimisha wafunguliwe ili asajiliwe baada ya muda? Akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…