Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Aya ya pili imenifanya niache kusoma uzi
 
To yeye shoga Kuna babu wa 70 anatembeza bakora usipime. Tusiwaa rate Hawa mabazazi.

Kuna Babu mmja sikutegemea kabisa. Alinismamia nikashangaa sana. Tena aliniwekea uwe wimbo wa cheza kama Ronaldo. Singeli

Wale wazee wakuk wakienyeji, mazao ya asiilia achan nao kabisa
 
🤣🤣🤣Yaani ananata na beats ya singeli?si atakuwa anakata sana nyonga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…