Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
To yeye katika ubora wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa To yeye uko mzima🥴😊Mambo?
Hata mimi nina moyo wa nyama
Inapendeza sanaa ...naona leo umeamua kuja kuwatetea wenzako👏🙌SalamA Kabisa
ngoja nije inbox kwanzaSawa
Wanaume wa siku hizi mna shida gani???Sasa kweli Bibi wa Miaka 49 ni WA kuzaa kweli?
Ndo vizuri miili ijengeke.waangalie vizuri wewe hata vitambi wale hawanaPita kule wazo hill uone kina Mama wagonga kokoto alafu uwatathmini.
Hakuwa na miaka 38.Mrema alikuwa na miaka 77 aka oa mwanamke mwenye miaka 38. Hiyo ni nusu. Na watu Waka mpongeza wewe fikisha 70 uolewe na kijana mdogo, kama haja kuchubua na ukavu wako.
Endelea kujizima dataHuu utafiti wako ulifanyia chini ya mti gani,
Umri huo wanawake wanakuwa na nini eti
Hhhhhhhhhhhhh45 miaka hujaelewa nn..?
Hahaha,unanipeleleza TU.Yaani wakina Ester soko lao limeshaisha, ndomaana wamekuwa wakali, utakuta ana miaka 50.
Inawezekana.Mimi nimekuelewa vizur point yako!!!
Point yako inavitisho na umetumia mfano ambao nina weza nikaurekebisha nakuufanya huo mfano wako ukawa mwiba kweny point yako!
Lkn je? Mwezangu umeilewa point yangu hiyo ambayo umejarbu kuichallenge?
Nafikir kuna haja ya mimi kuifafanua
Kwa kweli 3/4.roho kwatuuuu.Hahaha. Wewe vingapi hadi ukate kiu?
Pesa tuu ndugu yangu.Wanaofia gesti, wengi wao huwa wanaumwa magonjwa ya moyo, halafu mwanamke akizeeka genye zinapungua coz hormone nazo zinapungua, tungekuwa hatuna nguvu, tudingekuwa na wake wawili au michepuko.
Wale wazee wenye kanzu unakuta wanao mke wa tatu kibinti kibichi, afu mzee ana miaka 60, sasa utasemaje hana nguvu.
KumbeeeMkuu sipingani na wewe kwa hoja zako ulizozitoa ila mimi basi ntakuwa na tatizo
Maana nikiona michirizi ya mapaja na kwenye makalio ndo napata mzuka kinoma
Kwa hiyo watu wore ambao hawana AKILI walizaliwa na wazee???Kabisa Mzee na hata mtoto akizaliwa unashangaa Hana akili
Tumekubaliana vizuri kabisa nikamjunje tumekutana usiku huu ananiambia tumbo la period limemuanzaNA NINI TENA?😳