Hapana sina maana hiyo. Wengi wanajitesa ku save kwaajili ya sikukuu ndio waonekaneKwamba kwa kuwa siku zingne unakulaga poa,unavaa poa na kujivinjari basi sikukuu ule ugali matembere?....SIKU~KUU itabak kuwa special day tu hata ukifanya hayo kila siku!
Jana kwenye sikukuu ya Pasaka na Eid pia nishamuandalia nguo 3 me mwenyewe ninazo 3 pia kwa ajili ya Eid,Sijasema utamaduni ni mbaya nadhani hapo umekurupuka. Kuhusu kubadilika ni kutokana na mabadiliko ya hali ya kimaisha hayo mambo upende usipende yatabadilika tu sijui kutunza vyombo kwa ajili ya wageni, kununua nguo za sikukuu wewe mwenyewe unajua hilo.
Mara ya mwisho kumnunulia mtoto wako nguo ya sikukuu ni lini?
Huyu boda wangu ananiletea kuku wawili wa kienyeji (20000 kila mmoja) kila baada ya week mbili. Simuonei wivu mkuu kwakuwa mimi sio hohehaheHahahahaha kaumia kuona Boda kala kuku wa kienyeji halafu yeye kala matunda ya buku jero na bado buku ya nauli kamuachia
Tutembeleane kila siku sio siku kuu tu. Unajua wewe mantiki ya mada yangu hujaelewa vizuri.Kwanza ndio maana ikaitwa SIKU KUU, usipopendeza sikukuu na kula vizuri utafanya hayo siku gani?
Kumbuka kwenye sikukuu pia watu hutembeleana na kubadilishana zawadi na vyakula kiufupi ni siku ya kufurahii wewe muombe tu Mungu akuondolee upweke wako uwe na mtu/watu wa kufurahi nao Sikukuu.
Daaahh nimecheka sana, sijui huwa unafikiria nini ππππππΎππΎKila mtu afanye atakalo.
Mkuu una gubu sana kisa boda boda wako alipendeza kukuzidi na pilau kala kuku sikukuu wakati boss umeishia kula matunda
Ni kweli mkuu. Mimi ni mmoja wao.......kuna watu wengine siku za za sikukuu ndo hawataki kabisa kufanya mitoko......wanasema zinakua zimekaa kishamba coz siku hizo utaona kila mtu kaenda disco, bar, beach etc.......wanasema ukienda huko na wewe unaonekana ni walewale wa sikukuu, wanasema hukawii kukutana na watoto maeneo hayo au hata watu usiowategemea kama vile mamamkwe na mashemeji zako.......Sasa hilo linawaboa wengi so huamua kushinda nyumbani na kuziacha familia au watoto ndo watoke, wao mitoko yao ni siku za kawaida au siku ya pili yake,boxing days, sasa sijui kama ni wengi wenye mtazamo huo au ni vipi.........
Nikuulize: siku kuu na siku ya kawaida wewe unaona ziko sawa? Kama zingekuwa sawa hizo zingine zisingeitwa siku kuu. Hata kwenye nyumba za ibada kuna tofauti ya ibada siku za kawaida na siku kuu za matukio ya kidini.Heri ya Pasaka.
Iko hivi, imekuwa kama tamaduni kwetu kuwa siku za sikukuu ndio mtu atavaa vizuri, atakula vizuri na atatoka out.
Jana wakati natoka kwenye mishe zangu nikamuita boda wangu anipeleke home nikaangalie chama langu Liverpool likimenyana na Arsenal.
Jamaa kafika asee alikuwa amevaa amependeza nguo mpya mpya (sio kawaida yake huwa sio msafi sana namtumia tu kwakuwa ni mwaminifu).
Jana yake usiku (juzi) alinipigia kuniomba nimtumie namba ya jamaa yangu ambae huwa ananiuzia kuku wa kienyeji. Akaniambia "bro naomba namba ya yule jamaa wa kuku nimeipoteza nataka home nao wale kuku hii sikukuu"
Sasa jana wakati ananipeleka home njiani ikawa kero kwa kuwa watoto wanakimbia kimbia hovyo barabarani na watu wazima wamejaa sio kawaida. Nikajua tu shida ni hii sikukuu.
Nadhani tuwe na utamaduni wa kujipenda, kula vizuri na kutoka mara kwa mara siku zisizo za sikukuu.
Mimi jana nimerudi zangu home nikala matunda yangu na kulala lakini hizi siku kuna watu wanazichukulia ndio siku za kulewa, kutoka, kufanya ngono na kuvaa vizuri jambo ambalo mimi naona sio sawa kabisa.
Hizi siku huwa ndio siku zenye vurugu nyingi. Ambae hajawahi kunywa atakunywa, wasiotoka watatoka kwahiyo kero ni nyingi. Lakini yote husabaishwa na utamaaduni mbovu kuwa siku za sikukuu ndio zakunywa, kutoka, kuvaa vizuri na kula kuku, nyama na pilau.
Sio sawa.
Then ni swala la muda tu. Wala sio utamaduni mbaya ila sasa hivi tuko busy sana na mambo mengine mambo ya kuzingatia sikukuu na vikorombwezo vyake mtabaki nayo wanawake na itafika kipindi mtayaachaJana kwenye sikukuu ya Pasaka na Eid pia nishamuandalia nguo 3 me mwenyewe ninazo 3 pia kwa ajili ya Eid,
Utamaduni wa nguo mpya, pilau na biriyani, vyombo vizuri hauwezi kuisha sijui kama unasemea familia za wapi huko
ishakua kama utamaduni mkuu...ipo hivo dunia nzimaHapana sina maana hiyo. Wengi wanajitesa ku save kwaajili ya sikukuu ndio waonekane
Ziko sawa mkuu, jua huchomoza asubuhi na kuzama jioni, masaa ni yale yale. Je unawezaje kusema haziko sawa?Nikuulize: siku kuu na siku ya kawaida wewe unaona ziko sawa? Kama zingekuwa sawa hizo zingine zisingeitwa siku kuu. Hata kwenye nyumba za ibada kuna tofauti ya ibada siku za kawaida na siku kuu za matukio ya kidini.
Tofauti lazima iwepo.
Kufanya hivyo sio kwamba watu wameamua bali kunasababishwa na hali ya umasikini....Heri ya Pasaka.
Iko hivi, imekuwa kama tamaduni kwetu kuwa siku za sikukuu ndio mtu atavaa vizuri, atakula vizuri na atatoka out.
Jana wakati natoka kwenye mishe zangu nikamuita boda wangu anipeleke home nikaangalie chama langu Liverpool likimenyana na Arsenal.
Jamaa kafika asee alikuwa amevaa amependeza nguo mpya mpya (sio kawaida yake huwa sio msafi sana namtumia tu kwakuwa ni mwaminifu).
Jana yake usiku (juzi) alinipigia kuniomba nimtumie namba ya jamaa yangu ambae huwa ananiuzia kuku wa kienyeji. Akaniambia "bro naomba namba ya yule jamaa wa kuku nimeipoteza nataka home nao wale kuku hii sikukuu"
Sasa jana wakati ananipeleka home njiani ikawa kero kwa kuwa watoto wanakimbia kimbia hovyo barabarani na watu wazima wamejaa sio kawaida. Nikajua tu shida ni hii sikukuu.
Nadhani tuwe na utamaduni wa kujipenda, kula vizuri na kutoka mara kwa mara siku zisizo za sikukuu.
Mimi jana nimerudi zangu home nikala matunda yangu na kulala lakini hizi siku kuna watu wanazichukulia ndio siku za kulewa, kutoka, kufanya ngono na kuvaa vizuri jambo ambalo mimi naona sio sawa kabisa.
Hizi siku huwa ndio siku zenye vurugu nyingi. Ambae hajawahi kunywa atakunywa, wasiotoka watatoka kwahiyo kero ni nyingi. Lakini yote husabaishwa na utamaaduni mbovu kuwa siku za sikukuu ndio zakunywa, kutoka, kuvaa vizuri na kula kuku, nyama na pilau.
Sio sawa.
Hata miaka ya zamani wakina Mama ndio walikua busy na mambo ya sikukuu na wakina Baba walitafuta kuleta nyumbani,Then ni swala la muda tu. Wala sio utamaduni mbaya ila sasa hivi tuko busy sana na mambo mengine mambo ya kuzingatia sikukuu na vikorombwezo vyake mtabaki nayo wanawake na itafika kipindi mtayaacha
Huo ni ulimbukeni, kujipenda siku za sikukuu ambazo kwa mwaka ni chini ya siku tano au sita na kuishi kwa shida siku nyingine zote ni tatizo.Jana kwenye sikukuu ya Pasaka na Eid pia nishamuandalia nguo 3 me mwenyewe ninazo 3 pia kwa ajili ya Eid,
Utamaduni wa nguo mpya, pilau na biriyani, vyombo vizuri hauwezi kuisha sijui kama unasemea familia za wapi huko
Kwa jibu hili ni wazi unasumbuliwa na upweke au maisha bado hayajakaa sawa, piga kazi mwanaume acha kulia liaZiko sawa mkuu, jua huchomoza asubuhi na kuzama jioni, masaa ni yale yale. Je unawezaje kusema haziko sawa?
Inategemea hiyo siku ni siku ya nini. Sasa siku ya kuzaliwa Mtume au Yesu inawezaje kufanywa siku ya kula vizuri na kula vizuri na kutoka out na kufanya ngono?Kuichukulia sikukuu kama ni siku ya kawaida si sawa kwa sababu ni siku ambayo imetengwa kwa kusherehekea kitu flani lakini pia kila mtu anakuwa free hivyo, kujumuika ndugu, familia na marafiki ni jambo zuri..
Kuna watu kweli mwaka mzima anakuwa busy na holliday season anakuwa free, hakuna ubaya wa kufanya vitu ambavyo huwa hawafanyi
Labda hiyo ya kununua nguo mota kwa mtu mzima ππ
Kaka no hard feelings, Mimi nimecomment tu πHajafikiria bali umependa kwakuwa una personal interest labda na yeye mtoa comment au na wewe ndio unapendeza siku ya sikukuu.