Tujenge utamaduni wa kupendeza (kujipenda), kutoka out na kula vizuri

Sikukuu haiwezi kuwa sawa na siku za kawaida hata nchi zilizoendelea wana majira yao ambayo wananchi wake wanasherekea na huwezi kufananisha na siku za kawaida. Na kila mmoja anakuwa na namna ya kusherekea kwake kwa namna yake.
 
Sikukuu haiwezi kuwa sawa na siku za kawaida hata nchi zilizoendelea wana majira yao ambayo wananchi wake wanasherekea na huwezi kufananisha na siku za kawaida. Na kila mmoja anakuwa na namna ya kusherekea kwake kwa namna yake.
Nimekupenda bure Mideko
 
........jf bana saa zingine!! sijui mleta mada hajaeleweka au ni vipi, watu wamekomaa kumuatack personally kwamba ana wivu na bodaboda!!!, wakati boda kamtolea mfano kuwa kang'aa siku hiyo na anataka kuchinja kuku......
........mkuu kashauri vema kabisa kuwa watu wasiishie kupendeza nakula vizuri siku za sikukuu pekee, watu wajitahidi kuwa nadhifu, kujipenda,kujijali na kula vizuri japo siku mojomoja.....
......na hili la kuwatoa watoto na familia out na kuwanunulia nguo au zawadi ni muhimu sana especially kwa watoto wa kike kama unao, inapunguza ulimbukeni wa mambo hayo, inakuwa sio rahisi sana kuhadaika na wanaume wahongaji, eg hawezi kushawishika kirahisi eti kwa kupelekwa beach coz familia yake wanatoka may be kila baada ya miezi miwili mitatu......
......kuna siku nilisikitika sana nilimtembelea Jamaa yangu mmoja anaishi uswahili kidogo, zile nyumba ukiwasha TV watoto wanajaa dirishani kuchungulia, sasa shemeji aliandaa pilau na lilinukia haswaa, Sasa wale watoto dirishani wakaanza kuulizana 'eti we mwanakombo kwani leo kwa kina Themeni kuna arusi!?', kengine kakadakia 'kwani thatha we huoni thi wamepika pilau afu nilimuona Themeni ameshika thoda'......kwa kweli nilijisikia vibaya, ila nilijifinza kitu.......
 
Out huwa natoka lskini naishia kubarazani.
 
JF wajuaji wengi, mimi nimesema watu wajipende. Nikatoa mfano boda wangu huwa sio msafi sana na mtaani sionagi watu ila siku za sikukuu tu na hata ninampomtuma kuku huwa yeye hachukui bali ilipofika sikukuu tu ndio akaomba namba na yeye achukue.

Watu wanasema naona wivu sijui shida ni nini. Tumeshajenga utamaduni mbovu sana na wa hovyo.

Mimi sijasema watu wasile vizuri siku za sikukuu au wasitoke au wasivae vizuri. Ila naona kuna shida pale unapoona watu wamejizoesha kula, kutoka na kuvaa vuzuri siku za sikukuu tu na sio utaratibu wa kila siku.
 
Wewe unapenda kupangiwa utaratibu wako wa maisha?
 
Nd umtolee mfn boda boda wako kwel mtu unaye mwamin na anakuamin af wew unakuja ku msnich huku daah uamimif gan siri hakun
 
Tatizo pesa 90% ya watanzania wanaishi kwenye umasikini kutoka out bila unawezaje mkuu try to trade their minds.
 
Kuna haja gani ya kuyokufurahia maisha mpaka siku fulani?
Hayo ndio maisha yao na kakuambia nani kutoka au kuvaa vizuri tu ndio kufurahia maisha. Mtazamo wako ni wakwako pekeako ingekua hawapo sahihi wasingefanya hivyo. Ww kama unajiweza kawaveshe vizuri watoe kila siku sio kukaa sebuleni kwa shemeji na kuleta imagination za ajabu ajabu kisa kila weekend dada ako anatolewa kila weekend basi unahisi kila mtu anaweza
 
Mi Jana nimelala na kushinda JF...Leo nitazurura mpaka miguu ijute kuwepo mwilini mwangu
Uzuri wa jf unaweza kushnda humu na Hali zote ukaziptia hyo siku utafurah,utakasirika,utahuzunika na mwisho kabisa unahitimisha siku yko kw kuipongeza jf
 
Kwa kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kila mtu afanye atakalo.

Mkuu una gubu sana kisa boda boda wako alipendeza kukuzidi na pilau kala kuku sikukuu wakati boss umeishia kula matunda
Ndio maana comment yako inepata likes nyingi kuliko ya mtoa mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…