Tujiandae na Vita ya Tatu ya Dunia

Ni muda mrefu sasa tangu vita ya pili ya dunia ilipoisha mataifa yaliheshimiana kwa muda sasa wanadhani heshima imepungua tena. Wange weka vipindi kila baada ya mika 50 tunachapana tena, heshima inge kuwa inakuwepo kwa muda mrefu.

Kuna watu tutakufa ama kwa maradhi, njaa, au vita yenyewe lakini watakao baki wataheshimiana. Kizazi hiki hakina kumbukumbu ndio maana unaoana yoote haya.

Vita ni nzuri sana ukiwa unaangalia movie na kusikia kwenye redio, na kuangalia kwenye television kama hivi sasa. lakini timbwili likiwa mlangoni kwako, hutotamani vita milele.

Mimi naunga mkono vita ya Hamas na IDF kwasababu nafahamu eneo lile Diplomasia iliisha fail, kilichobaki ni tumpate mbabe wa kivita, na huyo atawale eneo lote. Watanuna na kulia lakini hiyo pekee ndiyo suluhu iliyopo pale.

Palestine wana taka Israel aondoke, na Israel anapigania existance yake. Kuna vi-siasa viingi lakini bottom ni hilo. Na kwakuwa hakuna suluhu ya mezani inayokubalika kwa pande zote mbili mi naomaba waendelee kutwangana tu.
Atakayeshinda ajitwalie lote.
 
Lile bomu la nyuklia la hiroshima lilipokuwa likishuka lilitua kwny kichwa cha jamaa anaitwa Gemba Minamata akiwa anaoga bafuni akafanyiwa kitu kwenye chemistry inaitwa SUBLIMATION yaani direct change from solid to gas or viceversa huko hatuwezi kurudi
 
Kila dalili zinaonesha tunaelekea kwenye vita kuu ya tatu ya dunia. Haya yatatukia kabla kizazi hiki hakijapita

Safari hii, Afrika ndiyo uwanja wa mapambano. Kutakuwa na block 2 zitakazopambania maslahi yao.

Block ya kwanza: NATO na washirika wote wa magharibi.

Block ya pili: Urusi + China + Iran + baadhi ya members wa BRICKS

SABABU ZA VITA
Shamba la bibi la malighafi ambalo ni AFRIKA.

Hakuna atakayejali ustawi wala maslahi ya manamba wa shamba hilo (Afrika). Ikumbukwe kwamba Afrika haijavumbuliwa vya kutosha. Maisha ya ulimwengu yanategemea uwepo wa bara hili jeusi

Ole wao kwa watakaokuwa na tumbo la utungu siku hizo.

Tumuombe Mungu aepushe kikombe hiki.
 
Marekan ili aendelee ku maintain hegemony yake globally anahitaji Vita ya Tatu ya Dunia.

Ukiona chokochoko zoote kuanzia UCHINA na Taiwan, URUSI -Ukraine , zote hizi ni Kwa sababu anahitaji Vita

Kwa Marekan Vita, humneesha Kiuchumi na Kiutawala.
 
Sidhani kama hii itawafanya wapigane vita maana wanaitafuna hata bila vita
 
Marekan ili aendelee ku maintain hegemony yake globally anahitaji Vita ya Tatu ya Dunia.

Ukiona chokochoko zoote kuanzia UCHINA na Taiwan, URUSI -Ukraine , zote hizi ni Kwa sababu anahitaji Vita

Kwa Marekan Vita, humneesha Kiuchumi na Kiutawala.
Olympus must fall this time
 
Maneno mengi pumba tupu
 
hawa nchi za magharibi ni kuwanyima gesi tuu wafe na baridi
 
"Sheikh mmja alikuwa anasema,"Kila mara tunasikia ,'Watoto wa siku hizi walevi,watoto wa siku hizi wanavuta bangi'"
Sasa,yule Sheikh akauliza,"Huyu 'Siku Hizi' ana watoto wangapi? Kwa sababu kila mtaa unaopita unasikia kuhusu watoto wa Siku Hizi".
Watoto wa Siku Hizi wapo wengi na sasa miaka mingi imepita na watoto wa Siku Hizi wamekuwa mawaziri,wamekuwa wakuu wa mikoa,wamekuwa wakuu wa wilaya( duniani kote).
Kwa hiyo upo uwezekano wa kutokea ww111.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…