Ni muda mrefu sasa tangu vita ya pili ya dunia ilipoisha mataifa yaliheshimiana kwa muda sasa wanadhani heshima imepungua tena. Wange weka vipindi kila baada ya mika 50 tunachapana tena, heshima inge kuwa inakuwepo kwa muda mrefu.
Kuna watu tutakufa ama kwa maradhi, njaa, au vita yenyewe lakini watakao baki wataheshimiana. Kizazi hiki hakina kumbukumbu ndio maana unaoana yoote haya.
Vita ni nzuri sana ukiwa unaangalia movie na kusikia kwenye redio, na kuangalia kwenye television kama hivi sasa. lakini timbwili likiwa mlangoni kwako, hutotamani vita milele.
Mimi naunga mkono vita ya Hamas na IDF kwasababu nafahamu eneo lile Diplomasia iliisha fail, kilichobaki ni tumpate mbabe wa kivita, na huyo atawale eneo lote. Watanuna na kulia lakini hiyo pekee ndiyo suluhu iliyopo pale.
Palestine wana taka Israel aondoke, na Israel anapigania existance yake. Kuna vi-siasa viingi lakini bottom ni hilo. Na kwakuwa hakuna suluhu ya mezani inayokubalika kwa pande zote mbili mi naomaba waendelee kutwangana tu.
Atakayeshinda ajitwalie lote.
Kuna watu tutakufa ama kwa maradhi, njaa, au vita yenyewe lakini watakao baki wataheshimiana. Kizazi hiki hakina kumbukumbu ndio maana unaoana yoote haya.
Vita ni nzuri sana ukiwa unaangalia movie na kusikia kwenye redio, na kuangalia kwenye television kama hivi sasa. lakini timbwili likiwa mlangoni kwako, hutotamani vita milele.
Mimi naunga mkono vita ya Hamas na IDF kwasababu nafahamu eneo lile Diplomasia iliisha fail, kilichobaki ni tumpate mbabe wa kivita, na huyo atawale eneo lote. Watanuna na kulia lakini hiyo pekee ndiyo suluhu iliyopo pale.
Palestine wana taka Israel aondoke, na Israel anapigania existance yake. Kuna vi-siasa viingi lakini bottom ni hilo. Na kwakuwa hakuna suluhu ya mezani inayokubalika kwa pande zote mbili mi naomaba waendelee kutwangana tu.
Atakayeshinda ajitwalie lote.