Tujifunze: Kipindi ambacho dini na imani zilianza kupoteza nguvu na kuanguka Ulaya

Mabadiliko makubwa huletwa kwa matumizi makubwa ya akili pasipo imani kuzingatiwa hii ni falsafa bora ya utatuzi wa changamoto.
 
Renaissance (Rebirth of culture)
 
Kwa wenzetu wamepitia kipindi Cha kuchambua "faith and reason" Africa vipi?
Kwa kuielezea Afrika tokana na uelewa wangu mfupi kuhusu Afrika. Bado Afrika yakabiliwa na changamoto lukuki za kushindwa kuweka ukuta kati ya matumizi ya imani na akili katika uamuzi na utatuzi wa changamoto
 
Huku Africa sehemu nyingi watu wanaogelea kwenye uchawiuchawi bado.

Hata wasomi bado wana imani hizo.

Mtu ana internet halafu anaamini uchawi.

Tuko nyuma miaka kama 300 kama si zaidi.
Na wanazidi kurudi nyuma tu
Your browser is not able to display this video.
 
Kwa kuielezea Afrika tokana na uelewa wangu mfupi kuhusu Afrika. Bado Afrika yakabiliwa na changamoto lukuki za kushindwa kuweka ukuta kati ya matumizi ya imani na akili katika uamuzi na utatuzi wa changamoto
Matumizi ya Imani na akili still bado Sio kwa kiwango kikubwa pia zaidi ya kujiendea tu pasipo vyote hivyo
 
Reactions: TPP
Cha ajabu hii mada wazi wazi inakwepa Rise of Islam ni Europe, hata ukitoa factor ya Migration Uisilamu unakuwa kwa Kasi, pewpewresearch inaonesha by 2050 waisilamu watakuwa 11% ya Ulaya, sababu ya Migration, ila wakaendelea hata Bila Migration Uisilamu utakua 7%.

Zamani miaka 200 ama 300 iliopita Ngumu kukuta Sheikh mzungu, ila sasa hivi Kuna wasomi kibao wa kiisilamu wanaoheshimika Dunia nzima wazungu, kama Sheikh Hamza Yusuf, Abdul hakim Murad, Daniel Haqiqatou, Hamza Tzortis etc.

Na Uisilamu sio illogical, ndio dini pekee unayoweza Kusimama na Atheist na kumpiga ko. Kaangalie Debate Baina ya Hamza Tzortis na professor Lawrence Krauss ambaye ni well known Antitheist kundi moja na Kina Dawkin

 
Cha ajabu hii mada wazi wazi inakwepa Rise of Islam ni Europe
Uanzishwaji wa hili somo fupi si kwa makusudio ya kutokutambua uingiaji wa imani ya dini kiislamu katika himaya ya ulaya hapana lengo ni sote kuelemika kuhusu kipindi cha kuhoji au zama za mwanga ( Age of reason or Enlightenment )

Hivyo si sahihi kuhusisha hili somo na kupinga usambaaji wa dini ya kiislamu mahali popote pale sote twapasa kutambua hilo ili fikra zetu zisiwe na ukwamo mahali popote katika kuchambua jambo hili.

Age of reason haina mahusiano ya moja kwa moja na uwepo wa imani ya dini ya kiislamu katika himaya ya ulaya
 
TUJIFUNZE: KIPINDI AMBACHO DINI NA IMANI ZILIANZA KUPOTEZA NGUVU NA KUANGUKA ULAYA

Hio ndio Heading yako, kinachoendelea Ulaya ni dini moja inaanguka na nyengine inakuja, so Uisilamu una fill gape lililoachwa na Wakristo. Hivyo kutumia hoja ya Ukristo Kupungua as if Dini inapungua na ku ignore Uisilamu huoni kama si sahihi?
 
Umesoma na kuelewa vyema title na kilichomo ndani ?

Ukiweka umakini utatambua kuwa title yakusudia kuzungumzia kipindi na kilichomo ndani ndicho hicho kipindi kilicho zungumwa nacho ni Age of reason. Je, ni jambo gani lakutatiza hapo ?

Wewe ni muislam ? Na je, waona somo hili lawatenga na kutowazungumzia waislam na imani yao ? na uwasambaaji wake ?
 
Kipindi hicho hicho na Uisilamu nao ukaanza kuenea. Kwenda kwa Sayansi na Technology ulaya kunaenda sambamba na Uisilamu.

Scientist wengi wa Mwanzo walikua Middle East,

Ukiangalia Scientist wa Mwanzo mwanzo Ulaya kama Galileo utakuta vitabu vyao Citation zao wanafanya kwa Scientist wa Middle East.

Hivyo hiyo unayoita Age of Reason nayo pia ni cheche za kueneza Dini nyengine.
 
Unachanganya madesa, ulaya watu kuona dini ni magumashi si kwamba wanasilimu kutoka Ukristo kwenda Uislamu.

Tena mtu ambaye anaona Ukristo ni magumashi tu mtu huyo hawezi kuwa muislamu Kamwe.
 
Unajaribu kulazimisha imani ya kiislamu ifungamane na age of reason kwa hili haupo sahihi kwa asilimia zozote zile.

Age of reason ilikuwa mbali kabisa na imani ya aina yoyote ile na ilipinga imani kutawala fikra za watu kuliko matumizi ya akili na kufikiri kwa kina.

Unaweza tafuta namna bora zaidi kuelezea historia ya uislam kuingia katika himaya ya ulaya bila kuhusisha Age of reason iliokuwa kinyume na hio hio imani.
 
Kundi kubwa la watu wakisha Acha kutegemea imani fulani wanaanza kufanikiwa , Din zinadumaza akili sana na story zake za kujifariji fariji zinafanya bongo zinategea viumbe wengne .
 
Mkuu umeongea ukweli kabsa katikati ya kundi kubwa la watu waliolala usingizi .
 
Mwafrika ananiacha hoi, "eti namuachia Mungu" unadundwa unasema namuachia Mungu!! Tumia akili, nawe mjibu mara mbili ashike adabu.
 
Dunia ipo the reasoning age, Afrika bado ipo age ya kuamini kama nyumbu bila kutumia ubongo. Kila kitu wao ni imani tu. Imani zenyewe hazimake any sense whatsoever.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…