Tujifunze: Kipindi ambacho dini na imani zilianza kupoteza nguvu na kuanguka Ulaya

Tujifunze: Kipindi ambacho dini na imani zilianza kupoteza nguvu na kuanguka Ulaya

Unajaribu kulazimisha imani ya kiislamu ifungamane na age of reason kwa hili haupo sahihi kwa asilimia zozote zile.

Age of reason ilikuwa mbali kabisa na imani ya aina yoyote ile na ilipinga imani kutawala fikra za watu kuliko matumizi ya akili na kufikiri kwa kina.

Unaweza tafuta namna bora zaidi kuelezea historia ya uislam kuingia katika himaya ya ulaya bila kuhusisha Age of reason iliokuwa kinyume na hio hio imani.
Kipindi kanisa linaita sayansi ni Uchawi, likiua na kupinga sayansi huko Middle East watu walikua encouraged kutafuta Elimu. Walimove toka Ulaya kuja Middle East, Ulaya mapinduzi ya Sayansi mwanzo mwanzo yalitumia vitabu toka Middle east.

Mfano Al zahrawi kitabu chake kimetumika Ulaya kuanzia miaka ya 900 hadi karne ya 15/16 anakuwa Regarded kama Father of modern surgery, vitu vingi vinavyotumika kwenye modern surgery vimetoka kwake


Huo ni mfano mmoja tu, hii ni study inaelezea karne ya 11 mpaka 13 jinsi walivyotafsiri na kuchukua hio knowledge na ku Absorb mpaka karne ya 15 wakati institution za Elimu zinaanzishwa zilitegemea Elimu hio kutoka Middle East baadae ndio na wao wakaanza kuzalisha wanasayansi wao.


In the eleventh through thirteenth centuries there were three main geographical areas in which contact between the Islamic world and the Latin world allowed for the transmission of knowledge from one culture to the other: Spain, southern Italy and Sicily, and the area encompassing the Holy Land. Spain was by far the most important of the three for its role in the direct transmission of Arabic knowledge into Latin Christendom. While some copies of Arabic works were brought to Europe by the crusaders, Italian traders, and ambassadors, the most important role played by Italy and the Middle East was to awaken European scholars to the intellectual riches of the Islamic empires. Stories told by crusaders and traders filled European scholars with wonder and pointed them in the direction of the Islamic world.

The place to go was Spain. Most of Spain had been under Islamic rule since the eighth century. For several centuries Muslims, Christians, and Jews coexisted peacefully under Islamic rule, and Arabic scholarship flourished in the eleventh and twelfth centuries under the Umayyad dynasty. Bilingual and multilingual Spanish scholars facilitated the translation of Arabic works into Hebrew and Latin. However, it was not only native Spaniards who produced translations, but foreign scholars as well who came to Spain, learned Arabic, and took their translations back to their homelands. As early as 967 the scholar Gerbert crossed the Pyrenees from France into Spain to study Arabic mathematics. What began as a trickle turned into a flood as the Christian reconquest of Spain during the eleventh and twelfth centuries allowed Arabic centers of culture and libraries of Arabic books to come into Christian hands. Toledo, the cultural center of Spain, fell to the Christians in 1085 and its intellectual riches attracted scholars from as far away as Wales and Scandinavia.

The greatest of all the translators was Gerard of Cremona (1114?-1187). Around 1140 he traveled from northern Italy to Spain in search of Ptolemy's Almagest, which he had learned about but had been unable to locate elsewhere. He found a copy in Toledo and learned Arabic in order to translate it into Latin. While there, he became aware of numerous Arabic texts on many other subjects and he devoted the next 30 or 40 years to translating this corpus into Latin. He produced an astonishing number of books, between 70 and 80, including over a dozen astronomical works, 17 treatises on mathematics and optics, many works of natural philosophy, and 24 medical works. Among these translations were many great and important works, such as Euclid's (330?-260? b.c.) Elements, al-Khwarismi's (780?-850?) Algebra, Aristotle's Physics, On the Heavens, and On Generation and Corruption, and Ibn Sina's (980-1037) Canon of Medicine. Perhaps most impressive, though, was the skill with which Gerard rendered these works into Latin. Often translators resorted to literal word-for-word replacement from Arabic into Latin, which resulted in nonsensical sentences and mangled meanings. Gerard, however, had such a good command of the languages and a clear understanding of the subject matter that he was able to produce translations that were true to the original meaning and nuances of the Arabic works.

While Italy was much less important than Spain in the translation activity from Arabic into Latin, its role in the accumulation of knowledge was not insignificant. Southern Italy and Sicily were important both for the translation activity of Constantine the African in Salerno in the eleventh century and especially for the translations directly into Latin of Greek works during the twelfth and thirteenth centuries. There had always been Greek-speaking communities in Italy and strong ties with the Byzantine Empire. Libraries of Greek works were rediscovered and translators such as James of Venice (c. 1140) and William of Moerbeke (c. 1270) attempted to provide European scholars with new or revised Latin translations of Aristotle, Plato (427?-347 b.c.), Archimedes (287?-212 b.c.), and Euclid from the Greek.

The primary motivation behind the translation effort was utility. Astronomical and medical works were sought out and translated first. Medical treatises had an obvious value, and Ibn Sina's Canon of Medicine was the most complete, scholarly compilation of medical knowledge to be found anywhere during the Middle Ages. Astronomy and its stepsister astrology were also very useful in the medieval world. Astrology was used in medicine, helping physicians and healers to determine the best time to perform cures and what general combination of humors (known as a complexion) a patient was likely to have based on astrological data. Astronomy was essential for calendar keeping and the prediction of celestial events. To fully understand and utilize complex astronomical and astrological works such as the Almagest, scholars also needed to translate and learn Greco-Arabic mathematical treatises. Moreover, medicine and astronomy both rested on certain philosophical underpinnings found in Aristotle and other Greek metaphysicians. Thus, translators who sought medical and astronomical works also found themselves delving into the natural philosophy and metaphysics of the Greeks and their Arabic commentators. At the core was Aristotle, and in Aristotle European scholars found a powerful system of logic and philosophy that could be utilized in any branch of scholarship.

By the middle of the thirteenth century, the flood of translation had slowed again to a trickle, as most of the Greek and Arabic philosophical and scientific works were by then available in Latin at the various European centers of learning. Throughout the next century and a half gaps in the translations were filled and the new learning spread to the farthest reaches of Latin Christendom, where it was incorporated into, or inspired, new educational institutions. It was at these universities and schools that the final phase of assimilation occurred, as the influx of Greco-Arabic knowledge became absorbed and institutionalized in Latin Christian theology, thought, and scholarship.
 
Kipindi kanisa linaita sayansi ni Uchawi, likiua na kupinga sayansi huko Middle East watu walikua encouraged kutafuta Elimu. Walimove toka Ulaya kuja Middle East, Ulaya mapinduzi ya Sayansi mwanzo mwanzo yalitumia vitabu toka Middle east.

Mfano Al zahrawi kitabu chake kimetumika Ulaya kuanzia miaka ya 900 hadi karne ya 15/16 anakuwa Regarded kama Father of modern surgery, vitu vingi vinavyotumika kwenye modern surgery vimetoka kwake


Huo ni mfano mmoja tu, hii ni study inaelezea karne ya 11 mpaka 13 jinsi walivyotafsiri na kuchukua hio knowledge na ku Absorb mpaka karne ya 15 wakati institution za Elimu zinaanzishwa zilitegemea Elimu hio kutoka Middle East baadae ndio na wao wakaanza kuzalisha wanasayansi wao.


In the eleventh through thirteenth centuries there were three main geographical areas in which contact between the Islamic world and the Latin world allowed for the transmission of knowledge from one culture to the other: Spain, southern Italy and Sicily, and the area encompassing the Holy Land. Spain was by far the most important of the three for its role in the direct transmission of Arabic knowledge into Latin Christendom. While some copies of Arabic works were brought to Europe by the crusaders, Italian traders, and ambassadors, the most important role played by Italy and the Middle East was to awaken European scholars to the intellectual riches of the Islamic empires. Stories told by crusaders and traders filled European scholars with wonder and pointed them in the direction of the Islamic world.

The place to go was Spain. Most of Spain had been under Islamic rule since the eighth century. For several centuries Muslims, Christians, and Jews coexisted peacefully under Islamic rule, and Arabic scholarship flourished in the eleventh and twelfth centuries under the Umayyad dynasty. Bilingual and multilingual Spanish scholars facilitated the translation of Arabic works into Hebrew and Latin. However, it was not only native Spaniards who produced translations, but foreign scholars as well who came to Spain, learned Arabic, and took their translations back to their homelands. As early as 967 the scholar Gerbert crossed the Pyrenees from France into Spain to study Arabic mathematics. What began as a trickle turned into a flood as the Christian reconquest of Spain during the eleventh and twelfth centuries allowed Arabic centers of culture and libraries of Arabic books to come into Christian hands. Toledo, the cultural center of Spain, fell to the Christians in 1085 and its intellectual riches attracted scholars from as far away as Wales and Scandinavia.

The greatest of all the translators was Gerard of Cremona (1114?-1187). Around 1140 he traveled from northern Italy to Spain in search of Ptolemy's Almagest, which he had learned about but had been unable to locate elsewhere. He found a copy in Toledo and learned Arabic in order to translate it into Latin. While there, he became aware of numerous Arabic texts on many other subjects and he devoted the next 30 or 40 years to translating this corpus into Latin. He produced an astonishing number of books, between 70 and 80, including over a dozen astronomical works, 17 treatises on mathematics and optics, many works of natural philosophy, and 24 medical works. Among these translations were many great and important works, such as Euclid's (330?-260? b.c.) Elements, al-Khwarismi's (780?-850?) Algebra, Aristotle's Physics, On the Heavens, and On Generation and Corruption, and Ibn Sina's (980-1037) Canon of Medicine. Perhaps most impressive, though, was the skill with which Gerard rendered these works into Latin. Often translators resorted to literal word-for-word replacement from Arabic into Latin, which resulted in nonsensical sentences and mangled meanings. Gerard, however, had such a good command of the languages and a clear understanding of the subject matter that he was able to produce translations that were true to the original meaning and nuances of the Arabic works.

While Italy was much less important than Spain in the translation activity from Arabic into Latin, its role in the accumulation of knowledge was not insignificant. Southern Italy and Sicily were important both for the translation activity of Constantine the African in Salerno in the eleventh century and especially for the translations directly into Latin of Greek works during the twelfth and thirteenth centuries. There had always been Greek-speaking communities in Italy and strong ties with the Byzantine Empire. Libraries of Greek works were rediscovered and translators such as James of Venice (c. 1140) and William of Moerbeke (c. 1270) attempted to provide European scholars with new or revised Latin translations of Aristotle, Plato (427?-347 b.c.), Archimedes (287?-212 b.c.), and Euclid from the Greek.

The primary motivation behind the translation effort was utility. Astronomical and medical works were sought out and translated first. Medical treatises had an obvious value, and Ibn Sina's Canon of Medicine was the most complete, scholarly compilation of medical knowledge to be found anywhere during the Middle Ages. Astronomy and its stepsister astrology were also very useful in the medieval world. Astrology was used in medicine, helping physicians and healers to determine the best time to perform cures and what general combination of humors (known as a complexion) a patient was likely to have based on astrological data. Astronomy was essential for calendar keeping and the prediction of celestial events. To fully understand and utilize complex astronomical and astrological works such as the Almagest, scholars also needed to translate and learn Greco-Arabic mathematical treatises. Moreover, medicine and astronomy both rested on certain philosophical underpinnings found in Aristotle and other Greek metaphysicians. Thus, translators who sought medical and astronomical works also found themselves delving into the natural philosophy and metaphysics of the Greeks and their Arabic commentators. At the core was Aristotle, and in Aristotle European scholars found a powerful system of logic and philosophy that could be utilized in any branch of scholarship.

By the middle of the thirteenth century, the flood of translation had slowed again to a trickle, as most of the Greek and Arabic philosophical and scientific works were by then available in Latin at the various European centers of learning. Throughout the next century and a half gaps in the translations were filled and the new learning spread to the farthest reaches of Latin Christendom, where it was incorporated into, or inspired, new educational institutions. It was at these universities and schools that the final phase of assimilation occurred, as the influx of Greco-Arabic knowledge became absorbed and institutionalized in Latin Christian theology, thought, and scholarship.
Tatizo lako ni nini ?
 
Kundi kubwa la watu wakisha Acha kutegea imani fulani wanaanza kufanikiwa , Din zinadumaza akili sana na story zake za kujifariji fariji zinafanya bongo zinategea viumbe wengne .
Kazi kubwa ya imani na dini ni kutoa faraja kwa wale waamini wake.
 
Mwafrika ananiacha hoi, "eti namuachia Mungu" unadundwa unasema namuachia Mungu!! Tumia akili, nawe mjibu mara mbili ashike adabu.
Hii njia ya kusema" Namuachia Mungu" haiwezi kuwa na tija kwa kundi la jamii lenye kuhitaji utatuzi bora wa changamoto zake inazo likabili.
 
Dunia ipo reasoning age, Afrika bado bado ipo age ya kuamini kama nyumbu bila kutumia ubongo. Kila kitu wao ni imani tu. Imani zenyewe hazimake any sense whatsoever.
Basi kama hivyo zinahitajika jitihada nyingi kukabiliana na hali hio bila hivyo hali maendeleo ya Afrika itakabiliwa na changamoto nyingi zisizo kwisha
 
Je, wafahamu ni kipindi gani hali ya kupoteza nguvu na kuanguka kwa dini Ulaya kilianza miaka ipi na karne gani?

Simple fact:
Tujifunze, wenda hali hii ya sasa ya mataifa mengi ya ulaya kuteteleka katika mambo ya imani na dini yakushanganza na kujenga maswali mengi katika ufahamu wako kuhusu sababu nini na lini hali hii ilianza.

AGE OF REASON
Hiki ndicho kipindi ulaya ili shuhudia mabadiliko makubwa ya kiimani pia kiutawala.

Kipi hiki imani na dini zilipitia wakati mgumu uliopelekea kuanguka kwa kiasi kikubwa katika mataifa mbalimbali ya ulaya tofauti na nguvu iliyokuwa nayo mwanzo

Kipindi hiki kilianza mwanzo mwa karne ya 17 kwenda karne ya 18. Kipindi hiki kilisisitiza matumizi ya akili katika kuchambua masuala ya kidini na kuepesha matumizi ya Imani kwa kiwango kikubwa.

Hiki ndicho kipindi sayansi na utumizi wa falsafa ulichipukia kwa kasi sana ndani ya ulaya. Sayansi na falsafa za kimaisha ziliathiri dini na imani kwa kiwango kikubwa ulaya.

Mapinduzi ya sayansi na teknolojia na uhuru binafsi ulichukua nafasi kubwa kipindi hiki, wanasayansi wengi wakubwa ulaya na duniani walianza kuonekana katika kipindi hiki.
Somo fupi la leo.
Vipi kuhusu mafuta na maji ya upako ULAYA HAMNA?🙂
 
Tanzania and tupo AGE OF BELIEVING
EUROPE, RUSSIA, CHINA na NORTH AMERICA wapo AGE OF REASONING
 
Cha ajabu hii mada wazi wazi inakwepa Rise of Islam ni Europe, hata ukitoa factor ya Migration Uisilamu unakuwa kwa Kasi, pewpewresearch inaonesha by 2050 waisilamu watakuwa 11% ya Ulaya, sababu ya Migration, ila wakaendelea hata Bila Migration Uisilamu utakua 7%.

Zamani miaka 200 ama 300 iliopita Ngumu kukuta Sheikh mzungu, ila sasa hivi Kuna wasomi kibao wa kiisilamu wanaoheshimika Dunia nzima wazungu, kama Sheikh Hamza Yusuf, Abdul hakim Murad, Daniel Haqiqatou, Hamza Tzortis etc.

Na Uisilamu sio illogical, ndio dini pekee unayoweza Kusimama na Atheist na kumpiga ko. Kaangalie Debate Baina ya Hamza Tzortis na professor Lawrence Krauss ambaye ni well known Antitheist kundi moja na Kina Dawkin


Ujue wewe unaendeshwa na macho ya imani.
Nkuulize swali sheikh

Ushawahi kujiuliza kuwa kwanini wewe ni muislamu!?
Ulianzaje anzaje hadi kuwa muislam
 
Ujue wewe unaendeshwa na macho ya imani.
Nkuulize swali sheikh

Ushawahi kujiuliza kuwa kwanini wewe ni muislamu!?
Ulianzaje anzaje hadi kuwa muislam
Nyie mnajifanya watu wa logic ila mnatumia blah blah hamna hata source moja kuprove logic zenu.

Mimi mnaniita mtu wa dini wajinga wajinga mnatuona ila each and everything nimetuma studies ama link kusuport ninachikiongea...

So wewe unayeona naendeshwa na macho ya imani naomba upangue hoja zangu kwa evidence na scholary resource, otherwise usitegemee reply zangu tena.
 
Nyie mnajifanya watu wa logic ila mnatumia blah blah hamna hata source moja kuprove logic zenu.

Mimi mnaniita mtu wa dini wajinga wajinga mnatuona ila each and everything nimetuma studies ama link kusuport ninachikiongea...

So wewe unayeona naendeshwa na macho ya imani naomba upangue hoja zangu kwa evidence na scholary resource, otherwise usitegemee reply zangu tena.
Hujajibu swali langu.

Hatuko kwenye shari.

Sijasema wewe ni mjinga.

Unaweza kujibu swali langu hilo!?
 
Hujajibu swali langu.

Hatuko kwenye shari.

Sijasema wewe ni mjinga.

Unaweza kujibu swali langu hilo!?
Sababu ushaenda OP na Hoja za Mleta mada unaanzisha kitu kingine ambacho hata hakina mahusiano na kinachoongelewa. Hizo ni dalili za ubishi

Uisilamu maana yake ni kusubmit to Allah. Mtu yoyote anaye amini Kuna mungu mmoja na huyo mungu ndio pekee anayepaswa kuabudiwa huyo ni Muisilamu.

Hivyo mimi ni Muisilamu sababu naamini hilo
 
Sababu ushaenda OP na Hoja za Mleta mada unaanzisha kitu kingine ambacho hata hakina mahusiano na kinachoongelewa. Hizo ni dalili za ubishi

Uisilamu maana yake ni kusubmit to Allah. Mtu yoyote anaye amini Kuna mungu mmoja na huyo mungu ndio pekee anayepaswa kuabudiwa huyo ni Muisilamu.

Hivyo mimi ni Muisilamu sababu naamini hilo
Sawa
 
Kuna kipindi ambacho tunakiita Renaissance.

Renaissance ni neno la Kiingereza linalotokana na neno la Kifaransa "renaistre" na linamaanisha "kuzaliwa upya" au "kufufuka." Ni jina ambalo linatumika kuelezea kipindi cha kihistoria na mabadiliko makubwa ya kitamaduni, kisanaa, kisayansi, na kifikra kilichotokea Ulaya katika karne ya 14 hadi 17.

Kipindi hiki kilikuwa ni wakati wa maendeleo ya kipekee katika fani za sanaa, fasihi, muziki, sayansi, falsafa, na mafanikio katika uwanja wa utamaduni kwa ujumla.
Renaissance ilianzia katika miji ya Italia, hasa Florence, na baadaye ikapanuka na kuvutia wanasayansi, wasanii, na wanafalsafa wengi kutoka sehemu zingine za Ulaya. Kipindi hiki kilijulikana kwa kuhamasisha mawazo mapya na uvumbuzi, pamoja na kukuzwa kwa utafiti wa kisayansi, uchoraji, ujenzi wa majengo, muziki, na fasihi.

Miongoni mwa watu maarufu wa Renaissance ni pamoja na Leonardo da Vinci, Michelangelo, William Shakespeare, Galileo Galilei, na Nicolaus Copernicus, ambao waliathiri sana maendeleo ya sanaa, sayansi, na mawazo ya kisasa.

Renaissance ilikuwa wakati wa kujitokeza kwa wazo la "mwanadamu mwenye uwezo" (humanism), ambapo watu walihimizwa kufanya utafiti na kuendeleza ujuzi wao katika nyanja mbalimbali.

Kwa ujumla, Renaissance ilikuwa ni kipindi cha kuvutia sana katika historia ya Ulaya ambapo kulikuwa na maendeleo makubwa katika nyanja za kitamaduni, kisayansi, na kifikra, na ilichangia katika kuleta mabadiliko muhimu katika jamii na kujenga msingi wa mawazo na maendeleo ya kisasa.

Jiulize kwanini dunia ilikuwepo miaka mamilioni, lakini ukipima technology imekuja kukua miaka ya hv karibuni.

Yaani ukicompare ukuaji wa technologies kutokea karne ya 14 hadi 21.
Then ukalinganisha karne ya 14 kurudi nyuma.. Unaona kabisa kuwa hiyo miaka mingi ya nyuma watu walikuwa zama za giza sana.
Hawa watu walikuwa wanapambania mambo ya imani tu.
Imani za kidini, imani za kishirikina etcetera..

Kwahyo nnavyoona mtu hapa anakuja kuingiza mambo yake ya udini asifie dini yake ni unaishia kumuangalia tu,
Maana imani ni ugonjwa mbaya usio na tiba. Ispokuwa ni jambo la kibinafsi tu la kuanza kujitambua wewe mwenyewe.

Jiulize
1♦️ Kwanini unaamini sana dini yako wala si nyingine?
_20230704_052719.JPG


2♦️je ingetokea ukazaliwa katika familia yenye imani tofauti usingalikuwa wa imani ile?

3♦️yale maswali ya kibinafsi yanayokujia akilini unapoona utata katika imani (cognitive dissonance) yako, hayo maswali umewahi kuhoji upande wa pili kwa wasioamini ili ujue majibu upande wa pili.
Kwasababu ukikutana na maswali hayo ukaenda kuyatafta ndani ya imani yako utajibiwa na utaforciwa tu uyakubali.

Na ukitaka kujua wewe ni mlevi wa dini utakosea swali la pili kujivutia kwenye imani yako.

Iko hvi
_20230704_052940.JPG

+ If you were born in Africa you'd probably be shaghalabhagaladhatabulaasashagala.

Je wewe uko wapi?
Unafikiriaje kuhusu Renaissance kwenye akili yako!?
 
Back
Top Bottom