Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

Vijana wanajiamini wapo vizuri katika lugha n.k natumai watoto wangu pia nitahakikisha wanapata Elimu Bora Nje ya Nchi pia ..

Watanzania tunakosa Nafasi nzuri sababu ya Lugha
Kwenye lugha hapo nimekuelewa.viongozi wa Tanzania wanasisitiza kiswahili kifundishwe darasa la kwanza Hadi chuo kikuu lakini watoto wao wanaowapeleka international ambako lugha za kimataifa ni lazima
 
Kwani ukilia kwa kuzimia ndo nini yaani? Walishalia kidogo inatosha.
Sio lazima ulie mimi sijasema lia nimesema kwenye msiba hata chozi lisipotoka sura yako haiwezi kuficha huzuni hawa utasema kitu cha kawaida tu bado watoto hawa ndio kujizuia ngumu mtu mzima unaweza kujikaza.
 
Kule kwetu kusini usipolia msibabi unaitwa mchawi. Na watoto na mke mpaka wanashikiliwa kabisa. Hao pesa za baba yao zimewavuruga. Hawawazi msiba wanawaza kumiliki.
 
Maskini anaamini watoto ndo watamtoa kwenye umaskini wake ilhali hana hela ya kuwatunza na kuwasomesha hao watoto. Circle ya ufukara inaendelea tu.
 
LAKINI nahisi masikini kuzaa watoto wengi inaweza kuwa sawa.... yaani, sio kitu kibaya moja kwa moja

kujenga hoja ndo ngumu sasa
Haya tufanye maskini kapanga chumba kimoja na sebule, ana watoto sita, anafanya kazi kiwandani analipwa elfu7 kwa siku, hapo hata kiwanja Hana, HUJAONA tuu shida hapo?
 
Tajiri kikwete anawatoto wangapi?
 
Sio lazima ulie mimi sijasema lia nimesema kwenye msiba hata chozi lisipotoka sura yako haiwezi kuficha huzuni hawa utasema kitu cha kawaida tu bado watoto hawa ndio kujizuia ngumu mtu mzima unaweza kujikaza.
Unadhani ni kwanini wapo hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…