Tujikumbushe: Bibi Titi alivyomwaga fedha kumuua Nyerere

Status
Not open for further replies.
acha umbumbu wewe..

Ni sawa na kutaka chadema wamuenzi Juliana Shonza ...

Mzee unamaliza......bibi Titi hakuwa na Tofauti ingawa Nyerere alimtumia hivyihivyo pamoja na kutoaminika wala kuwa na uwezo mkubwa....kwa sababu ya hali ilivyokuwa...ndio maana kila alipolia ,alipoasi mwalimu alimrudisha kk mstari hivyohivyo hadi mama akajitambua , akakomaa, na akafikia mahali pa kuona kuwa ktk TANU kuna Life..
 
Dah nicholaus hapo umeongea pumba tupu..inaonekana kumbe humjui haroub wala humjui shivji..nimeamini humjui uliposema shivji nae mdini...mwanangu we hakuna kitu..pumba..nyamaza tu..uchune..

Wabongo mna vichwa pumba na si tuu mnatema pumba..Sasa umesema nini hapa?Unanishutumu, nidharau..halafu unamaliza kwa ujinga bila proof, wala maelezo ya maana....mmekuwa brainwashed na hawa wehu ..kila media inawapigia debe km JK alivyopigiwa debe ili vichwa vijiandae kukubali kila kitu blindly...hao jamaa wasiwatishe na Uprof wao..Hawana kitu.....kimaadili, kifikra etc,,,ndio maana Vichwa vyao vinapendelea baised views..

Utaendelea sikiliza sifa za kibongo ambazo zina malengo mabaya sana .....nyingi ni za kimikakati ili baadae watumike kuwalazimsiha kitu, ili wamsafishe mtu, etc.....hata Lipumba hadi leo anapigiwa debe..km akili yak ahaipo kichwani utamsubiri sana huyu prof awe prof ..unaweza pigana na wengine wanaoona hakuna kitu ukawaita wana ubaguzi wa rangi, sijui wa dini ..kumbe ni wewe na wenzio ndio mnashida za kupima watu.
 
Naona mlevi kaamka. Sasa ni mwendo wa viroba tu,haya mkuu mwaga pumba
 
Mheshimiwa jaribu kustabirize your mind usiwe kipofu. Watu watakudharau sana.

ndio nini ktk red?


Haha...wewe kichwa maji sana...unataka usidharaulike....kwa taarifa yako hakuna mtu asiyedharaulika duniani na watu wengine.Does it make them weak, stupid, ignorant etc?

Kuna millions of great things ukifuata watu hutofika.
 

Ninachowapenda mpo km nyumbu huwa mnaanza kwa mbwembwe nyingi halafu mnamalizia km bondia aliyeingia jukwaani kujizuia uso tuu akidhani atapata draw....halafu ngumi chache nzuri zikiingia ama knockout au ashindwe kw apointi kirahisi.



Sasa km waislam wanahitaji ulichoandika ktk red ..sasa unategemea nania awape?Si ndio unathibitisha nilichoandika....kuwa waislam hata uhuru hawakuwa na haja nao km ilivyo sensa leo.Wao iimradi suala zima lisiingilie utamaduni wao wa kutembea na ndizi..na ikibidi sahani ziongezeke., wazee kadhaa waingizwe ktk kamati za ulaji..
 
Mkuu huyu Nicholas wala usibishane nae la sivyo tafta hedex kabisa atakupasua kichwa,kwanza sasa ivi ana comment wakati bichwa limejaa viroba

Naona unapenda sana ID yangu......seems ni mechukua shemu kubwa sana ya fikra zako.Usihofu kazifute kwa kusoma Bible angalau Injili ya Yohane..ili uje bishana vyema.
 
Mkuu Ritz pamoja na gombesugu mnamwona mzee wakuharisha Nicholas! Halafu nachoshangaa huyu mgalatia anaingia jf usiku tu,yaani kama changu na mitaa ya ohio

Ah hah..?Umetoka wanunua.....nini naona upo active usiku...na unawakumbuka hao machangu...Hakuna shobo ..si huw amnaamini ktk kununu amalaya na kufunga ndoa asbh unaweza mtaliki..ni business nzuri kwenu.Ndio marupurupu ya Ndoa za MUTTAH.Unaunua malaya na kufunga ndoa za muda unaotaka kupeta.
 
Nicholas nikikujibu ntakula ban endelea tu kumwaga pumba zako hapa

kwanini mkuu ule ban?Kwanini uogope ban km wewe unaamini usemalo...?sasa kuna haja gani kuwa JF km zaidi ya mawazo yako yanakusababishia ban ambayo kwako ni tishio kubwa?

Pengine ungesema tuu km ulitaka mwaga matusi..hayo nimeayazoea sana humu..ktk mujaheeds wote humu ndani hakuna hajawahi nitukana kwa muda wake.
 




We kweli mwehu...sijui hata umeandika nini? Mkuu kuwa chizi sio mpaka uende mirembe.
 



Mtoto wa kiume kuwa na tabia za kike hata haipendezi kwa kweli,,,,au ni wa kike unatumia ID ya kiume? Maana umekaa kichuki zaidi Binti yangu.
 
Mtoto wa kiume kuwa na tabia za kike hata haipendezi kwa kweli,,,,au ni wa kike unatumia ID ya kiume? Maana umekaa kichuki zaidi Binti yangu.

Hivi kweli unajibu hoja makini kwa huu upumbavu?Kweli usiwape nguruwe kilicho chema..waatakinajisi kwa kukivuruga ktk matope na mavi yake.

Hujasoma wala kuelewa kitu, kwa vile umeona maneno yanayowakataa moja kwa moja ukahamia ktk masterpiece ya ilm ya miskitini.
 
We kweli mwehu...sijui hata umeandika nini? Mkuu kuwa chizi sio mpaka uende mirembe.

Ndivyo unavyojiingiza ktk kundi la wasomi na wenye fikra pevu..?

tanzaia kuna Mamprofessor wenye maana wachache sana..wengini type ya akina Lipumba...........
 
Wewe umezaliwa 1982 kutokana na maandiko yako mwenyewe toke utoke Iringa kuja Dar es Salaam hauna hata miaka mitano.

Itakuwa kituko uwafundishe watu wa Mzizima historia ya Tanganyika.

AA,TAA, TANU zimetokana na mababu zetu na baba zetu.



Kumbe hata mahindi ya njano hajayala? Zoea kwanza Dar es Salaam
 
Ndivyo unavyojiingiza ktk kundi la wasomi na wenye fikra pevu..?

tanzaia kuna Mamprofessor wenye maana wachache sana..wengini type ya akina Lipumba...........


Tatizo udini umekutawala Binti yangu.
 
Tatizo udini umekutawala Binti yangu.

kinachokuua wewe ni udini.Ndio maana kila jina la kidini unakufa ukilazimisha likubalike.Si ndio nyie mpo busy hapa mnadaia histori ya uislam kwa makafiri na si huko miskiniti kwenu?
 
Hii picha imepigwa kabla ya uhuru wa Tanganyika, kulia kwa Nyerere ni Bibi Titi ambaye tunakaririshwa kuwa alitaka kumuua Nyerere, hawa wazee wa Dar es Salaam, walikuwa na mapenzi makubwa sana na Nyerere waliishi naye kama ndugu yao.





Shariff Ritz,

Salaam.

Ati nasikia enzi za yule Nyerere ukikutwa/ukikamatwa na picha kama hizi unafungwa!? Kwi! Kwi! Kwi!

Tafadhali tujulishe maana wewe ndo Mwanahistoria wetu uliebakia kwa sasa na tunaekuaminia humu Jf...baada ya jitihada nyingi zifanyazwo ili kumnyamazisha Scholar/Historian mahiri Sheikh Mohammed Said!?

Waliobakia wengi mno humu watakua ndo kati ya walewale tu, Wageni...na history zao za kikanjanja itakua ndio zilezile "Official History"/Story! Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.

Cc;Tayeb,Kahtaan
 
Naona majina ni ya wale-wale tu, na wao walimpinga Nyerere? kwanini?


Chondechonde Aunt Faiza;hao "jamaa zetu" ukiuliza masuali "magumu" au yenye maana,logic na objective kama hayo... hawakawilii sasa hivi kukuita gaidi au mdini!? Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.
 



You just need to go away as I'm so fed up with seeing your shit posts!

You are so overrated and only seeking attention.

People like you are submissive,and don't know to take care of yourselves,leaving mfumoKristo and the rest of us to take of you lots as property.

...no intellect at all. Typical Chadema worshiper,just full of shit and Islamophobia!


Ahsanta.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…