Dah nicholaus hapo umeongea pumba tupu..inaonekana kumbe humjui haroub wala humjui shivji..nimeamini humjui uliposema shivji nae mdini...mwanangu we hakuna kitu..pumba..nyamaza tu..uchune..
Mheshimiwa jaribu kustabirize your mind usiwe kipofu. Watu watakudharau sana.
I read your waste!
You talk like you blundered into someone else nightmare.
Wake up and get some sense in your bloody head!
Your attitude is always counter-productive. I wouldn't say arrogant,but comfortable ignorant.
You cannot provide a solution to the mess you live on! This is much deeper than being judgemental of finger pointing.
Muslims need an aggresive and intelligent response to the reality and issues we're facing in our Country... and We are here to stay,just get over it!
Ahsanta.
Mdogo wangu fuatilia historia ya Tanganyika ujifunze mengi.
Mkuu huyu Nicholas wala usibishane nae la sivyo tafta hedex kabisa atakupasua kichwa,kwanza sasa ivi ana comment wakati bichwa limejaa viroba
Nicholas nikikujibu ntakula ban endelea tu kumwaga pumba zako hapa
we kweli ni nyang'au changia mada au kaa kimya kama hujui sio unajiongelea tu.Ngoja wajahidina waje kutafutia thawabu kwenye uzi wako........
Nyerere alikuwa smart sana kuliko hawa mujahedeen , many times over......niliwahi waambia Nyerere alikuwa njia, ubongo na kila kitu kwa Tanganyaika na Tanzania.
Bibi Titi alikuwa chakula mjini km wengine..ila Nyerere alimhitaji sana kuwakusanya akina mama wa Kiislam..ndio maana hadi leo wanawake wajingawajinga wapo kwa vile mama zao wajingawajinga walipata nafasi za bure na kuwarithisha.....Nyerere aliona bora kuwachapa viboko kuliko waachia hawa magaidi wakajenge kambi ya shida.
Hata haoa kina sykes sijui na nani....Nyerere aliwawatibulia ugaidi wao km Israeli anavyochelewesha Iran kupata silaja kwa kuweka uchafu ktk vinu , kuweka virusu ktk computer na kugereverse issue ilimradi basi.Ili wawe busy na ushirikina wakidhani wamelogwa.
Nyerere kuna mara alitumia mchawi mpe mtoto ,,,,,mara nyingine aliwatokea ghfla na kuwachapa maswali wasiyotegemea hadi wakapoteza mistari wanayomzeshwa kwa ajili ya ubishi km wanavyokariri ya Biblia wakshidnane na wakristu...
Huyo ni bibi titi na kawawa wake, ambao ndio best ktk waislama waliokuwa wanataka Tanganyika waislam waliokuwa wanataka uhuru.....sijui itakuweje wengine ambao ndio waliofikia weka mashrti ,bila hivyo wasingeingia kuongeza idadi aliyotaka nyerere ili kuweza wakabili UN kuwapa watanganyika uhuru wao.
Leo hii wapo busy kuwa sijui uislam , sijui sykes, sijui nini na nini.........Hawa uazao wa binamu nyama ya hamu ....hawana ubongo wa kuchagua pande sahihi wa ya historia kitu chohcote duniani..Watapiga kelele san aila wakikaa watakubaliana na mimi.
Haroub Othman ni islamist mwingine ambaye alikuwa mhuni tuu aliyejificha chini ya mzungu wa prof...na UDSM enzi ya monopoly yake.Ndie aliyenifanya niichukie, niidharau na kuanza ifuatili UDSM kwa makini.Wao andio waligeuza chuo kuwa cha wapiga debe wa wahalifu wote wa Africa...Nilisikiliza mara moja moja akiohijiwa BBC na waandishi wajinga wenye mchanganyiko wa kijamaa, na kiislam..ambao ni ngumnu san kuona ukweli zaid ya propaganda.Kunazia hapo hadi Leo nasema afike haraka alipo John Mpiga Ramli aliyependa jiita mnajimu mkuua.Kutoka Magomeni.
Wewe unaamini Nyerere alivyoamua kutojibu alikosea....?Kweni Nyerere alikuwa kichwa, kma lizungukwa hadi na maprofessor wajinga wanaoendeshwa na masheikha wasio na shule......hakutaka wapa nafsi ya kuendesha propaganda au lolote la kuwafanya mpate sababua ya kuanzisha uasi na mwishowe muanze badilisha kila sbaabu ilimradi tuu ugaidi ufanyike..Matokeo yake Nyerere akafanikiwa wakata mishipa ya ugaidi ahadia kafa..angeomba nini Tena kwa Mungu.Km ni Legacy yake mejaribu izika bado haizibiki..yeye wala hahitaji sifa zote ila zile kdogo mlizoshindwa zificha zilizowapokonya.Kwani zinatohsa kuwamaliza bado.
prof Haroub othman, Lipumba, Malima,Shivji....ni laana ya nchi...wana abuse sana Ilm Dunia....kweli majinn yana nguvu ya kuwaharibu watu akili.Hata mimi nisingemjibu mbea km haroub Othman..Nyerere alijua nia ya yule kimeo ndio maana akamwacha..kwani Mwajiriwa wa serikali badala ya kutoa elimu alikuwa akihubiri dini....badala ya kufanya tafiiti alikuwa akifanya majungu.
Sas wamefikia wapi..?
Mtoto wa kiume kuwa na tabia za kike hata haipendezi kwa kweli,,,,au ni wa kike unatumia ID ya kiume? Maana umekaa kichuki zaidi Binti yangu.
We kweli mwehu...sijui hata umeandika nini? Mkuu kuwa chizi sio mpaka uende mirembe.
Wewe umezaliwa 1982 kutokana na maandiko yako mwenyewe toke utoke Iringa kuja Dar es Salaam hauna hata miaka mitano.
Itakuwa kituko uwafundishe watu wa Mzizima historia ya Tanganyika.
AA,TAA, TANU zimetokana na mababu zetu na baba zetu.
Ndivyo unavyojiingiza ktk kundi la wasomi na wenye fikra pevu..?
tanzaia kuna Mamprofessor wenye maana wachache sana..wengini type ya akina Lipumba...........
Tatizo udini umekutawala Binti yangu.
Hii picha imepigwa kabla ya uhuru wa Tanganyika, kulia kwa Nyerere ni Bibi Titi ambaye tunakaririshwa kuwa alitaka kumuua Nyerere, hawa wazee wa Dar es Salaam, walikuwa na mapenzi makubwa sana na Nyerere waliishi naye kama ndugu yao.
Naona majina ni ya wale-wale tu, na wao walimpinga Nyerere? kwanini?
Nasikitika kuona nimekaa kitako hapa kwa mda mrefu tangu uzi huu uanza lakini sioni historia zaidi ya histohisia tu na udini,
Mimi nilishasomesha sana kwenye mjadala wangu na Mzee wangu Mohamed Said uitwao
"Uchochezi wa Mohamed Said dhidi ya wapigania uhuru wa Tanganyika na Zanzibar"
Mjadala ule upo hapa jf, hivyo kila kinachoongelewa hapa tayari tulishakiongea kwa mapana yote,
Hakuna ambae alifuatilia uzi ule halafu leo atasema hajui historia ya Bibi Titi na wengine wote waliopigania uhuru na mapito yake,
Ninawashangaa sana Ritz na GombeSugu kwani niliwafundisha vya kutosha sana kule, lakini hapa wanapiga porojo za abunuasi tu,
Shukrani kwa Mag3, Nguruvi3 na Mwanakijiji ambao kwahakikika walishirikiana nami kumnyoa Mohamed Said