Tujikumbushe Kauli hii ya Rais Samia Atafanya Kazi na TLS ya Aina Gani? Hizi ni Salaam kwa Mwabu,. Swali ni is He A Bow Down Type or a Stand Firm?.

Tujikumbushe Kauli hii ya Rais Samia Atafanya Kazi na TLS ya Aina Gani? Hizi ni Salaam kwa Mwabu,. Swali ni is He A Bow Down Type or a Stand Firm?.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,
Wakati tukisubiri salaam za pongezi za mihimili kwa rais mpya wa TLS, sio vibaya tujikumbushe kauli hii ya Rais Samia atafanya kazi na TLS ya aina agani!

View: https://youtu.be/fZ7MWhPeyko?si=LtHTK8wfeAXMAtun
Hizi ni kama salaam kwa rais mpya wa TLS, Wakili Boniphase Mwabukusi .
Swali nI is he a bow down type or a stand firm type?.

Tusubiri time will tell, au tuanze kumfinyanga finyanga na mabandiko kama haya ili kumsaidia mtu wetu?.
Paskali.
Update
Mchango wa maana sana huu
Hakuna mkate mgumu kwa chai.
Mwabukusi akiangalia macho ya Rais Samia kwa utulivu, hakika atapata utulivu wa nafsi.

Mwabukusi itampasa atoke kwenye mode ya kuwa mwanaharakati( fight & flight mode) ili mapigo yake ya moyo yaendane sawa na mapigo ya moyo ya Rais Samia na serikali yake.

2024 na 2025 tunakwenda kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu. Sisi watanzania kwa ujumla tunapaswa kuhakikisha mapigo yetu ya moyo yanakwenda sawa na mapigo ya moyo ya Rais Samia na serikali yake( coherence).

Ni wazi pasi na shaka kuwa moyo wa Rais Samia umejaa upendo kwetu sote na kwa watanzania kwa ujumla ila lazima tutambue Rais Samia yeye peke yake bila ya sisi sote kumsapoti kwa pamoja hatofika mbali au atafika akiwa amechoka. TUMSAIDIE!

Siasa za harakati na siasa za kupambana kwa hulka na tabia ya Rais wetu Samia hazitakuwa na mashiko Wala tija katika chaguzi zijazo.

Miaka 60 ya uhuru kama nchi tumepambana na umasikini tumeshindwa, tumepambana na ujinga tumeshindwa halikadhalika kwenye maradhi, rushwa, ufisadi n.k.

Sote kwa pamoja tunapaswa kubonyeza button ya switch off fight and flight mode na kuwasha button ya utulivu na uamsho mode ili kuweza ku match na kuongea lugha moja
badala ya lugha gongana.

Kwa kuwa tumejifunza kwamba hakuna faida kubwa kwenye kupambana basi hatuna budi kubadilisha gea angani.

Ushauri wangu kwa Rais wa TLS Mwabukusi, wanazuoni wote kwa ujumla na wananchi tuacheni KUPAMBANA sababu kupamba hakujawahi kutusaidia na kutufikisha tunapotarajia au tunapotaka.

Tukome kupambana na umasikini tuongelee na kujadili UTAJIRI tuliyokuwa nao.

Tukome kupambana na ujinga badala yake tujadili maboresho ya Elimu na kubadilisha mitaala ya elimu kuendana na wakati.

Tukome kupambana na maradhi, tujadili kuboresha AFYA zetu na miumdombinu ya afya.

Tusipambane na Rushwa, dhuluma bali tuhubiri na kuongelea HAKI.

Tusipambane kuipinga DP world bali tujadili na kuweka wazi jinsi DP world itanufaishaje Taifa Sasa na vizazi vijavyo.

Tusipambane na wajomba zetu wa Oman na wa Dubai sababu mjomba ndio mama bali tuangalie na kutazama kwa jinsi ya kunufaika kutoka kwa wajomba zetu.

All in all hongera sana Rais Mwabukusi.
You are a philosopher this is philosophical contribution.
Asante sana kwa hii
P
 
Wanabodi,
Wakati tukisubiri salaam za pongezi za mihimili kwa rais mpya wa TLS, sio vibaya tujikumbushe kauli hii ya Rais Samia atafanya kazi na TLS ya aina agani!

View: https://youtu.be/fZ7MWhPeyko?si=LtHTK8wfeAXMAtun
Hizi ni kama salaam kwa rais mpya wa TLS, Wakili Boniphase Mwabukusi .
Swali nI is he a bow down type or a stand firm type?.

Tusubiri time will tell, au tuanze kumfinyanga finyanga na mabandiko kama haya ili kumsaidia mtu wetu?.
Paskali.

"Any Government is an organ of exploitation by nature."

Mikhail Bukanin.

Hivyo, TLS Wana haki ya kuwa kama Wanaharakati kwa sababu ni tawala chache sana hapa duniani ambazo zimekosa chembechembe za udikteta, dhuluma na uonevu kwa Raia wa kawaida. Uanaharakati ndio njia pekee ya kuweza kuifungua "speed governer" Serikali ili isinyanyase Sana Raia wa kawaida.
 
Je mwabukusi atahimili mikikimikiki?
Je mwabukusi akilambishwa Asali itakuwaje?


Muda utazungumza..............

Mara nyingi watu firm wanalambishwa asali.

Kama Mwabu anataka kufika mbali asikubali kulambishwa asali akatema BIG G.

Namuona mbali sana kwa misimamo yake ,atazame kwa Pole Pole alivyokuwa before kulambishwa asali na sasa.
 
Hakuna mkate mgumu kwa chai.
Mwabukusi akiangalia macho ya Rais Samia kwa utulivu, hakika atapata utulivu wa nafsi.

Mwabukusi itampasa atoke kwenye mode ya kuwa mwanaharakati( fight & flight mode) ili mapigo yake ya moyo yaendane sawa na mapigo ya moyo ya Rais Samia na serikali yake.

2024 na 2025 tunakwenda kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu. Sisi watanzania kwa ujumla tunapaswa kuhakikisha mapigo yetu ya moyo yanakwenda sawa na mapigo ya moyo ya Rais Samia na serikali yake( coherence).

Ni wazi pasi na shaka kuwa moyo wa Rais Samia umejaa upendo kwetu sote na kwa watanzania kwa ujumla ila lazima tutambue Rais Samia yeye peke yake bila ya sisi sote kumsapoti kwa pamoja hatofika mbali au atafika akiwa amechoka. TUMSAIDIE!

Siasa za harakati na siasa za kupambana kwa hulka na tabia ya Rais wetu Samia hazitakuwa na mashiko Wala tija katika chaguzi zijazo.

Miaka 60 ya uhuru kama nchi tumepambana na umasikini tumeshindwa, tumepambana na ujinga tumeshindwa halikadhalika kwenye maradhi, rushwa, ufisadi n.k.

Sote kwa pamoja tunapaswa kubonyeza button ya switch off fight and flight mode na kuwasha button ya utulivu na uamsho mode ili kuweza ku match na kuongea lugha moja
badala ya lugha gongana.

Kwa kuwa tumejifunza kwamba hakuna faida kubwa kwenye kupambana basi hatuna budi kubadilisha gea angani.

Ushauri wangu kwa Rais wa TLS Mwabukusi, wanazuoni wote kwa ujumla na wananchi tuacheni KUPAMBANA sababu kupamba hakujawahi kutusaidia na kutufikisha tunapotarajia au tunapotaka.

Tukome kupambana na umasikini tuongelee na kujadili UTAJIRI tuliyokuwa nao.

Tukome kupambana na ujinga badala yake tujadili maboresho ya Elimu na kubadilisha mitaala ya elimu kuendana na wakati.

Tukome kupambana na maradhi, tujadili kuboresha AFYA zetu na miumdombinu ya afya.

Tusipambane na Rushwa, dhuluma bali tuhubiri na kuongelea HAKI.

Tusipambane kuipinga DP world bali tujadili na kuweka wazi jinsi DP world itanufaishaje Taifa Sasa na vizazi vijavyo.

Tusipambane na wajomba zetu wa Oman na wa Dubai sababu mjomba ndio mama bali tuangalie na kutazama kwa jinsi ya kunufaika kutoka kwa wajomba zetu.

All in all hongera sana Rais Mwabukusi.
 
Hakuna mkate mgumu kwa chai.
Mwabukusi akiangalia macho ya Rais Samia kwa utulivu, hakika atapata utulivu wa nafsi.

Mwabukusi itampasa atoke kwenye mode ya kuwa mwanaharakati( fight & flight mode) ili mapigo yake ya moyo yaendane sawa na mapigo ya moyo ya Rais Samia na serikali yake.

2024 na 2025 tunakwenda kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu. Sisi watanzania kwa ujumla tunapaswa kuhakikisha mapigo yetu ya moyo yanakwenda sawa na mapigo ya moyo ya Rais Samia na serikali yake( coherence).

Ni wazi pasi na shaka kuwa moyo wa Rais Samia umejaa upendo kwetu sote na kwa watanzania kwa ujumla ila lazima tutambue Rais Samia yeye peke yake bila ya sisi sote kumsapoti kwa pamoja hatofika mbali au atafika akiwa amechoka. TUMSAIDIE!

Siasa za harakati na siasa za kupambana kwa hulka na tabia ya Rais wetu Samia hazitakuwa na mashiko Wala tija katika chaguzi zijazo.

Miaka 60 ya uhuru kama nchi tumepambana na umasikini tumeshindwa, tumepambana na ujinga tumeshindwa halikadhalika kwenye maradhi, rushwa, ufisadi n.k.

Sote kwa pamoja tunapaswa kubonyeza button ya switch off fight and flight mode na kuwasha button ya utulivu na uamsho mode ili kuweza ku match na kuongea lugha moja
badala ya lugha gongana.

Kwa kuwa tumejifunza kwamba hakuna faida kubwa kwenye kupambana basi hatuna budi kubadilisha gea angani.

Ushauri wangu kwa Rais wa TLS Mwabukusi, wanazuoni wote kwa ujumla na wananchi tuacheni KUPAMBANA sababu kupamba hakujawahi kutusaidia na kutufikisha tunapotarajia au tunapotaka.

Tukome kupambana na umasikini tuongelee na kujadili UTAJIRI tuliyokuwa nao.

Tukome kupambana na ujinga badala yake tujadili maboresho ya Elimu na kubadilisha mitaala ya elimu kuendana na wakati.

Tukome kupambana na maradhi, tujadili kuboresha AFYA zetu na miumdombinu ya afya.

Tusipambane na Rushwa, dhuluma bali tuhubiri na kuongelea HAKI.

Tusipambane kuipinga DP world bali tujadili na kuweka wazi jinsi DP world itanufaishaje Taifa Sasa na vizazi vijavyo.

Tusipambane na wajomba zetu wa Oman na wa Dubai sababu mjomba ndio mama bali tuangalie na kutazama kwa jinsi ya kunufaika kutoka kwa wajomba zetu.

All in all hongera sana Rais Mwabukusi.
This is master piece!, asante sana kwa post hii, naiweka kule juu!.
P
 
Hakuna mkate mgumu kwa chai.
Mwabukusi akiangalia macho ya Rais Samia kwa utulivu, hakika atapata utulivu wa nafsi.

Mwabukusi itampasa atoke kwenye mode ya kuwa mwanaharakati( fight & flight mode) ili mapigo yake ya moyo yaendane sawa na mapigo ya moyo ya Rais Samia na serikali yake.

2024 na 2025 tunakwenda kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu. Sisi watanzania kwa ujumla tunapaswa kuhakikisha mapigo yetu ya moyo yanakwenda sawa na mapigo ya moyo ya Rais Samia na serikali yake( coherence).

Ni wazi pasi na shaka kuwa moyo wa Rais Samia umejaa upendo kwetu sote na kwa watanzania kwa ujumla ila lazima tutambue Rais Samia yeye peke yake bila ya sisi sote kumsapoti kwa pamoja hatofika mbali au atafika akiwa amechoka. TUMSAIDIE!

Siasa za harakati na siasa za kupambana kwa hulka na tabia ya Rais wetu Samia hazitakuwa na mashiko Wala tija katika chaguzi zijazo.

Miaka 60 ya uhuru kama nchi tumepambana na umasikini tumeshindwa, tumepambana na ujinga tumeshindwa halikadhalika kwenye maradhi, rushwa, ufisadi n.k.

Sote kwa pamoja tunapaswa kubonyeza button ya switch off fight and flight mode na kuwasha button ya utulivu na uamsho mode ili kuweza ku match na kuongea lugha moja
badala ya lugha gongana.

Kwa kuwa tumejifunza kwamba hakuna faida kubwa kwenye kupambana basi hatuna budi kubadilisha gea angani.

Ushauri wangu kwa Rais wa TLS Mwabukusi, wanazuoni wote kwa ujumla na wananchi tuacheni KUPAMBANA sababu kupamba hakujawahi kutusaidia na kutufikisha tunapotarajia au tunapotaka.

Tukome kupambana na umasikini tuongelee na kujadili UTAJIRI tuliyokuwa nao.

Tukome kupambana na ujinga badala yake tujadili maboresho ya Elimu na kubadilisha mitaala ya elimu kuendana na wakati.

Tukome kupambana na maradhi, tujadili kuboresha AFYA zetu na miumdombinu ya afya.

Tusipambane na Rushwa, dhuluma bali tuhubiri na kuongelea HAKI.

Tusipambane kuipinga DP world bali tujadili na kuweka wazi jinsi DP world itanufaishaje Taifa Sasa na vizazi vijavyo.

Tusipambane na wajomba zetu wa Oman na wa Dubai sababu mjomba ndio mama bali tuangalie na kutazama kwa jinsi ya kunufaika kutoka kwa wajomba zetu.

All in all hongera sana Rais Mwabukusi.
Well articulated Mkuu, I wish watu wa TLS au marafiki wa Mwabukusi watachukua kipande hiki na kumpelekea.

Naamini hii yaweza kuwa DIRA kwa Rais mpya wa TLS
 
Wanabodi,
Wakati tukisubiri salaam za pongezi za mihimili kwa rais mpya wa TLS, sio vibaya tujikumbushe kauli hii ya Rais Samia atafanya kazi na TLS ya aina agani!

View: https://youtu.be/fZ7MWhPeyko?si=LtHTK8wfeAXMAtun
Hizi ni kama salaam kwa rais mpya wa TLS, Wakili Boniphase Mwabukusi .
Swali nI is he a bow down type or a stand firm type?.

Tusubiri time will tell, au tuanze kumfinyanga finyanga na mabandiko kama haya ili kumsaidia mtu wetu?.
Paskali.
Update
Mchango wa maana sana huu
You are a philosopher this is philosophical contribution.
Asante sana kwa hii
P

Asali au kesi Je vitaendana? Mda utasema japo alishaanza kujihami eti hana Mpango wa kupinga Kila kitu Cha Serikali.

Tujiulize Ile TLS ya Lisu ilikuwa inafanyaje kazi na Serikali? By the way Serikali inakupuuza tuu tuone huo Urais utakufaa nini maana unaweza bakia kama pambo 😂😂
 
tanzania kuna mambo ya ajabu sana, kila nchi ina bodi ya wanasheria na wala siyo big deal tanzania wanajikuza na kujiona ni serikali ndani ya serikali wakati hawana tofati na bodi ya madaktari, waphamasia, mainjinia au wahasibu na wengineo, mnakuuza mambo, sasa raisi atume salamu za pongezi kwa lipi? ni nchi gani wanafanya hivyo? hiyo bodi ni kwa ajili ya wanasheria na mambo yao, raisi wa nchi inamuhusu nini?
 
TLS ni taasisi binafsi kama zilivyo taasisi nyingine proffesinal kama chama cha madaktari Tanzania, chama cha maintaining Tanzania, Chama cha manesi na wauguzi Tanzania nk sehemu kubw vyama hivyo kufanya kazi na serikali huwa ni katika sehemu finyu sana hawana mwingiliano sana na serikali wa kukaa meza moja na serikali labda serikali yenyewe iwahitahi lakini vinginevyo waweza kaa hata miaka 20 hawajawahi kaa meza moja na serikali popote kwenye tukio lolote labda mialiko ya hafla tu

Kuwa Raisi wa TLS hakumfanyi mtu kuwa sio mhimili mtendaji wa serikali

Mihimili iko mitatu mahakama,bunge na serikali na yote iko huru
 
Wanabodi,
Wakati tukisubiri salaam za pongezi za mihimili kwa rais mpya wa TLS, sio vibaya tujikumbushe kauli hii ya Rais Samia atafanya kazi na TLS ya aina agani!

View: https://youtu.be/fZ7MWhPeyko?si=LtHTK8wfeAXMAtun
Hizi ni kama salaam kwa rais mpya wa TLS, Wakili Boniphase Mwabukusi .
Swali nI is he a bow down type or a stand firm type?.

Tusubiri time will tell, au tuanze kumfinyanga finyanga na mabandiko kama haya ili kumsaidia mtu wetu?.
Paskali.
Update
Mchango wa maana sana huu
You are a philosopher this is philosophical contribution.
Asante sana kwa hii
P

Kauli yenye ufikiri wa kijima, in fact ni kauli ya mtu mweupe kichwani, Tanzania ni Taifa duni na linaokoteza viongozi kwenye nafasi nyeti
 
Wanabodi,
Wakati tukisubiri salaam za pongezi za mihimili kwa rais mpya wa TLS, sio vibaya tujikumbushe kauli hii ya Rais Samia atafanya kazi na TLS ya aina agani!

View: https://youtu.be/fZ7MWhPeyko?si=LtHTK8wfeAXMAtun
Hizi ni kama salaam kwa rais mpya wa TLS, Wakili Boniphase Mwabukusi .
Swali nI is he a bow down type or a stand firm type?.

Tusubiri time will tell, au tuanze kumfinyanga finyanga na mabandiko kama haya ili kumsaidia mtu wetu?.
Paskali.
Update
Mchango wa maana sana huu

You are a philosopher this is philosophical contribution.
Asante sana kwa hii
P

Nchi sio ya Mama Pasco! Wote kama focus yenu ni ku serve wananchi,shida Iko wapi? Mama amejipa Mamlaka ya uungu mtu,huko CCM kwenu, mnaharibu Viongozi wanakuwa untouchable,kisa ni RAIS na Mwenyekiti ( Nyerere hapo alikosea sana hizi kofia mbili kuvaliwa na Mtu mmoja)
 
Nchi sio ya Mama Pasco! Wote kama focus yenu ni ku serve wananchi,shida Iko wapi? Mama ammejipa Mamla ya uungu mtu,huko CCM kwenu, mnaharibun Viongozi wanakuwa untouchable,kisa ni RAIS na Mwenyekiti ( Nyerere hapo alikosea sana hizi kofia mbili kuvaliwa na Mtu mmoja)
Itikadi ya Ukomunisti au Ujamaa ni Ushetani. Ilaaniwe.

Miongoni mwa misingi ya Itikadi ya Ukomunisti au Ujamaa ni Juche ambayo inaamini kwamba:-
1. Raia wote waliopo kwenye nchi wanachukuliwa kama ni 'mateka wa Mwenyekiti'
2. Mwenyekiti ndio mtu pekee kabisa katika nchi ambaye Ana akili kubwa zaidi na nzuri zaidi kuliko mtu mwingine yoyote yule.
 
Wanabodi,
Wakati tukisubiri salaam za pongezi za mihimili kwa rais mpya wa TLS, sio vibaya tujikumbushe kauli hii ya Rais Samia atafanya kazi na TLS ya aina agani!

View: https://youtu.be/fZ7MWhPeyko?si=LtHTK8wfeAXMAtun
Hizi ni kama salaam kwa rais mpya wa TLS, Wakili Boniphase Mwabukusi .
Swali nI is he a bow down type or a stand firm type?.

Tusubiri time will tell, au tuanze kumfinyanga finyanga na mabandiko kama haya ili kumsaidia mtu wetu?.
Paskali.
Update
Mchango wa maana sana huu

You are a philosopher this is philosophical contribution.
Asante sana kwa hii
P

Huyo unayemsifu kuwa ni philosopher ameonyesha mahaba yake makubwa kwa mkuu wa kaya bila kuonyesha madhaifu yake kibao. Mwabukusi hapaswi kuwa submissive kwa mkuu wa kaya, badala yake TLS ifanye kazi zake bila kuwa sehemu ya ushabiki na uchawa uliopitiliza dhidi ya madhaifu makubwa ya kimfumo na kiutendaji chini ya serikali hii. Kama haoni madhaifu makubwa ya mikataba ya DP World na mingineyo, ni bora abaki kuwa chawa tu.
Na hofu hii ndiyo ilifanya mpaka system ikajaribu kuingilia na kutaka kulazimisha kada mwezetu awe raisi wa TLS. Hofu yote inatokana na nini? wanajua nguvu kubwa waliyonayo TLS haswa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, uanarakati hauepukiki labda kama umeamua kuimba na kusifia kwa kila kitu.
 
Wanabodi,
Wakati tukisubiri salaam za pongezi za mihimili kwa rais mpya wa TLS, sio vibaya tujikumbushe kauli hii ya Rais Samia atafanya kazi na TLS ya aina agani!

View: https://youtu.be/fZ7MWhPeyko?si=LtHTK8wfeAXMAtun
Hizi ni kama salaam kwa rais mpya wa TLS, Wakili Boniphase Mwabukusi .
Swali nI is he a bow down type or a stand firm type?.

Tusubiri time will tell, au tuanze kumfinyanga finyanga na mabandiko kama haya ili kumsaidia mtu wetu?.
Paskali.
Update
Mchango wa maana sana huu

You are a philosopher this is philosophical contribution.
Asante sana kwa hii
P

Hii ni kauli yakiongozi muoga, mbovu, asiyejiamini, muoga na asiyejielewa
 
Back
Top Bottom