Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Wakati tukisubiri salaam za pongezi za mihimili kwa rais mpya wa TLS, sio vibaya tujikumbushe kauli hii ya Rais Samia atafanya kazi na TLS ya aina agani!
View: https://youtu.be/fZ7MWhPeyko?si=LtHTK8wfeAXMAtun
Hizi ni kama salaam kwa rais mpya wa TLS, Wakili Boniphase Mwabukusi .
Swali nI is he a bow down type or a stand firm type?.
Tusubiri time will tell, au tuanze kumfinyanga finyanga na mabandiko kama haya ili kumsaidia mtu wetu?.
Paskali.
Update
Mchango wa maana sana huu
Asante sana kwa hii
P
Wakati tukisubiri salaam za pongezi za mihimili kwa rais mpya wa TLS, sio vibaya tujikumbushe kauli hii ya Rais Samia atafanya kazi na TLS ya aina agani!
View: https://youtu.be/fZ7MWhPeyko?si=LtHTK8wfeAXMAtun
Hizi ni kama salaam kwa rais mpya wa TLS, Wakili Boniphase Mwabukusi .
Swali nI is he a bow down type or a stand firm type?.
Tusubiri time will tell, au tuanze kumfinyanga finyanga na mabandiko kama haya ili kumsaidia mtu wetu?.
Paskali.
Update
Mchango wa maana sana huu
You are a philosopher this is philosophical contribution.Hakuna mkate mgumu kwa chai.
Mwabukusi akiangalia macho ya Rais Samia kwa utulivu, hakika atapata utulivu wa nafsi.
Mwabukusi itampasa atoke kwenye mode ya kuwa mwanaharakati( fight & flight mode) ili mapigo yake ya moyo yaendane sawa na mapigo ya moyo ya Rais Samia na serikali yake.
2024 na 2025 tunakwenda kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu. Sisi watanzania kwa ujumla tunapaswa kuhakikisha mapigo yetu ya moyo yanakwenda sawa na mapigo ya moyo ya Rais Samia na serikali yake( coherence).
Ni wazi pasi na shaka kuwa moyo wa Rais Samia umejaa upendo kwetu sote na kwa watanzania kwa ujumla ila lazima tutambue Rais Samia yeye peke yake bila ya sisi sote kumsapoti kwa pamoja hatofika mbali au atafika akiwa amechoka. TUMSAIDIE!
Siasa za harakati na siasa za kupambana kwa hulka na tabia ya Rais wetu Samia hazitakuwa na mashiko Wala tija katika chaguzi zijazo.
Miaka 60 ya uhuru kama nchi tumepambana na umasikini tumeshindwa, tumepambana na ujinga tumeshindwa halikadhalika kwenye maradhi, rushwa, ufisadi n.k.
Sote kwa pamoja tunapaswa kubonyeza button ya switch off fight and flight mode na kuwasha button ya utulivu na uamsho mode ili kuweza ku match na kuongea lugha moja
badala ya lugha gongana.
Kwa kuwa tumejifunza kwamba hakuna faida kubwa kwenye kupambana basi hatuna budi kubadilisha gea angani.
Ushauri wangu kwa Rais wa TLS Mwabukusi, wanazuoni wote kwa ujumla na wananchi tuacheni KUPAMBANA sababu kupamba hakujawahi kutusaidia na kutufikisha tunapotarajia au tunapotaka.
Tukome kupambana na umasikini tuongelee na kujadili UTAJIRI tuliyokuwa nao.
Tukome kupambana na ujinga badala yake tujadili maboresho ya Elimu na kubadilisha mitaala ya elimu kuendana na wakati.
Tukome kupambana na maradhi, tujadili kuboresha AFYA zetu na miumdombinu ya afya.
Tusipambane na Rushwa, dhuluma bali tuhubiri na kuongelea HAKI.
Tusipambane kuipinga DP world bali tujadili na kuweka wazi jinsi DP world itanufaishaje Taifa Sasa na vizazi vijavyo.
Tusipambane na wajomba zetu wa Oman na wa Dubai sababu mjomba ndio mama bali tuangalie na kutazama kwa jinsi ya kunufaika kutoka kwa wajomba zetu.
All in all hongera sana Rais Mwabukusi.
Asante sana kwa hii
P