Tujikumbushe Kauli hii ya Rais Samia Atafanya Kazi na TLS ya Aina Gani? Hizi ni Salaam kwa Mwabu,. Swali ni is He A Bow Down Type or a Stand Firm?.

Kwa hiyo Prof. Kabudi ameteuliwa kwenye nafasi hiyo ili kuja kumdhibiti Wakili BAK Mwabukusi na Wala siyo kuja kuwatumikia Wananchi wote wa nchi hii ya Tanzania????
 
Kwa hiyo Prof. Kabudi ameteuliwa kwenye nafasi hiyo ili kuja kumdhibiti Wakili BAK Mwabukusi na Wala siyo kuja kuwatumikia Wananchi wote wa nchi hii ya Tanzania????
Nafasi zote za utumishi wa umma ni kuwatumikia Watanzania, kudhibiti na kuwanyorosha watu ni sehemu ya utumishi wa umma.
P
 
HBD Rais Samia!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…