Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
The boss mbona ni mtu mstarabu sana muislamu safiMpuuzi tu huyo,,, yupo humu daily kwa Id nyingine,,,, yeye na kina the boss wametapeli sana watu,,, sasa hivi kuna makenge huko X yanamuabudu
,😀😀now ni bill lugano(Nje ya mada) Hivi Tajiri la JF kiduku Lilo bado yupo humu 😂, time flies.
Error, thanks ni the Bold !,,,msimulizi yule wa story na vitabu !The boss mbona ni mtu mstarabu sana muislamu safi
Huyu ndo yule kijana mdogo aliewaweka doggy style wajuaji wa dar wanaotaka kudanlodi hela?Je Kuna kitu kime kuinspire kuhusu huyu mwamba ingawa last seen yake ni 2019.
Tujuzane wadau
Alitusumbua sana huyu mkuu.,😀😀now ni bill lugano
Hahahaa huyo naye ana tuhuma za kula hela za rambirambi 🤣.Error, thanks ni the Bold !,,,msimulizi yule wa story na vitabu !
Kweli hayupo sawaHuyu hapaa 😂😂
View attachment 3245693
Kumbe una kipaji cha uchawa na husemi🤣Post zake huko X(twitter) balaa tupu. Jamaa ana dharau.
Ila namkubali sana huyu mwamba kabla sijamsoma na mambo yake ya forex niliwahi kumsifia kwenye uzi flani hivi. jamaa akavutiwa na sifa nilizompa alinipa zawadi ya laki moja.
Hapana bana..jamaa ana kitu atafika mbali😀Kumbe una kipaji cha uchawa na husemi🤣
Basi sawaaaUlimuomba
Hapana zile za kwamba anaingiza sijui bilioni tatu? Yalikuwa mastory tu na ndiyo maana alikuwa anafanya kila kitu kuigiza, mziki, mara kandambili lakini alipofika katika siasa akatulia ndipo alijipata.Jokate kipindi wanamuweka kweli alikua kwenye mkondo wa hela... alipoingia siasani tu na ramani ya biashara ikafa
Hapana bana..jamaa ana kitu atafika mbali😀
Kwani kuna tatizo mkuu. Namba nilitoa na pesa nikapata. Sijatapeliwa kama wengine, nilipata faidaUlitoa namba, ukasubiria ikaja ikawekwa laki 1 na sasa unatoa usuhuda na kuendelea kutetea. Hapa ngoja nilejee notice za kipindi kile darasni nchini Cuba. Na madem wengi walimsonga songa sana nae akawasongesha songesha sana.
Kwani kuna tatizo mkuu. Namba nilitoa na pesa nikapata. Sijatapeliwa kama wengine, nilipata faida