Hivi LAU yupo wapi nowdays?????maana mara ya mwisho nilimuona Villa squad akapote mazimaAkina mkude wenyewe wakawa walevi, wakawazaa watoto kama akina Amani george, kina lau wakaanza toka.Sema msisiri walipokulia malaya, pombe, kamari vikawapoteza.
HomeboyNondo fc
Mwananyamala hiyo
Aiseeeeehhhhh wewe ni homeboy kabisa,kulikuwa na upinzani wa WHITE STAR ya igumila na CAMEROON ya msisiri ya mapacha kina kimwazimwazi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Igumila ndo kwetu na ndio waliharibu vipaji vingi sana na wanawake wa pale wanagawana, majukumu kama kombania.Wamama na wasichana wao wanapokezana.Mpaka wazimalize zote.
Lau mbona alikuwa mpole sana,Amani George aliacha mapema shida sijui nini labda kwakua kaka aliyekua US alimshauri ila aliacha wakati alishaanza kuwa na jina maana ni kipindi kile kile alikua mfungaji bora taifa cup,huyu Lau alikua anaujua sana sema mkorofi sana mechi za uswahilini lazima agombane
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Sisi tulikuwa tunamuita Nduli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]alikuwa fundi sana nafikiri kipaji cha mpira kilikuwa juu zaidi ya muziki ila ndio hivyo ...yupo poa sana kijanaHuyu Amini mwinyimkuu alikua anaujua sana na alikua maarufu kwenye mpira msisiri nzima sema akaamua kuchagua mziki zaidi
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Shoka FC ilikuwa likuwa timu ya msisiri A kule magengeni kulipokuwa na madrasa za Tawfiq na Tarbia kwa kina RASHID ROSHWA nae alibahatika kucheza ligi kuuHii shoka ni timu ya wapi?
Mama yake alikuwa anapiga lile goma kubwa la sindimba pale mwembeniMcheza kinyago cha kimakonde au?
Kama namkumbuka vile hv alichezea timu gani pale msisiri, alikuwa mweusi mfupi hivi....Au dogo mmoja wanamwita Robert alikua anakaa mitaa ya kota huyu alicheza sana south alikua anabaniwa ITC na TFF
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Ndio jina lake hilo nduli,Robert.alikua anachezea timu ya watotonwa kota nyuma ya shule ya msingi kinondoni,Mapacha wale wa Cameroon Erick na Hendrick unawazungumzia,Bambino alikua anadaka sana kacheza sana ndondo bila kumsahau Sheikh MOI katufundisha sana pale msikiti wa TAQWa angalau alikuja kimkakati na chama kile cha siasa ila alikusanya vijanaSisi tulikuwa tunamuita Nduli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]alikuwa fundi sana nafikiri kipaji cha mpira kilikuwa juu zaidi ya muziki ila ndio hivyo ...yupo poa sana kijana
Ndio mkuuMama yake alikuwa anapiga lile goma kubwa la sindimba pale mwembeni
Sawa sawa akina matata, Mimi ni nduguye na joker.(Evance mkunyugu)Aiseeeeehhhhh wewe ni homeboy kabisa,kulikuwa na upinzani wa WHITE STAR ya igumila na CAMEROON ya msisiri ya mapacha kina kimwazimwazi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmekumbuka zamani sana ligi za mbuzi.....
Siko pale tena ila nilimwona mara moja akiwa msela mavi.Hivi LAU yupo wapi nowdays?????maana mara ya mwisho nilimuona Villa squad akapote mazima
Amani masikio ,pombe zimemharibu....
Hawa jamaa walikuwa hatari katika chandimu wakiongozwa na jona
Yeah ila cameroon nao walilua wanamsajiriKama namkumbuka vile hv alichezea timu gani pale msisiri, alikuwa mweusi mfupi hivi....
Bambino nilikua nacheza na mdogo wake anaitwa BulyLau mbona alikuwa mpole sana,
Amani alijiingizankatika pombe kali zikampoteza,
Kuna golia alikuwa akiitwa Bambino jamaa alikuwa nusu nyani nusu mtu
Hahaaaa kuna mmoja tulicheza naye akitokea Town Stars ya Pale Wami Dakawa yeye alikuwa anaitwa Salum "Kona Goli" yeye alikuwa anatumia mguu wa kulia. Kila akienda kupiga kona upande wa Kushoto ujue ni Goli. Mimi nilikuwa napiga free kiki matata sana. Hata ukuta ukae hatua tano au sita nilikuwa nauvusha mpira juu ya ukuta na ni lazima iwepo kunyavu. Huwa naangalia timu zetu zinavyopoteza nafasi za magoli kwa free kiki huwa nawaambia wanangu, ningekuwa mimi hizi nafasi zote ni magoli.