Pale kitaji kuna tukio liliwahikutokea kulikua na mahakama..mtuhimiwa kaomba apelekwa chooni..alikimbilia kwenye bwawa la kitaji,polisi wakashindwa kuingia ikabidi walizunguke bwawa.jamaa alijificha kwenye magugu akawa ameacha pua tu kwa ajili ya kuvuta hewa...jamaa hawakumpataKwake kitaji jirani na lile bwawa nakumbuka ilikuaga ni njia ya kupita
🤣Zombe Yupo Mkambalani Morogoro
Ha ha ha haNilimkuta maeneo hayo amefunga vishikizo vya shati vimepishana pishana kichekesho
Kwenye hile mahakama ya mwanzo naijua vizuriPale kitaji kuna tukio liliwahikutokea kulikua na mahakama..mtuhimiwa kaomba apelekwa chooni..alikimbilia kwenye bwawa la kitaji,polisi wakashindwa kuingia ikabidi walizunguke bwawa.jamaa alijificha kwenye magugu akawa ameacha pua tu kwa ajili ya kuvuta hewa...jamaa hawakumpata
Hakuna polisi wala jaji wa Tanzania ataoona Ufalme wa MbinguKweli hakuna mtu wa kukata rufaa ile hukumu ipitiwe upya maana ushahidi ulitolewa Hadi na yule aliyeiba pesa za BIDCO ambapo polisi walisema akina Chigumbi walifanya ujambazi wa kupora pesa za BIDCO.
Yule jambazi aliiambia tume kwamba yeye alikula njama na dereva wa BIDCO wakaiba zile pesa yeye akakimbilia Zanzibar.
Sikuamini siku ile hukumu kwamba Zombe na wenzake walikutwa hawana hatia na hatia akakutwa nayo mwenzao aliyetoroka na hakupatikana Hadi leo.
Mahakama na police wanaonea Sana watu Mungu awalaani Sana.
Ni zaidi ya 10, nadhani ilikuwa 2006 au 2007Kama miaka kumi iliyopita kuna wafanyabiashara wa madini walikuwa nane walikuwa wanaenda Mahenge walipofika nanenane walimiminiwa risasi na Polisi wakidhaniwa ni majambazi akiwemo aliyekuoa mfadhili wa bendi nyingi za muziki mjini Darisalama aliyeitwa JB
Mnaokumbuka vizuri tukio hili mtukumbushe.
Ebaana superbug Acha uduwanzi chalii yangu. Lazima uniue timiza ahad yako ya kuniua baada ya kuwaibia TV chogo 1988.
Kammmmonnn
Erythrocyteupo
Bageni ndie aliekutwa na hatia ya kunyongwa mpaka kufa mpaka leo simkumbuki kama alitoka.Kweli hakuna mtu wa kukata rufaa ile hukumu ipitiwe upya maana ushahidi ulitolewa Hadi na yule aliyeiba pesa za BIDCO ambapo polisi walisema akina Chigumbi walifanya ujambazi wa kupora pesa za BIDCO.
Yule jambazi aliiambia tume kwamba yeye alikula njama na dereva wa BIDCO wakaiba zile pesa yeye akakimbilia Zanzibar.
Sikuamini siku ile hukumu kwamba Zombe na wenzake walikutwa hawana hatia na hatia akakutwa nayo mwenzao aliyetoroka na hakupatikana Hadi leo.
Mahakama na police wanaonea Sana watu Mungu awalaani Sana.
Ngwizukulu jilala nilikua namsimkia saana na kumsoma enzi hizo nakuwa kwenye magazeti ya maishaJB- Juma Banatoz Mwanamazingaombwe maarufu enzi hizo, baadae mfanyabiashara na mfadhili wa Bendi mbali mbali.
Waliwahi kupigana mkwara na Ng'wizukulu Jilala mjukuu wa Mwana Malundi...lakini wote wametangulia mbele za haki kwa vifo vilivyofanana.
Ng'wizukulu alimwambia mwenzake utakufa vibaya sana, JB akamjibu na wewe utakufa hivyo hivyo.
Na kweli wote walikufa kwa risasi Ng'wizukulu akiuawa Nchini Angola kwa kupigwa risasi.
Huyu alochonga jeneza wiki hii?Saba sita nasikia yupo hapa mjini darisalama
It's sound like old is goldJB mzeee wa EXTRA BONGO enzi hizo Hapo Dar West imebamba, Meeda iko on Fire, Ukienda Vingunguti unamkuta Mama Sakina anakimbiza. Ukienda Tabata unamkuta Mzee Proffesa Mushoro yuko Rufita Night Park.
Daaaah Tumezeeeka aysee tuache vijana wale bata sasa. RIP Pedeshee JB uliondoka na radha ya Muziki wa Dansi maaaana ulifanya Muumin, Choki, RIP Banza wawe na thamani
Si ndio huyu kachonga jeneza juzi hapaAfande 7.6 aliisha jiandalia kaburi yy mwenyewe anajuwa alifanya mazambi mengi.
Wako wapi , usikute nao marehemu. Mjinga mmoja anatapatapa Mara achimbe kaburi, juzi kaagiza jeneza full kubabaika na bado shenzyHata Mimi nimeshangaa JB alikuwa tapeli mpigaji siku hiyo alikuwa amepiga Hela ndefu sana inasemekana mtu wake wa karibu akamuuza Kwa askari then Askari waka mshoot yeye Na wote walio kuwa ndani ya gari on a pretext that they were armed robbers Kisha wakachukua mkwanja
Wajukuuu hahahahaKumbe humu wakati mwingine tunatukanwa na watoto wetu wa mwisho.
Ewaaa,Ndio alimnunulia Alichoki viatu flan hivi vikapewa jina la alichoki,Vilitoka Italy.RIP JBJB mzeee wa EXTRA BONGO enzi hizo Hapo Dar West imebamba, Meeda iko on Fire, Ukienda Vingunguti unamkuta Mama Sakina anakimbiza. Ukienda Tabata unamkuta Mzee Proffesa Mushoro yuko Rufita Night Park.
Daaaah Tumezeeeka aysee tuache vijana wale bata sasa. RIP Pedeshee JB uliondoka na radha ya Muziki wa Dansi maaaana ulifanya Muumin, Choki, RIP Banza wawe na thamani
HahahaaaaWako wapi , usikute nao marehemu. Mjinga mmoja anatapatapa Mara achimbe kaburi, juzi kaagiza jeneza full kubabaika na bado shenzy
Kumbe ni shidaNakumbuka nilihudhulia mazishi ya JB miaka hio ilikua ni Musoma na watu wa huko wanajua kabisa jamaa alikua ni Jambazi