Tujikumbushe vifo vilivyotokea Morogoro, JB na wenzake walipopigwa risasi na kufa papo hapo

Tujikumbushe vifo vilivyotokea Morogoro, JB na wenzake walipopigwa risasi na kufa papo hapo

Kwake kitaji jirani na lile bwawa nakumbuka ilikuaga ni njia ya kupita
Pale kitaji kuna tukio liliwahikutokea kulikua na mahakama..mtuhimiwa kaomba apelekwa chooni..alikimbilia kwenye bwawa la kitaji,polisi wakashindwa kuingia ikabidi walizunguke bwawa.jamaa alijificha kwenye magugu akawa ameacha pua tu kwa ajili ya kuvuta hewa...jamaa hawakumpata
 
Pale kitaji kuna tukio liliwahikutokea kulikua na mahakama..mtuhimiwa kaomba apelekwa chooni..alikimbilia kwenye bwawa la kitaji,polisi wakashindwa kuingia ikabidi walizunguke bwawa.jamaa alijificha kwenye magugu akawa ameacha pua tu kwa ajili ya kuvuta hewa...jamaa hawakumpata
Kwenye hile mahakama ya mwanzo naijua vizuri
 
JB huyu alikua na matukio kama geresha za kufuga majoka ya viini macho hata mtoto wake baadaye aliendelea kumrithi kwenye mazingaombwe hayo anaitwa Ibrahim yuko Mombasa huko anafanya shughuli za muziki.

Nyumba yake ile bwawa la kitaji sijui kama yakaliwa na watu kwa sasa it has been a long time hili baada ya hili tukio.
 
Kina JB waliuwawa kikatili na huyu jamaa anajiita Sabasita ambae amejichongea jeneza lake..Polisi wanamwaga sana damu za watu wasio na hatia kwa kusingizia kurushiana risasi
 
Kweli hakuna mtu wa kukata rufaa ile hukumu ipitiwe upya maana ushahidi ulitolewa Hadi na yule aliyeiba pesa za BIDCO ambapo polisi walisema akina Chigumbi walifanya ujambazi wa kupora pesa za BIDCO.
Yule jambazi aliiambia tume kwamba yeye alikula njama na dereva wa BIDCO wakaiba zile pesa yeye akakimbilia Zanzibar.
Sikuamini siku ile hukumu kwamba Zombe na wenzake walikutwa hawana hatia na hatia akakutwa nayo mwenzao aliyetoroka na hakupatikana Hadi leo.
Mahakama na police wanaonea Sana watu Mungu awalaani Sana.
Hakuna polisi wala jaji wa Tanzania ataoona Ufalme wa Mbingu
 
Kama miaka kumi iliyopita kuna wafanyabiashara wa madini walikuwa nane walikuwa wanaenda Mahenge walipofika nanenane walimiminiwa risasi na Polisi wakidhaniwa ni majambazi akiwemo aliyekuoa mfadhili wa bendi nyingi za muziki mjini Darisalama aliyeitwa JB

Mnaokumbuka vizuri tukio hili mtukumbushe.
Ni zaidi ya 10, nadhani ilikuwa 2006 au 2007
 
Kweli hakuna mtu wa kukata rufaa ile hukumu ipitiwe upya maana ushahidi ulitolewa Hadi na yule aliyeiba pesa za BIDCO ambapo polisi walisema akina Chigumbi walifanya ujambazi wa kupora pesa za BIDCO.
Yule jambazi aliiambia tume kwamba yeye alikula njama na dereva wa BIDCO wakaiba zile pesa yeye akakimbilia Zanzibar.
Sikuamini siku ile hukumu kwamba Zombe na wenzake walikutwa hawana hatia na hatia akakutwa nayo mwenzao aliyetoroka na hakupatikana Hadi leo.
Mahakama na police wanaonea Sana watu Mungu awalaani Sana.
Bageni ndie aliekutwa na hatia ya kunyongwa mpaka kufa mpaka leo simkumbuki kama alitoka.
 
JB- Juma Banatoz Mwanamazingaombwe maarufu enzi hizo, baadae mfanyabiashara na mfadhili wa Bendi mbali mbali.

Waliwahi kupigana mkwara na Ng'wizukulu Jilala mjukuu wa Mwana Malundi...lakini wote wametangulia mbele za haki kwa vifo vilivyofanana.
Ng'wizukulu alimwambia mwenzake utakufa vibaya sana, JB akamjibu na wewe utakufa hivyo hivyo.
Na kweli wote walikufa kwa risasi Ng'wizukulu akiuawa Nchini Angola kwa kupigwa risasi.
Ngwizukulu jilala nilikua namsimkia saana na kumsoma enzi hizo nakuwa kwenye magazeti ya maisha
Ebu mkuu tujuze kuhusu kifo chake ilikuwaje?
 
JB mzeee wa EXTRA BONGO enzi hizo Hapo Dar West imebamba, Meeda iko on Fire, Ukienda Vingunguti unamkuta Mama Sakina anakimbiza. Ukienda Tabata unamkuta Mzee Proffesa Mushoro yuko Rufita Night Park.

Daaaah Tumezeeeka aysee tuache vijana wale bata sasa. RIP Pedeshee JB uliondoka na radha ya Muziki wa Dansi maaaana ulifanya Muumin, Choki, RIP Banza wawe na thamani
It's sound like old is gold
 
Hata Mimi nimeshangaa JB alikuwa tapeli mpigaji siku hiyo alikuwa amepiga Hela ndefu sana inasemekana mtu wake wa karibu akamuuza Kwa askari then Askari waka mshoot yeye Na wote walio kuwa ndani ya gari on a pretext that they were armed robbers Kisha wakachukua mkwanja
Wako wapi , usikute nao marehemu. Mjinga mmoja anatapatapa Mara achimbe kaburi, juzi kaagiza jeneza full kubabaika na bado shenzy
 
JB mzeee wa EXTRA BONGO enzi hizo Hapo Dar West imebamba, Meeda iko on Fire, Ukienda Vingunguti unamkuta Mama Sakina anakimbiza. Ukienda Tabata unamkuta Mzee Proffesa Mushoro yuko Rufita Night Park.

Daaaah Tumezeeeka aysee tuache vijana wale bata sasa. RIP Pedeshee JB uliondoka na radha ya Muziki wa Dansi maaaana ulifanya Muumin, Choki, RIP Banza wawe na thamani
Ewaaa,Ndio alimnunulia Alichoki viatu flan hivi vikapewa jina la alichoki,Vilitoka Italy.RIP JB
 
Back
Top Bottom