Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale WA Zombe walichukuliwa pale Sinza Palestina kwenye kile kijia kinachopita mbele ya ule msikiti,kulikuwa na kigrosari wanapata kinywaji na yule dereva taksi walimchukua palepale kijiwe cha palestinaTofauti wa Zombe ilikuwa buguruni
Codes zake ngumu sana aiseeFungua code mkuu wengine hatukuwepo
Nakumbuka nilihudhulia mazishi ya JB miaka hio ilikua ni Musoma na watu wa huko wanajua kabisa jamaa alikua ni Jambazi
Kww hiyo wapipolambwa risasi dhahabu zao nani alizichukua?Kama miaka kumi iliyopita kuna wafanyabiashara wa madini walikuwa nane walikuwa wanaenda Mahenge walipofika nanenane walimiminiwa risasi na Polisi wakidhaniwa ni majambazi akiwemo aliyekuoa mfadhili wa bendi nyingi za muziki mjini Darisalama aliyeitwa JB
Mnaokumbuka vizuri tukio hili mtukumbushe.
Harufu ya damu za watu "imepanda kichwani", acha zimtese alikuwa katili sana!Nilimkuta maeneo hayo amefunga vishikizo vya shati vimepishana pishana kichekesho
Nakumbuka taarifa ya polisi ilisema walikuwa majambazi.Huyu mtoa mada katoa taarifa zisizo za kweli, JB na wenzake walikuwa majambazi kweli na waliwekewa mtego palepale Moro walipotaka kuiba sehemu. Hawakutokea Mahenge
Afande 7.6 aliisha jiandalia kaburi yy mwenyewe anajuwa alifanya mazambi mengi.Saba sita nasikia yupo hapa mjini darisalama
Huyo mwanamke alikuwa mshenzi sana na alitafutwa muda mrefu . Enzi Ile majambazi wengi walikuwa maskani yao Morogoro, wakijificha vijijini ni ngumu kuwajua na ni karibu na town kwa hiyo wanakuja dar na kwengineko wanapiga tukio then wanakimbilia Moro.Jb alikuwa jambazi na tapeli ,ila polisi siku ile hawakuwa na huruma walipiga wote risasi nilishuhudia mpaka maiti mwanamke imetandikwa risasi za kutosha
Huyu sabasita si ndo kajichimbia kaburi juzi?Afande Sabasita ni miongoni mwa waliokuwepo katuka operesheni hiyo huku akiongoza task force maalum ya jeshi la polisi ya kupambana na ujambazi huku magari yao wakitumia TZR
Jeshi la maharamiaTofauti wa Zombe ilikuwa buguruni
Yah ni huyohuyoHuyu sabasita si ndo kajichimbia kaburi juzi?
Afadhali wewe ulikuwa kidato cha nne ,Mimi nilikuwa darasa la nneMwaka huo nilikuwa kidato cha nne Kigurunyembe secondary🙄Dah nimezeeka
Tukio la JB, huyo mwanamke jambazi na wenzao kuuawa mwaka huo linanikumbusha yafuatayo:Jb alikuwa jambazi na tapeli ,ila polisi siku ile hawakuwa na huruma walipiga wote risasi nilishuhudia mpaka maiti mwanamke imetandikwa risasi za kutosha
Nakumbuka nilihudhulia mazishi ya JB miaka hio ilikua ni Musoma na watu wa huko wanajua kabisa jamaa alikua ni Jambazi
Ni kweli walidhaniwa ni majambazi au ni ujambazi wa polisi tuliong'amua nyakati hizi, ulishaanza tangu wakati huo na kabla?Kama miaka kumi iliyopita kuna wafanyabiashara wa madini walikuwa nane walikuwa wanaenda Mahenge walipofika nanenane walimiminiwa risasi na Polisi wakidhaniwa ni majambazi akiwemo aliyekuoa mfadhili wa bendi nyingi za muziki mjini Darisalama aliyeitwa JB
Mnaokumbuka vizuri tukio hili mtukumbushe.