Tujikumbushe vitu na bidhaa mbalimbali za zamani ambazo kwasasa hazipo tena

Nimenda India na Lagosi nimekuta mboga zinapikwa kwa kiungo Cha binzari.Je mbona hapa bongo wamesahau hiki kiungo.Tumieni binzari kwa ubora wa ini zetu.
Hao Jamaa wapo natural sn, Ila natamani sn ningepata connection ya kule Nigeria nitumiwe zile "Cola nuts" naskia zina maajab makubwa sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…