Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
hii bidha bora ilipigwa marufukukubeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii bidha bora ilipigwa marufukukubeli
KUBERI mnaijua nyny watoto wa hiki kizazi?
mwinyi mpeku, mzee kifimbocheza na wachafuzi wa lugha, meko, madenge, ndumilakuwii, lodilofa, zena na betina.Katuni za Ustake Ncheke, Tolu, Dogo, Bingwa wa Rivasi katika magazeti
Nikisikia FAT nawakumbukaFAT - Chama cha soka Tanzania
Nimekumbuka miaka ile tulivyokuwa tunaenda Magomeni Agip kuangalia mechi pamoja na kwa Marehemu Sheikh Yahaya
Chapa mamba wewe, topaz ilikuja baadaeKimbo
Topaz
Sunvita
Komesha
Swala, je?Umenikumbusha baiskeli ya Phoenix, mzee alikuwa nayo nakumbuka alikuwa hadi anailipia ushuru sh 200 kama sikosei.
Aliinunulia hadi kufuli lile anafunga funguo anakaa nayo. Akukute umechezea au umeharibu 😀
KUNA kipindi nilikuwa najaribu kuingia kwenye mtandao angalau nitafute picha ya gazeti la Dar leo na alasiri lakini sikufanikiwa, Embu Nipatie ukipataKinywaji cha Vinto.
Gazeti la Alasiri.
Sabuni ya Codray.
Chupi za VIP.(Taiwani)
Sabuni za AYU.