Tujikumbushe vitu na bidhaa mbalimbali za zamani ambazo kwasasa hazipo tena

Tujikumbushe vitu na bidhaa mbalimbali za zamani ambazo kwasasa hazipo tena

Kibatari
Zomari (filimbi)
Kibalagala
Atlas
IMG_4513.jpg


IMG_4514.jpg

IMG_4515.jpg

IMG_4516.jpg

IMG_4517.jpg

IMG_4518.jpg

IMG_4521.jpg

IMG_4519.jpg

IMG_4522.jpg

IMG_4523.jpg

IMG_4524.jpg
 
Umenikumbusha baiskeli ya Phoenix, mzee alikuwa nayo nakumbuka alikuwa hadi anailipia ushuru sh 200 kama sikosei.

Aliinunulia hadi kufuli lile anafunga funguo anakaa nayo. Akukute umechezea au umeharibu 😀
Swala, je?
 
Kinywaji cha Vinto.
Gazeti la Alasiri.
Sabuni ya Codray.
Chupi za VIP.(Taiwani)
Sabuni za AYU.
KUNA kipindi nilikuwa najaribu kuingia kwenye mtandao angalau nitafute picha ya gazeti la Dar leo na alasiri lakini sikufanikiwa, Embu Nipatie ukipata
 
Bastola ya Baruti na Bastola ya Vitunda..
Kama wewe hujachezea hizi basi we sio mjanja..

Binafsi nilikua napenda ile ya vitunda ambayo ina uhalisia yani unatoa magazine na kuijaza vitunda halafu una cock.. Mzuka wake ni nouma
images (6).jpeg


images (4).jpeg
 
Back
Top Bottom