Kimune nlimuwashia Moto Siku moja asbh naingia geti dogo kanizuia na mwenzake kdot com, mbele ya watoto wa o'level nikagoma kupigwa kaona aibu kaniambia niende darasan atanifata, hakuonekana toka hapo aliniogopaUnamkumbuka mwl KIMUNE wewe?
Daah R.I.P
Mama Massawe"Mama Mchaga"![emoji12][emoji12][emoji12]
Bila shaka ndo Morega wa Mara sec 2005 hiyoKuna mwamba anaitwa Morega Simon Mongate a.k.a double M, alikuwa mkuu wa Ndanda high school, Masasi sasa hivi nasikia amekuwa afisa elimu Kagera huko
Huyu mwamba alikuwa anaogopwa Hadi na staff wenzake, alikuwa anapenda usafi balaa yaani Bora ukutwe bweni umedodge kipindi kuliko ukutwe haujasafisha eneo lako la usafi
Mwalimu akimkuta darasani anafundisha wakat darasa likiwa chafu alikuwa anamuokotesha makaratasi huku wanafunzi wanaangalia
Usiombe ukamatwe na simu au local
Alikuwa anamfokea Hadi Headmaster wake Mwalimu Mattu.Mwl Pombe huyu alipitiliza sio tu shuleni alipigwa hadi nchini mwake
Dah!! Hata bado sijazaliwa!Pugu Sec School 1989 Mwl. Wajimila a.k.a Cobra alikuwa balaa sana
Umenikumbusha mbali, mie Nilikuwa Moshi Tech kwa mwalimu Mpande, lakini Lobilo nilimsikia mambo yake huko Umbwe!Mwalimu CHARLES MALYA almaarufu kama LOBILO…LOBS…A.k.a KICHAKA…
Mwalimu wa MALEZI UMBWE HIGH SCHOOL a.k.a MTI SAFI
Alikujaga Pugu, watoto wa mjini wakamnyooshaNasi wa nyanda za juu kusini miaka hiyo 1999-2003 KIGONSERA SEC SCHOOL kuna mwamba anaitwa SHELIMO huyu alitusumbua Sana n mkuu wa shule aliogopwa had na staff wake
Nasikia alienda PUGU SEC SCHOOL
Mhh chief Shelimo alikuja Pugu 2003 na alikuwa mkaksi alivoingiaaShelimo alitukuta Pugu 2007 jamaa alikuwa mpole na msataarabu. Baadae alikuwa Afisa Elimu Temeke
MkongweMkama popote ulipo, enzi hizo Nganza sec. Wewe kaka(by then)Fimbo zake zilikua zinauma jamani.
Geog moja hyoooMchwa mpaka.....Azania
Budigila alikuwa Nsumba kabla hajaenda huko.Alikuwa anapendankupig balaa.Alikuwa na kabinti kazuri sana.Kijana wake Ray alizama lake Victoria akiwa anaogelea RIP.Mr. Budigila. Headmaster Nyang'hwale sec enzi hizo. Aliogopwa na kila mtu, hadi walimu[emoji28][emoji28]
Vipi mwalimu mchungaji Mwinuka?Mr Kavishe - Lwandai Secondary school. Huyu jamaa alikuwa ni Second Master. Usiombe akutie mikononi
Chungu je?JJ Kaaya miaka hiyo Minaki High School ulikuwa moto wa kuotea mbali.
Alinitwanga mingumi sana siku moja
Mwamfupe a.k.a Unyamaunyama, Mazengo Secondary 1990-2000sNimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;
1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
Mwl.PombeNimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;
1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.