Tujikumbushe Walimu wa sekondari waliokuwa wakali sana kiasi cha kuwa maarufu hadi shule zingine

Tujikumbushe Walimu wa sekondari waliokuwa wakali sana kiasi cha kuwa maarufu hadi shule zingine

Unamkumbuka mwl KIMUNE wewe?
Daah R.I.P
Kimune nlimuwashia Moto Siku moja asbh naingia geti dogo kanizuia na mwenzake kdot com, mbele ya watoto wa o'level nikagoma kupigwa kaona aibu kaniambia niende darasan atanifata, hakuonekana toka hapo aliniogopa
 
Kuna mwamba anaitwa Morega Simon Mongate a.k.a double M, alikuwa mkuu wa Ndanda high school, Masasi sasa hivi nasikia amekuwa afisa elimu Kagera huko

Huyu mwamba alikuwa anaogopwa Hadi na staff wenzake, alikuwa anapenda usafi balaa yaani Bora ukutwe bweni umedodge kipindi kuliko ukutwe haujasafisha eneo lako la usafi

Mwalimu akimkuta darasani anafundisha wakat darasa likiwa chafu alikuwa anamuokotesha makaratasi huku wanafunzi wanaangalia

Usiombe ukamatwe na simu au local
Bila shaka ndo Morega wa Mara sec 2005 hiyo
 
Mwalimu CHARLES MALYA almaarufu kama LOBILO…LOBS…A.k.a KICHAKA…

Mwalimu wa MALEZI UMBWE HIGH SCHOOL a.k.a MTI SAFI
Umenikumbusha mbali, mie Nilikuwa Moshi Tech kwa mwalimu Mpande, lakini Lobilo nilimsikia mambo yake huko Umbwe!
Pia Kuna mtoto wa Verani (Tango Transport) Joseph starter (yeye alikuwa mwanafunzi) naye alikuwa maarufu enzi hizo.
 
Nasi wa nyanda za juu kusini miaka hiyo 1999-2003 KIGONSERA SEC SCHOOL kuna mwamba anaitwa SHELIMO huyu alitusumbua Sana n mkuu wa shule aliogopwa had na staff wake

Nasikia alienda PUGU SEC SCHOOL
Alikujaga Pugu, watoto wa mjini wakamnyoosha
 
Mr. Budigila. Headmaster Nyang'hwale sec enzi hizo. Aliogopwa na kila mtu, hadi walimu[emoji28][emoji28]
Budigila alikuwa Nsumba kabla hajaenda huko.Alikuwa anapendankupig balaa.Alikuwa na kabinti kazuri sana.Kijana wake Ray alizama lake Victoria akiwa anaogelea RIP.
 
Nimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;

1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
Mwamfupe a.k.a Unyamaunyama, Mazengo Secondary 1990-2000s
 
Nimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;

1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
Mwl.Pombe

Chato Secondary
 
Back
Top Bottom