Tujikumbushe Walimu wa sekondari waliokuwa wakali sana kiasi cha kuwa maarufu hadi shule zingine

Tujikumbushe Walimu wa sekondari waliokuwa wakali sana kiasi cha kuwa maarufu hadi shule zingine

Nimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;

1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.

Mwalimu Ndutila Mbalizi Secondary School huyu alikuwa nyoko nyoko ya hatari, na Mwalimu Adimeli mkali wa kiswali shule fulani nimeshau ila bangi alikuwa anavuta huyu mwamba, mwanae kama yupo ataonekana kwenye comment
 
Nimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;

1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
Daah! Umenikumbusha mbali sana Mkuu,huyo Mwl.Masatu wa Mkwawa ni alikuwa mbabe kweli kweli , alikuwa Mwalimu wangu wa bweni la Shaban Robert East ,siku 1 usiku saa 7 natoka prepo nilikuwa na kiradio changu kidogo, vile naingi bwenini, nikisikiliza miziki ya juma nature mara pap nasikia Sauti mtu nyuma yangu ananiuliza wewe kwanini unapiga kelele wenzio wamepumzika si nikachukulia ni wanafunzi wananiletea utani, nikamjibu acha ufala. Basi nilikoswa na ngumi kama ya mandonga, Ile kugeuka kweli teacher huyo, nikazama uvunguni mwa kitanda, alipiga mateke mbao za kitanda mpaka saa 8 ila sikutoka. Saa nane na dakika kadhaa nikaibuka kutoka chimbo nikaenda kulala.
 
Daah! Umenikumbusha mbali sana Mkuu,huyo Mwl.Masatu wa Mkwawa ni alikuwa mbabe kweli kweli , alikuwa Mwalimu wangu wa bweni la Shaban Robert East ,siku 1 usiku saa 7 natoka prepo nilikuwa na kiradio changu kidogo, vile naingi bwenini, nikisikiliza miziki ya juma nature mara pap nasikia Sauti mtu nyuma yangu ananiuliza wewe kwanini unapiga kelele wenzio wamepumzika si nikachukulia ni wanafunzi wananiletea utani, nikamjibu acha ufala. Basi nilikoswa na ngumi kama ya mandonga, Ile kugeuka kweli teacher huyo, nikazama uvunguni mwa kitanda, alipiga mateke mbao za kitanda mpaka saa 8 ila sikutoka. Saa nane na dakika kadhaa nikaibuka kutoka chimbo nikaenda kulala.
Hahahaha asbh tulikuwa tunaita kombolela kutukimbiza wachelewaji. Mgimwa hakuwa mnoko kivile.
 
Mwl Limbu aka Kabla ya Kengele, Nsumba Secondary

Huyu alikuwa ni balaa. Zamu yake anakuja saa 11 alafu mnakimbia wote mchakamchaka.

Kabla ya Kengele ya Assemble wote mpo wima tayari. Kengele ikilia hujafika, ni mboko za hatari. Alikuwa hapigi fimbo nyingi, ni tatu. Ila mkono wake sijui upoje. Zinaumq balaa. Bora upigwe tatu tatu na walimu wanne kuliko akupige fimbo tatu yeye mwenyewe.

Ni noma sana yule Mwl..
Huyu Limbu aliishi nyegez kona?
 
Ningeshangaa sana kama usingemtaja Mwalimu Mpande wa Moshi Technical, daah umenikumbusha mbali sana japokuwa umri umeenda sasa ila sitakaa nimsahau huyu mtu. Alikuwa noma sana na usemi wake eenhe bwaana..😄😄, mara ya mwisho nilikutana naye pale Moshi mjini Fresh coach 2018 nikamtupia wekundu kadhaa, alinishape sana kitabia namshukuru kwa kweli may be leo nisingekuwa hivi nilivyo. Live longer Mr. Mpande
😁😁😁 Huyu mwalimu mpande alikuwa mwamba sana. Siku ya kwanza ndio naingia form one alinikurupusha pale Karume House Dorm 33, mpaka nikakimbia mchakamchaka na kandambili. Mzee wa "Ee bwana, unajifanya mjanja, together you stand alone you gooo😁😁😁".
 
Nimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;

1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
Masatu alinifundisha English one,Mgimwa Geography 2.Mgimwa alikua best sana.Kipindi hicho ni kijana wa miaka 17 hata sijaanza kuchakata mbususu.Umenikumbusha mbali enzi hizo Mkuu ni Mr Mbao
 
Nimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;

1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
Ilikuwa ukimzingua mwl.Masatu anakupa makofi ya chapchap hadi uone nyotanyota!Shaban Robert East enzi hizo.Na mwl.Mgimwa katika malezi akiwa na "Miss Tanzania"!😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom