atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Uwe unatusalimia humu ndani[emoji2][emoji2]Class 2003-2006
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe unatusalimia humu ndani[emoji2][emoji2]Class 2003-2006
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimeingia tu form one, wakati huo tunavaa kaptula za khaki! Kaptula ilikuwa inafika kwenye ugoko, shati sijachomekea lilikuwa puto (oversize) chini Nina Buti nimenunua kwa mwanangu kituo Cha zimamoto pale fire nadunda kinoma, daftari nilikuwa naweka mfuko wa nyuma wa kaptula....
kutimba skuli... mwamba huyuhapa! alikuwa Mwalimu wa nidhamu.... nilianza nae bifu siku hiyo ya kwanza naingia shule mpaka namaliza.
Yule jamaa hata tukikutana after life atanikumbuka tu kwa matukio niliyompiga.
RIP Mchwa
Anayejua kaburi lake lipo anitaarifu nikamwage mahindi na pombe kwani nimekuwa mkulima mlevi badala ya engineer kwa aniliyake.
Kuna siku nilitoroka airport Dogo alinitafuta siku nzima shenzi type. Umemsahau mtu m-bad makusi hakuna kucheka.Mr. PATEL and Mr. Dogo,,, hawa ma Mafia wawili wali run Forest Hill Secondary. Waliowahi kupita pale wanawajua since 1990's
Huyu kishazi wa mawenzi ni mwaka gani?Mwalimu Kishazi Mawenzi sec,
Head master Mr Lwamwasi Old Moshi Sec,
96Huyu kishazi wa mawenzi ni mwaka gani?
Sa umesoma shule zooote hizo🤔🤔Nimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;
1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
Umeishia darasa la ngapi?Na sisi wa shule za kata tu comment wapi?
🤣🤣🤣
Mwalimu asiye na somo maalumMsocha , Galanos sec
Kakufundisha pandahill au swilla secAlikuwa anafundisha Literature 2 basi mashairi magumu ndio anataka tuyashike mazima kama development, building the nation, the Vulture.
Alikuwa anatuambia mashairi ya eat more sio level zetu. Novel alikuwa anaichambua na kututafsiria kama unaangalia movie vile. Ila alitusaidia sana kutushape kitabia na kielimu pia.
Nalimi a.k.a kocha wa Ifunda Tech Sec SchoolNalimi a.k.a kocha wa Ifunda Tech Sec School
Mwakalindile a.k.a Brigedia Ifunda Tech Sec School
Hawa jamaa, inapokuja wakati wa wao kuwa walimu wa zamu, ni kwamba assembly hakuna kuchelewa..!! Ole wako
RIP mkuu aliiwezea sana Pugu hata ukiwa unadrop anakupa lift hadi town suala la simu shule zote wanakataza ila kwa Mwamba alikua anataka kila mwanafunzi awe na number yake ili akipata shida ampigie.Shelimo alitukuta Pugu 2007 jamaa alikuwa mpole na msataarabu. Baadae alikuwa Afisa Elimu Temeke
Waliomaliza shule juzi juzi utawajua tuNimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;
1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
[emoji120]Mwalimu Mpwayungu! Huyu alikuwa anachapa viboko kwa kutumia meno.
Yaani kama huna nickname nenda kafundishe skuli, utapata bure! 😂😂😂nimecheka sana, ila wanafunzi kwa kutungia walimu majina [emoji119]
Pallanjo---- Tambaza,1968,laana tuANred
Soma kichwa cha habari tena.Sa umesoma shule zooote hizo🤔🤔