Tujikumbushe Walimu wa sekondari waliokuwa wakali sana kiasi cha kuwa maarufu hadi shule zingine

Mabagala Pugu secondary hiyo
Afu kuna mwehu alikuwa anaitwa Nampanda ana maneno balaa mswahili sana
 
Gervas Charles MKILI(r.i.p)
Green Acres yote kuanzia primary mpaka Highschool...ilibidi kwenye msiba wake wanafunze tukaage kujiridhisha ni kweli kafa,na tuone akizikwa kabisa
 
Ndossi Assey Muhimbili na Upanga primary school.
 
Mabagala Pugu secondary hiyo
Afu kuna mwehu alikuwa anaitwa Nampanda ana maneno balaa mswahili sana
Pugu mwaka gani mkuu

Nampanda alikuwa na kauli moja ya kifala

Anasema ""mwambie mama yako mimi ndiyo nampanda.""
 
MR.MADOSHI (R.I.P) MHONGOLO SEC KAHAMA

Huyu teacher alinifukuzisha shule maana nilishindwa vumilia ukali wake

hiyo siku akakuta namimi nishamchoka liwalo na liwe,kweli tukavaana uso kwa face

sababu tu eti nmevaa sweta nimelikunja,Kanidaka akanipa Kofiii,nikainama chini sikio linalia swiiiiiiii

ile nimeinama akaongezea mijeledi ya mgongo kama mvua, nikaona usinitanie we FAZAAA

niliiinuka na kitofali sijui nilikichomoa kwenye bustani,Nilimtwika kitofa cha tumbo,ananifata bado

nikaokota kingina rusha akapangua,Mara huyu HAPA akanidaka Nikaona isiwe kesi nikamrukia shingo

nikawa nabembea nae nipo kwa mgongoni,ah ile mechi kama sio kuja kuingiliwa na Walinzi ingeisha Bila Bila

siku hiyo hiyo Nilisikia kengele imegongwa nikafukuzwa shule saaa 1 usiku,Naenda wapiii sasa usiku huo,Nikagoma

ondoka,Ah wee saa ngapi asije na difenda ya polisi nikabebwa nikaenda malizia usiku wangu Central asubuhi nikasafirishwa kwetu

ndio mwisho wakusoma ile shule,nilimchukia yule tcha sema ndo hvyo sikua na uwezo nilimuapia viapo vingi sana

Nilipokuja sikia SIR GOD kamnyakua Ajabu et roho ikaniuma nikaona kama Mungu kamuokoa na adhabu niliyompangia...

Dingiiii apumzike tu ila alinigombanisha sana na mshua wangu kwa chumvi alizoongeza.
 
Mpande wa Moshi Tech. Ameshafariki. RiP. Alikua mwl. Mzuri sana wa michezo na aliipenda kazi yake ya ualimu na michezo
 
Mwalimu Mwakalinga a.k.a Kibana Mavi,Kibasila Sec. School 2000's
 
Nimesikitika sana. Ila Mwalimu Mpande nae umri ulikuwa umeenda ni vile mazoezi yalikuwa yanamweka fit. Mwaka 2002 alisema ana miaka 60.
Duh, was looking very young.. alituchangamsha sana hasa kutuamsha asubuhi kukimbia mchakamchaka. Kupitia Dom 1 hadi Dom 40 sio mchezo. we umemaliza pale mwaka gani
 
R. I. P Mabagala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…