Tujikumbushe Walimu wa sekondari waliokuwa wakali sana kiasi cha kuwa maarufu hadi shule zingine

Wengi hufa vifo vibaya pia km maradhi ya moyo na kisukari au hupitia mateso tu km msongo wa mawazo,

Kuna siku alinifanyia kitu kimoja sisahau maisha yangu yote, ndio maana nasema alale anapostahili
Pole sana mkuu.
 
Ngoja tuone
 
Umeongea vyema Mzee, sijui kama mpwayungu village akifikia umri wako atakua kashabadilika mawazo
 
Hatari sana..jamaa alikua mnoko kweli..nakumbuka ule wimbo wa mchakamchaka "man to man man to man....kipara chake kina magamba😅😅...

Na Brother Lyimo (RIP) Majengo Sec jaman..that man duh! alikua anainyoosha shule si kidogo.
 
Makwaya umemsahau,Nilimuona Iringa 2014.
 
Mwalimu Katabaro alikuwa shule ya sekondari Swilla mpaka 2013 sasa hivi yupo Pandahili mpaka alikuwa anaitwa "Bwana Pepsi" yaani usithubutu kukutwa.
Hahahah na macho yake mekundu, alikuwa hatari sana
 
R.i.p Mr teti aliyekuwa headmaster tanga tech, it's like 4 days ego,a man passed away!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…