Kamanda Moshi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,928
- 2,867
Mpande alikuwa balaa usiambiwe na mtu! Pia alikuwa karibu sana na wanafunzi na yeye alikuwa na msemo kuwa hashiki sura za watu Bali anakariri vichogo vya watu!Basi Mpande alikuwa maarufu sana. Nimeona comments nyingi hapa zikimtaja.
Kulikuwa pia na mwalimu Mkiramweni (baba) Yule ambaye mkewe alikuwa headmistress wa Mawenzi then Kilakala! Huyu jamaa naye alikuwa mnokoo