Tujikumbushe Walimu wa sekondari waliokuwa wakali sana kiasi cha kuwa maarufu hadi shule zingine

Tujikumbushe Walimu wa sekondari waliokuwa wakali sana kiasi cha kuwa maarufu hadi shule zingine

Namkumbuka second master wangu aka Beduii... R. I. P..
 
Enzi zetu
IMG-20230415-WA0005.jpg
 
Mwalimu Kashasha, alikua balaa sana enzi zake anakuchapa na maneno tu ya uongo na unakaa.
 
@ makongo kipingu hakuwa mkali kuna afande alikuwa anaitwa miraji(rip) na babu chacha hao walikuwa ni hatari sana…miraji form 1 siku ya kwanza alisema wanaume wote ambao hawajatahiriwa atawatahiri kilazima[emoji23][emoji23] na ikifika muda wa assemble mpaka mtu unachanganyikiwa
 
Kihonda sec. Morogoro kulikua kuna mwamba mmoja wa kuitwa Mwl. Amri, balaa lake lilikua zito aisee sitakuja kumsahau
 
@ makongo kipingu hakuwa mkali kuna afande alikuwa anaitwa miraji(rip) na babu chacha hao walikuwa ni hatari sana…miraji form 1 siku ya kwanza alisema wanaume wote ambao hawajatahiriwa atawatahiri kilazima[emoji23][emoji23] na ikifika muda wa assemble mpaka mtu unachanganyikiwa
Miraji alifariki mwaka gan jaman
 
Sir Lightfoot Stonebridge Henry

Tabora Boys mwaka 1962


Huyu mwamba ilikuwa ukifanya kosa anakupa wosia mpaka analia yaani. Tulikuwa tunaogopa kumuudhi kwa jinsi alivyokuwa anasikitika. Anakufanya ujifeel guilty na kuwa na sympathy. Ndivyo alivyofanikiwa kubadili maisha ya baadhi yetu...Psychological manipulation!
Dahh, mkuu mwk 62 uko sec. Heshima yako mzee wng
 
Back
Top Bottom