Takwimu hizo zinaonesha kuwa Mheshimiwa Kikwete kwa miaka 10 alijenga KM 5568 za barabara kwa kiwango cha lami. Yeye Mheshimiwa Rais Magufuli katika kipindi cha miaka 5 tu tayari amekamilisha kujenga KM 3500 za barabara na KM zingine 2500 ujenzi wake unaendelea. Zote ni kwa kiwango cha lami.
Hivyo utaona kuwa Rais Magufuli amejenga barabara mara mbili zaidi ya zile zilizojengwa na Mhe Kikwete. Mpe kura yako Oktoba 28 aendelee kufanya maajabu katika ujenzi wa barabara nchini.