Tujikumbushie One hit wonders wa Bongo

Tujikumbushie One hit wonders wa Bongo

1: Sos B - Kukuru kakara.
sijui kwa nini Sos B akuendelea na rap. Mwamba alikoa mmoja ya wasanii wa mwanzoni kabisa kutoa nyimbo za rap Tanzania.

2: Picko - Kikongwe (RIP)

3: JI -Kidato kimoja

4: Top C -Lofa

5: C-sir madini - Kifungo huru

Tukumbushane nyingine
Piko AMEFARIK lini..
 
Back
Top Bottom