Tujikumbushie One hit wonders wa Bongo

Tujikumbushie One hit wonders wa Bongo

1.JOHN MJEMA - Wachumba 30
2.FATHER G - Binti Mlokole
3.SOGY DOG - Kibanda cha Simu
4.BESTA feat DULLY - Kama ulivyo
5.BABLEE - Kizizi
6.PLANET 2000 - Bab Kubwa
7.UNIVERSITY CORNER (U.V.C) - T-shirt na Jeans
8.JOHN WALKER & RAS LION - Bitozi
9.MAD ICE - Baby Girl
10.MAC DIZZO - Sugar Mamy


Vipi,niendelee au inatosha?
Jonh Walker na Ras Lion ukisikiliza ngoma zao ni burudani sana
 
1.JOHN MJEMA - Wachumba 30
2.FATHER G - Binti Mlokole
3.SOGY DOG - Kibanda cha Simu
4.BESTA feat DULLY - Kama ulivyo
5.BABLEE - Kizizi
6.PLANET 2000 - Bab Kubwa
7.UNIVERSITY CORNER (U.V.C) - T-shirt na Jeans
8.JOHN WALKER & RAS LION - Bitozi
9.MAD ICE - Baby Girl
10.MAC DIZZO - Sugar Mamy


Vipi,niendelee au inatosha?
Endreeeea
 
1: Sos B - Kukuru kakara.
sijui kwa nini Sos B akuendelea na rap. Mwamba alikoa mmoja ya wasanii wa mwanzoni kabisa kutoa nyimbo za rap Tanzania.

2: Picko - Kikongwe (RIP)

3: JI -Kidato kimoja

4: Top C -Lofa

5: C-sir madini - Kifungo huru

Tukumbushane nyingine
Hapa Sos B umemuweka na watu wasio wake..... Muweke na Kina Sugu Mikononi mwa Polisi, Muweke na Kina Diplomatz

Top C na Ulofa wake si 2007 huko kama sio na 06,JI na kidato chake kimoja majuzi tu.... hapo hata vitoto vya Afu mbili vinaujua.
 
Kidole kimoja hakivunji chawa.Mambo mazuri yako mbele kwa mbele.Mbeleeee kwa mbeleee-Dj Yusuph .
 
Uzi upo page 3 lakini sijaziona bado

•Kamanda
•Barua
by Daz Nundaz
 
1: Sos B - Kukuru kakara.
sijui kwa nini Sos B akuendelea na rap. Mwamba alikoa mmoja ya wasanii wa mwanzoni kabisa kutoa nyimbo za rap Tanzania.

2: Picko - Kikongwe (RIP)

3: JI -Kidato kimoja

4: Top C -Lofa

5: C-sir madini - Kifungo huru

Tukumbushane nyingine
Chelea man - Msela, K-sal - mwana mkiwa,
 
Kuna yule mwamba aliyeimba SINA DEMU,,,, Yule jamaa asilimia 99.99 ya mashabiki wanaifahamu tu ngoma lakini sura yake na jina lake imebaki kuwa siri yake...
 
Back
Top Bottom