Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
B.boy- sina demuKuna yule mwamba aliyeimba SINA DEMU,,,, Yule jamaa asilimia 99.99 ya mashabiki wanaifahamu tu ngoma lakini sura yake na jina lake imebaki kuwa siri yake...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
B.boy- sina demuKuna yule mwamba aliyeimba SINA DEMU,,,, Yule jamaa asilimia 99.99 ya mashabiki wanaifahamu tu ngoma lakini sura yake na jina lake imebaki kuwa siri yake...
Kwenye ChatiWengi walikuwepo by balozi
B.boy ana ngoma nyingine inaitwa Sio wangu yupo na Hardware.Kuna yule mwamba aliyeimba SINA DEMU,,,, Yule jamaa asilimia 99.99 ya mashabiki wanaifahamu tu ngoma lakini sura yake na jina lake imebaki kuwa siri yake...
Hii ngoma ina michano iliyomlenga Fid Q wengi hawajuagi... Yaani ni simple disstrack ya Rado kwa Fid Q..!!Biti Kali sanaaa
Aliimba Lucas MwashambwaMechi Kali kati ya uhai na kifo sijui aliimba nani
Mkuu soma kwanza uzi unahusu nini sugu ana ngoma nyingi tu zilizohit kwa kipindi hicho.Hapa Sos B umemuweka na watu wasio wake..... Muweke na Kina Sugu Mikononi mwa Polisi, Muweke na Kina Diplomatz
Top C na Ulofa wake si 2007 huko kama sio na 06,JI na kidato chake kimoja majuzi tu.... hapo hata vitoto vya Afu mbili vinaujua.
Uzi unahusu wasanii waliohit na nyimbo moja tu 'one hit wonder'.Uzi upo page 3 lakini sijaziona bado
•Kamanda
•Barua by Daz Nundaz
YesHii ngoma ina michano iliyomlenga Fid Q wengi hawajuagi... Yaani ni simple disstrack ya Rado kwa Fid Q..!!
Dola Soul yuko wapi huyu mshkaji wa Sugu?Wengi walikuwepo by balozi
Umesahau KICHAA CHA JERRYSolid Ground Family!
Pia walikuwa na ile ngoma yao nyengine Athuman Akishalewa
BidenlandDola Soul yuko wapi huyu mshkaji wa Sugu?
Hata sijui alipo kwasasa!Dola Soul yuko wapi huyu mshkaji wa Sugu?
Ukisema wengi hawajuagi sio kweli.Hii ngoma ina michano iliyomlenga Fid Q wengi hawajuagi... Yaani ni simple disstrack ya Rado kwa Fid Q..!!