SUKAH
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 1,753
- 1,968
Jamaa amekulia mtoni sana yule, hata Kiswahili chake tu utakisikia sio cha kibongo. Yupo USA kwa sasa.Dola Soul yuko wapi huyu mshkaji wa Sugu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa amekulia mtoni sana yule, hata Kiswahili chake tu utakisikia sio cha kibongo. Yupo USA kwa sasa.Dola Soul yuko wapi huyu mshkaji wa Sugu?
Yes yes. Pia kama unakumbuka hii nyimbo iligombaniwa na makundi mawili. Watengwa na Waswahili. Ilileta bifu sana kati ya makundi haya mawili. Maskani yao ilikua Msasani....Kiitikio walimshirikisha Mangustino. Moja ya Tungo kali sana.
Unaelewa kinachozungumzwa au unadandia tu? Soggy Doggy na Mad Ice ni one hit wonders?1.JOHN MJEMA - Wachumba 30
2.FATHER G - Binti Mlokole
3.SOGY DOG - Kibanda cha Simu
4.BESTA feat DULLY - Kama ulivyo
5.BABLEE - Kizizi
6.PLANET 2000 - Bab Kubwa
7.UNIVERSITY CORNER (U.V.C) - T-shirt na Jeans
8.JOHN WALKER & RAS LION - Bitozi
9.MAD ICE - Baby Girl
10.MAC DIZZO - Sugar Mamy
Vipi,niendelee au inatosha?
Dah! Watu wagumu kuelewa asee.Girlfriend - TID
Yani wabongo wagumu kuelewaMkuu soma kwanza uzi unahusu nini sugu ana ngoma nyingi tu zilizohit kwa kipindi hicho.
Pia umechanganya mambo J,I kidato kimoja imetoka mwaka 2006 wakati nyimbo ya Top c- lofa imetoka 2011 kipindi cha sharobaro records ya bob junior, msimu ambao sharo millionea alikuwa anamla shilole