Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Ahsante, tushapoa.poleni kwa matatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante, tushapoa.poleni kwa matatizo
Mimi Shabiki lia lia wa Kifamba ya Igoma - Mbeya.Mbeya City shabiki liamia nipo hapa.
Mpaka nimeikumbuka Ile.Land Rover 109 ya Mzee Kifwamba. Mchezaji namba saba wa timu yake🙊Mimi Shabiki lia lia wa Kifamba ya Igoma - Mbeya.
Bonge la mtu hivi na nyama uzembe kama zote! Ilikuwa lazima yeye awepo kwenye line-up bila ya hivyo mechi haichezwi.Mpaka nimeikumbuka Ile.Land Rover 109 ya Mzee Kifwamba. Mchezaji namba saba wa timu yake🙊
Mahasimu wao wakubwa walikuwa Town Stars timu ya Soko Matola. Juma Ahmad akitokea Town Stars kabla hajajiunga na Tukuyu Stars kisha akaenda Mecco na kurudi Tena Tukuyu StarsBonge la mtu hivi na nyama uzembe kama zote! Ilikuwa lazima yeye awepo kwenye line-up bila ya hivyo mechi haichezwi.
MECCO kwa akina Kasabalala na mgari wao wa Kirusi mbele umeandikwa KAMAZ.Mahasimu wao wakubwa walikuwa Town Stars timu ya Soko Matola. Juma Ahmad akitokea Town Stars kabla hajajiunga na Tukuyu Stars kisha akaenda Mecco na kurudi Tena Tukuyu Stars
Mahasimu wao wakubwa walikuwa Town Stars timu ya Soko Matola. Juma Ahmad akitokea Town Stars kabla hajajiunga na Tukuyu Stars kisha akaenda Mecco na kurudi Tena Tukuyu Stars
MECCO kwa akina Kasabalala na mgari wao wa Kirusi mbele umeandikwa KAMAZ.
Kunusulika ndy nn?Simba leo imenusulika
ulizani simba inaweza kutia aibu taifa kirahisi hivyo kama nyir uto mlivyochapwa nje ndani na rivers unitedSimba leo imenusurika
😂😂😂😂Ukitaka kuwajua huyu ni timu gani pitia post zao ukiona malalamiko, chuki jua ni utopolo zile zilizoenda shule ni simba