Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Bei hujaweka pia inapatikana wp?
 
Hivi zile lovilea ziliishia wap khaaa tunatoka mbali [emoji23][emoji23][emoji23] iko na harufu nzuuuri
 
Hahaaa bas nimeacha niambie ipi nzuri sasa
 
Du mie hayo machupa yakiisha niwekee. Utani .... hakuna asiependa maisha mazuri ni basi MUNGU humpa amtakae. KILA LA HERI.
 
Natumaini umesema "mungu" figuratively.
Kiranga Nadhani Watu hawajakuelewa labda, au mimi ndio sijakuelewa, mi nadhani huwa unaishi kulingana na uwezo wako, haujibanibani.... If Am not mistake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…