Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Kweli zipo nyingine ni hatari GENUINE! Lakini.Unapasuka mahela ila mmmmmh!Utajua mwenyewe maisha yako kasimulie wanao!Mtihani!Sijui ni majini!
 
Aisee niliwahi kutembelea maonesho ya biashara ya wa-Syria pale Diamond jubilee,asikwambie mtu bhana wale jamaa wanauza perfumes za ukweli tena kuna nyingine wanakuchanganyia pale pale.Ni zile perfumes ambazo hazijachakachuliwa,ni OG kabisa.Nilijuta kwenda bila pesa,lkn popote nitakapowasikia nitawafuata maana perfume zao nahisi ukipulizia mpaka mwakani unanukia tu.
 
Haya ya pafumuz! sitaki hata kusikia kuna moja nilifunguka mwenyewe kijasiri! Siri yangu nimeachana nayo longi ila mtihani nguo zingine nimeshazishinda umri ila ngoma nzito! sijui ni pepo mikosi wai!
 
Sijui kama bongo inauzwa lakini huku ni $45 at Macy's. Inaitwa Le Nuit De L'Homme. St. Laurent. Its the best.


Review yake hii apa.

 
Check ebay
 
Check na eBay mkuu!zinapatikana usiwe na hofu kiasi hicho...huenda humu ndani tunatofautiana vipato ndio maana watu wakawa huru kusema wanacho tumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…