Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha Nguru.we au?
Sasa ndugu yangu samali wote baharini wamekwisha hadi ule pomboo?! Nyama yake ina damu sana, kifupi hafai kuliwa.sory pomboo au dolphin
Nyama yake inapikwa asubuhi mpaka jioni.Sasa ndugu yangu samali wote baharini wamekwisha hadi ule pomboo?! Nyama yake ina damu sana, kifupi hafai kuliwa.
mkuu sasa nipo China, samaki wale ni wa kawaida kwetu. nafikiri Tanzania yana maduka mengi ya Chinese ambapo unaweza kutafuta samaki wale.Mkuu upo china au hapo bongo
Salam kwenu.
Si mjuzi sana katika nyanja hizi..hivyo naomba kujua
Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote? Mtaje !
1. Changu
2. Sato
3. Kibua
4. Sangara
5. Kambare
6. Perege
7. Migebuka
8. Pweza
9. ________
Si huwa wanasema china mitandao ya kijamii Ni inaccessible Kama insta,fb, sijui hata WhatsApp... Vipi jamiiforum inapatikana fresh tumkuu sasa nipo China, samaki wale ni wa kawaida kwetu. nafikiri Tanzania yana maduka mengi ya Chinese ambapo unaweza kutafuta samaki wale.
hatuwezi kutembea kwenye mitandao ya kigeni kwa kutumia App km: google playstore, facebook, youtube, vimeo ,whatsapp, jf n.k wala tovuti km: google, facebook, youtube, vimeo, twitter n.k lakini tunaweza kutembelea jf kwa browser wala si appSi huwa wanasema china mitandao ya kijamii Ni inaccessible Kama insta,fb, sijui hata WhatsApp... Vipi jamiiforum inapatikana fresh tu
Hii Ni hata kwa wageni/foreigners Kama wafanya biashara wanakuja huko chinahatuwezi kutembea kwenye mitandao ya kigeni kwa kutumia App km: google playstore, facebook, youtube, vimeo ,whatsapp, jf n.k wala tovuti km: google, facebook, youtube, vimeo, twitter n.k lakini tunaweza kutembelea jf kwa browser wala si app
mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Shanghai International Studies University najifunza Kiswahili katika chuo hiki. ni bora nitembelee JF kupata maendeleo makubwa katika lugha hiiHii Ni hata kwa wageni/foreigners Kama wafanya biashara wanakuja huko china
Salam kwenu.
Si mjuzi sana katika nyanja hizi..hivyo naomba kujua
Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote? Mtaje !
1. Changu
2. Sato
3. Kibua
4. Sangara
5. Kambare
6. Perege
7. Migebuka
8. Pweza
9. ________
Hahaha huyu kuhe ni hatari, nilimla nikiwa kalemaKuna samaki anaitwa Kuhe. Anapatikana ziwa Tanganyika hasa maeneo ya Miyobozi kama unaenda Ilagala. Kwangu mm huyo ndiyo samaki mtamu sana duniani[emoji5]